kalagabaho
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,461
- 5,860
Haki ya kutoa maoni ni sehemu ya haki za binadamu.
Aache kiherehere
Haki ya kutoa maoni ni sehemu ya haki za binadamu.
Na akigundua una kadi ya ccm ndio anakumaliza muda huo huoSisi watu weusi tunaoishi Africa tunawaona wale weusi wanaoishi marekani na ulaya ni ndugu zetu lakini kwa bahati mbaya wao hawatuoni sisi km ni ndugu zao au wenzao wanatuchukulia km watu duni tena black wa marekani bora umuite nigga kuliko kumuita muafrika mtagombana,
Billnas alienda hadi kumzikaHata mimi naona unafiq aliuliwa mwangosi, akwilina hadharani hakuna cha msanii wala nani? Leo auliwe mmarekani nisikie uchungu wala...
Wakati mwangosi alifumuliwa utumbo ma akwilina hadharani aliuliwa na polisi then hukumu ikaend kwa kina Mbowe.