Nimependa jina la Atupakisye zuri kiasili zaidi.
We umetaja na jina la binti yangu, ukomee hapo hapo
Demu anaitwa tiririka anajibatiza tilly
Hahaha. Daslama kuwa na jina baya ni kama kuwa mweusi. Utake tu mwenyewe. Lol
Inabidi na wewe ukiwa Mlimani City ndo liwe jina lako fake badala ya CandyNimependa jina la Atupakisye zuri kiasili zaidi.
Vizia kipindi mvua zimeisha utauona mji mzuri sana....Kweli dar kuzuri,wacha nitafute nauli
Ugumu unakuwa wapi maana haya majina ya kiasili huwa yana maana nzuri sema tu tumeshalishwa kasumba ya kuona majina yetu ya kienyeji ni mabaya , mie la Milimani city naitwa Brown ila hili Jodoki nikiwa uswahilini kwanguMimi najitambulisha kwa jina langu[Jackline] ila la asili ni Alatunotsa Sanga,ni ngumu kujitambulisha kwa pande za Mijini
Mimi najitambulisha kwa jina langu[Jackline] ila la asili ni Alatunotsa Sanga,ni ngumu kujitambulisha kwa pande za Mijini
Mimi najitambulisha kwa jina langu[Jackline] ila la asili ni Alatunotsa Sanga,ni ngumu kujitambulisha kwa pande za Mijini