Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 51,020
- 72,339
Hivi kweli kuna majina yanachosha yaan unashindwa hata mtu umfikirieje mti anajiita mpenda k hiv ulikosa jina au ndio hapo unaombwa urafiki na mtu anajiita hivyo kwa kwelii,haya bana Evelyn Salt, Honey Faith Khantwe princess sayuni njoon mshangae nanyie,!!
Last edited by a moderator: