Lussadam
JF-Expert Member
- Oct 13, 2007
- 1,423
- 998
Majina ya Watoto wa Kimasai ndo hayohayo ya Wababa wa Kimasai.Kabla ya kuwa Wababa waliishakuwa watoto. So wape majina kama Lowassa,Moringe,Ole Sendeka nk. Unaumiza kichwa bila sababuJamani nilikuja na nyuzi hapa,,baba wa mtoto kakataaa majina ya kiswahili,,kasema anataka majina ya kimasai aiseee
So naombeni ya kimasai ya kiume