Majina ya kibantu yanayofurahisha

Majina ya kibantu yanayofurahisha

na mwanaume mtoto wa kwanza ndo hutoa jina, tena wakwanza tutamwita MALI Si PESA, wapili MAISHA, wa tatu FUNGAMEZA
HAPANA! hii haikubaliki! ndiomaana sitakagii waume wasukuma kila ktu wao, manipulators!
 
HAPANA! hii haikubaliki! ndiomaana sitakagii waume wasukuma kila ktu wao, manipulators!
UONGOZI mama.
ukiolewa na mme asiekuwa kiongoz sawa utakuwa huru na romantic lakn mwisho utamchoka mapema kwa kumuona hana vigezo kama mme kiongoz.
fikilia kaya zeny baba mweny misimamo na kiongoz wa kaya na anasaut ndoa zao zinadumu na waoaji ndo wanapenda kuoa family hizo kwan mabint wapale wamenyooka.

upande wa pili kaya mwanamke ndo awe na saut mwanaume kama hayupo tu.
hyo kaya itadharaurika na waoaji pale huwa wachache kwan watoto watafata amr ya mama na malez yatakua pungufu.
Na mama utajiraumu kwanin uliolewa naye huyo mme.
 
Back
Top Bottom