mourisous
JF-Expert Member
- Jan 19, 2016
- 443
- 270
Kama heading ya uzi unavyojieleza hapo juu.
Mimi ni miongoni mwa wahanga wachache wa hiki tuliotuma maombia direct Nacte baada ya kutokea matatizo katika a/c za vyuo tulivyoomba.
Ningependa kufahamu majibu wanatejesha lini na yanapatikanaje kwa urahisi maana siku nazo zinasonga
Mimi ni miongoni mwa wahanga wachache wa hiki tuliotuma maombia direct Nacte baada ya kutokea matatizo katika a/c za vyuo tulivyoomba.
Ningependa kufahamu majibu wanatejesha lini na yanapatikanaje kwa urahisi maana siku nazo zinasonga