Aquatic
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 716
- 270
Jamani Utotoni kuna vituko..mpaka unakua ni mambo mengi na vituko vingi tumepitia,mojawapo ni majina tuliyokuwa tunatungiana kwa jinsi mtu alivyo au kwa kituko alicho fanya na majina mengine hadi leo yamedumu mimi kwa leo na kuletea baadhi ya majina ya marafiki zangu pamoja na mm enzi za utoto nawe ukipata wasaa tupia lako..
1.Kashiba andazi
2.Sudi nyodo
3.Njino za panya
4.Chogo chuma
5.Bata
6.Makunde
1.Kashiba andazi
2.Sudi nyodo
3.Njino za panya
4.Chogo chuma
5.Bata
6.Makunde