Majina ya kike ya Kisukuma

Binafsi majina ya kike wa Wasukuma hunisuuza sana moyo wangu. Ni jina gani la kike la Kisukuma ambalo wewe mwana JF unalipenda? Mimi ninayo kadhaa....

Limi
Misoji
Mihayo
Kabula
Kudahwa
Nsungi
Nana...........
Misoji siyo jina la kike...nimesoma na jamaa mmoja Pugu sir name yake ilikuwa ni Misoji....ni msukuma pia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…