Daullah
Senior Member
- Feb 16, 2013
- 190
- 46
cku zote mwanamke anatka kudaganywa so hta ukimwambia ukimwambia ukweli unapenda tabia zake na muonekano wake atahisi unamdanganya so just be free n tell her anything that comes out of your mouth iwe ukweli au uongo atajua hkohko bt soon ata realize akiingia ktk penz lako.