Majina ya kibantu yanayofurahisha

Majina ya kibantu yanayofurahisha

UONGOZI mama.
ukiolewa na mme asiekuwa kiongoz sawa utakuwa huru na romantic lakn mwisho utamchoka mapema kwa kumuona hana vigezo kama mme kiongoz.
fikilia kaya zeny baba mweny misimamo na kiongoz wa kaya na anasaut ndoa zao zinadumu na waoaji ndo wanapenda kuoa family hizo kwan mabint wapale wamenyooka.

upande wa pili kaya mwanamke ndo awe na saut mwanaume kama hayupo tu.
hyo kaya itadharaurika na waoaji pale huwa wachache kwan watoto watafata amr ya mama na malez yatakua pungufu.
Na mama utajiraumu kwanin uliolewa naye huyo mme.
Duh kwahiyo iatakiwa mwanaume awe dictator haswa ndio mambo yaende?
 
Haika arawa..iyo nyi mndu o kanyi...nuwaryi ukuloshe kichakaa .
Kichaga kinapotea kwa kasi ya 4G..baada ya miaka 30 tutakua ni kiswahili tu.
Inyi Ngiichi cha kanyi , kimorang na kiorombo , wana wose niwaloshie kichaga nechaa kapsa meku
 
Back
Top Bottom