Habar wajaman!
Kijana wan kiume nimekua na mahusiano na wadada takriban ni watatu sasa, lakin swali la umenipendea nini aun kwanini umenipenda niloulizwa na wapenzi wangu wote hao limekua likinishinda na kwakweli bado cjapata jibu lake sahihi!
Nimekua nikijiuliza hivi::
nikijibu nimekupendea tabia yako atajisikia kumbe sina mvuto wa sura wala shep na muonekano mzur, nikisema nimekupendea uzuri wako nitaulizwa uzuri wa kitu gan sura au kiungo fulan, nikisema unamichezo mitamu atajifikiria kumbe me sina mvuto wa sura wala shep na muonekano mzur ila najua michezo tu, nikimwambia ye nimzur wa kiungo fulan cha mwilin wake napo atajisikia vibaya kwakua maishani hicho kiungo chaweza toweka kwa ajali au pengine kupungua ukubwa/uzur wake na asiwe na mvuto kwangu tena.
Kwakweli me hua nampenda mwanamke kwakuangalia mambo mengi na hatimae kupata ujumla wake na ndipo nafanya uamuzi, sasa hua nashindwa kusema haswa nimekupendea nini kwasababu hata nikitaja jambo moja au mawili yalonivutia kwake bado naona hayo peke yake hayatoshi kumpenda mtu! Hapa nilipo hilo swali limesharudiwa kuulizwa jana na majibu sijatoa na mtu amesusa akidai mimi simpendi sasa sijui niibuke na jibu la kusema nimempendea macho na kiuno? maana macho yake na kiuno chake ha ha haaaah!
naombeni msaada wanajamii haswa wadada kwenye swali la UMENIPENDEA NINI? au KWANINI UNANIPENDA? hua munatarajia majibu gan ili kujiridhisha kua mtu huyo anakupenda kwa dhati???
Kijana wan kiume nimekua na mahusiano na wadada takriban ni watatu sasa, lakin swali la umenipendea nini aun kwanini umenipenda niloulizwa na wapenzi wangu wote hao limekua likinishinda na kwakweli bado cjapata jibu lake sahihi!
Nimekua nikijiuliza hivi::
nikijibu nimekupendea tabia yako atajisikia kumbe sina mvuto wa sura wala shep na muonekano mzur, nikisema nimekupendea uzuri wako nitaulizwa uzuri wa kitu gan sura au kiungo fulan, nikisema unamichezo mitamu atajifikiria kumbe me sina mvuto wa sura wala shep na muonekano mzur ila najua michezo tu, nikimwambia ye nimzur wa kiungo fulan cha mwilin wake napo atajisikia vibaya kwakua maishani hicho kiungo chaweza toweka kwa ajali au pengine kupungua ukubwa/uzur wake na asiwe na mvuto kwangu tena.
Kwakweli me hua nampenda mwanamke kwakuangalia mambo mengi na hatimae kupata ujumla wake na ndipo nafanya uamuzi, sasa hua nashindwa kusema haswa nimekupendea nini kwasababu hata nikitaja jambo moja au mawili yalonivutia kwake bado naona hayo peke yake hayatoshi kumpenda mtu! Hapa nilipo hilo swali limesharudiwa kuulizwa jana na majibu sijatoa na mtu amesusa akidai mimi simpendi sasa sijui niibuke na jibu la kusema nimempendea macho na kiuno? maana macho yake na kiuno chake ha ha haaaah!
naombeni msaada wanajamii haswa wadada kwenye swali la UMENIPENDEA NINI? au KWANINI UNANIPENDA? hua munatarajia majibu gan ili kujiridhisha kua mtu huyo anakupenda kwa dhati???