mzushi
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 3,094
- 4,251
Jimbo la Kinondoni, UKAWA tumechomolewa.Hizi mbinu chafu mpaka lini?
Hii fomu ya Mgombea Ubunge wa CUF ( UKAWA ) imesainiwa na karani wa mahakama badala ya Hakimu. Ndio maana jina la Hakimu halikuandikwa. Ni kosa kisheria..Na ndiyo sababu ya mgombea huyo wa UKAWA Kuenguliwa.
View attachment 280136
Kutoka kwa Kado Cool