Majibu ya Prof Mwandosya kwa Zitto

Majibu ya Prof Mwandosya kwa Zitto

Miye kipande hiki tu ndio kinanichanganya kabisaaaa sielewi ukweli ni upi maana nijuavyo hailingani na madai yake..Sijui wenzangu mna kumbukumbu gani.. Hivi Mwandisya aliwahi kuwa Waziri wa Mawasiliano na Uchukuzi wakati wa ATC na TRA, ni wakati wa Mwinyi? hadi akaacha hizo ATC na TRA zikifanya kazi, maana nakumbuka toka Ajali ile kubwa ya reli Dodoma, treni hazikufika Tabora kwa miaka mingi tu..Na ATC iliuzwa lini kwa Wasouth?..
Mkandara ukishakua umevaa miwani ya upofu huwezi kusema la maana hapa, hiyo TRA umeipata wapi?
 
Last edited by a moderator:
Hajajibu lolote, kuna maswali mengi saana, hivi mlio karibu naye mnaonaje mkimshauri, aitishe press conference ili watu wawe huru kuja kumuuliza? kuna tuhuma pia akiwa katibu mkuu wa Nishati, alikuwa akitumia vibaya wadhifa wake, wakupeleka tenda kwa kijikampuni alichokuwa akimiliki yeye na Prof Luhanga.

Kingine, anatakiwa atoe ufafanuzi kuhusu kutuhumiwa kuwa ni MKABILA saana, huwezi kupata kitu kwake mpaka uwe MWANAFYALE/NYAKAFYALE.

Wakati unasema hajajibu lolote lakini nawe hujauliza lolote.

Ni kampuni ipi aliyokuwa nayo Mwandosya na Prof Luhanga?ilikuwa inajishughulisha na nini na ilipewa tender wapi?

Ni wapi ambako alifanya huo ukabila wake?sijawahi kabisa kulisikia hili kwenye utendaji wake.
 
Teh Teh leo Bavicha wameungana na Mwana CCM na wamemkubali mwana CCM...! Teh Teh siasa hizi! Bavicha muda mwingine hawana tofauti kundi la nzige..

You are totally missing the point. I am personally more interested in Tanzania than an individual person or a party for that matter. Chances of getting a better president will be enhanced if all the parties field reputable people.

Regardless of our party affiliations, we should strive to make sure all parties have reputable candidates. Whoever eventually becomes the president, will be for everybody, not for his party alone!
 
Ni kwa nini zitto kabwe hatumsikii akizungumzia wizi na ufisadi uliofanywa wakati LOWASA akiwa waziri mkuu? au kwa vile ndiye mdhamini mkubwa wa chama chake cha ACT? KAMA KWELI ZITTO NI MZARENDO ATOKE HADHALANI AMSHUTUMU LOWASA KWA KASHFA YARICHMOND. AU UNAOGOPA UKIMSEMA atasitisha zile mil ....za kueneza chama? na kupunguza nguvu ya upinzani?

Teh Teh Bavicha wana swagwa kama kundi la mbuzi!
CCM,CCM chamaaa chama cha mapinduzi CCM namba one!
 
mimi nadhani swala la ufisadi kuthibitisha ni ngumu sana inahitaji uchunguzi wa kina hata hivyo ubinafsishaji hauna tatizo ishu iliyopo je ulifanywa kwa umakini na weledi,tija kwa maslahi mapana ya taifa jibu siyo kwa hiyo nadhani mwandosya and the all officials failed on this tuache unafiki wa kusifia tu watu

Yeye Zitto alikuwa anataka majibu by the way sheria ni kwamba anayetuhumu ndiye anayetakiwa kuthibitisha!
 
Wewe umewahi kumsikia kiongozi gani wa Upinzani akimshutumu Lowassa kwa Kashfa ya Ufisadi moja kwa moja katika mihadhara? ukiacha Mwakyembe, Makongoro Nyerere, Nape na Wasira! Tuseme ukweli nani alowahi kumtaja Lowassa wazi wazi toka list ya Mafisadi..Ya Richomnd, Chadema wote wamebadilika wanaamini hilo ni deal la JK au leo mmebadilika..

Dili la Jk? kama wanaccm makini kama hao uliowataja wanasema lowasa ni fisadi sisi ni nani mpaka tuwapinge? uongo wa mwenye nyumba si ukweli wa mpita njia
 
Teh Teh
...hahahaha CCM nambari one!

Mkuu, vyama vya siasa ni kama magari ya kumtoa mtu toka sehemu "A" kwenda "B".

Muhimu zaidi ni kupata Rais wa kuipeleka mbele Tanzania bila kujali anatoka wapi au chama gani. Ili kufanikisha hilo, hatuna budi kupigania kila chama kuweka mgombea safi kwenye nafasi ya urais. Akishachaguliwa si Rais wa CDM au ccm tena, ni wa wote - utake, usitake.

Kwa hiyo usidhani kila anayejadili wagombea wa ccm lazima awe mwana ccm. Si kila anayeenda mpirani ni mshabiki wa Yanga au Simba. Wapo wa Azam siku hizi lakini wanafuatilia mechi za Yanga na Simba.
 
Uko sahihi Sibonike,Prof Mwandosya ni muongo na mnafiki mkubwa sana! Wakati wa issue ya escrow yeye aliungana na Zitto kuwahukumu akina Chenge, Tiba na Ngeleja bila kusikilizwa,sasa iweje hapa anamnanga zzk kwa kumhukum bila kusikilizwa? Huyu mzee ni choka mbaya apumzike tu. Si mnakumbuka kuelekea uchaguzi wa 2005 alinunua boti 2 mbovu kule ziwa victoria?
 
CCM sasa wanacheza na akili za Chadema wakitaka kupata kura wanamponda Zitto tu Chadema wote wanaamia CCM . Usicheze na siasa za CCM.

Ni kama vile ACT inavyopataga support ya nyinyi CCM kwa kuishambulia CDM. Yaani ACT wakianzisha tu movement against CDM basi ma-CCM yote yanahamia huko.
 
Kinacho nifurahisha kwenye huu uzi ni jinsi Bavicha wanavyo mfagilia Prof kutoka CCM! Teh Teh CCM haina mpinzani!

Kwa uwezo wako mdogo wa kufikiria na kuchambua ndio unaamini hayo,nani wa kumfagilia fisadi?mimi kila siku nasemaga lumumba uelewa wenu sijui uko vipi
 
Amejibu kiprofessor, zitto mtoto mdogo sana...kwa sasa amebaki kua msaliti wa watu nchi hii...

Yaan watanzania tumelogwa na amini eti amejibu kiprofessor , laiti angelikuwa anayeshambuliwa ni mtu mwingine mbali na zzt , watu huku wangetokwa na povu .
 
Uko sahihi Sibonike,Prof Mwandosya ni muongo na mnafiki mkubwa sana! Wakati wa issue ya escrow yeye aliungana na Zitto kuwahukumu akina Chenge, Tiba na Ngeleja bila kusikilizwa,sasa iweje hapa anamnanga zzk kwa kumhukum bila kusikilizwa? Huyu mzee ni choka mbaya apumzike tu. Si mnakumbuka kuelekea uchaguzi wa 2005 alinunua boti 2 mbovu kule ziwa victoria?

Kweli asiyekupenda hachagui ata la kukulaumu.

Una uhakika kuwa akina Chenge, Ngereja na Tiba hawakuhojiwa kabla akina Mwigulu,Wasira na Mwandosya kuunga mkono bunge lipitishe hoja ile?

Ebu tupe data ya meli alizonunua kuleta ziwa Victoria, kwa haraka haraka nakumbuka alijitahidi kuvutia wawekezaji kuwekeza meli kwenye ziwa Victoria na Azim Dewji akanunua meli za kupeleka kwenye ziwa lile, meli zile ilikuwa zisafirishwe kwa barabara toka Dar, Waziri Magufuli akagoma, ikabidi zikatwe katwe, na iliyobaki ni historia.
 
Wakati unasema hajajibu lolote lakini nawe hujauliza lolote.

Ni kampuni ipi aliyokuwa nayo Mwandosya na Prof Luhanga?ilikuwa inajishughulisha na nini na ilipewa tender wapi?

Ni wapi ambako alifanya huo ukabila wake?sijawahi kabisa kulisikia hili kwenye utendaji wake.

Hivi unamjua au unajisemea?
Waambie wapambe wake akina MADODI, wamlete hadharani, watu wakamue jipu
 
Teh Teh Bavicha wana swagwa kama kundi la mbuzi!
CCM,CCM chamaaa chama cha mapinduzi CCM namba one!

Tatizo lako unatazama mambo kwa kutumia miwani ya mbao, sisi tunachotaka ni kiongozi mzuri na kiongozi mzuri anapitia katika vyama wengine tunapenda kila chama ikiwemo ccm kipitishe mgombea mzuri na safi na ukawa nao wapitishe wagombea safi halafu ndiyo wapambane ili tuchague mmoja! kwa maoni yangu ndani ya ccm Mwandosya, magufuli ni baadhi ya wagombea wazuri na wasafi kuliko hao wengine,
 
Tatizo lako unatazama mambo kwa kutumia miwani ya mbao, sisi tunachotaka ni kiongozi mzuri na kiongozi mzuri anapitia katika vyama wengine tunapenda kila chama ikiwemo ccm kipitishe mgombea mzuri na safi na ukawa nao wapitishe wagombea safi halafu ndiyo wapambane ili tuchague mmoja! kwa maoni yangu ndani ya ccm Mwandosya, magufuli ni baadhi ya wagombea wazuri na wasafi kuliko hao wengine,

Mkuu, umemaliza kazi. Nimepost wazo kama lako kumjibu huyo kipofu.
Anadhani kila anayejadili hili ni magamba. Ni ufinyu wa mawazo.
Kila chama kitoe mgombea bora tuwe na uhakika wa kupata Rais bora na si bora Rais na mbaya zaidi fisadi!
 
Back
Top Bottom