MUSSA ALLAN
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 18,925
- 13,259
Wakuu wasipojiuzuru ,ni kurudisha ile movement ya kukusanya sahihi ili kupiga kura ya vote of no confidence!!
Sioni dalili ya jamaa kusepa hapo.
Wawajibike kwa kosa lipi?
Wakuu wasipojiuzuru ,ni kurudisha ile movement ya kukusanya sahihi ili kupiga kura ya vote of no confidence!!
Sioni dalili ya jamaa kusepa hapo.
Wewe ndie ulie bwabwaja kama huyo prof wako
Mtakuwa mmeelewq kinyume nyume kama ndugu yenu Mbowe. Anakimbilia kumtaka Pinda ajiuzuru bila ya sababuyaani jamaa mjinga kweli huyu Muhongo,kama ni hivyo basi wafanyakazi wangekuwa hawakatwi PAYE ila wangekuwa wanalipwa hela zote halafu badaye ndo walipe kodi
Sasa kama walikuwa wanazomea wewe ulitaka afanyeje?
Hawana hoja zozote za kumrarua Prof. Wao uwezo wao upo kwenye kusoma taarifa waliyoingizwa chaka na iliyojaa ushabiki wa kipuuzi
Kwani ulitaka awasilishe kwa mbwembwe kama walivyofanya akina Zitto jana? Huyu ni Prof wa ukweli. No one to compare
Mkuu, hawa jamaa wamekuwa vigeu geu. Yaani wamesikiliza majungu ya akina Zitto ndo wakayaamini. Haya leo wameambiwa ukweli hawataki kuuamini na wanabadili misimamoimekua vat tena?,si mlisema zote ni za umma?
Mkuu, huyu Muhongo hana dharau bali anajua. Hakika jamaa ni kichwa
Prof kawaambia kuwa kama yeye ni dalali basi udalali wake ni wa kupeleka umeme vijijiniNo one to compare na Professa dalali
Muhongo ni noumaaaaaaaa
Muhonga hana hoja ya msingi..
Yani mtoe pesa halafu uwaambie TRA waende kudai PAP napesa zilikuwa BOT huu siuwendawazimu..
hivi una akili timamamu? Chenge, tibaijuka nk kupewa pesa kiasi kikubwa vile ni kwa kazi gani waliyoifanya wakiwa ni viongozi wa umma? si rushwa na wizi?Wawajibike kwa kosa lipi?
Mkuu, kwani wewe uliwaona?Dah we LIZABONI KIBOKOO..
UNANIKUMBUSHA WALE WALIOENDA KUCHUKUA HELA KWNY VIROBA NA MABOX
Cjapenda kelele za wabunge hapa mwisho huku wakimjua vizuri Bi.Kiroboto.Wangesikiliza huyo muongo amalize,then wamjibu!What they did was not good according to me!