AMARIDONG
JF-Expert Member
- Jun 24, 2010
- 2,502
- 180
20 hours ago
George James
20 hours ago
Mwigulu Nchemba
·
20 hours ago
GeorgeJames
o yaani hujui kinachoendelea huko Dodoma au
o sain kukubali hoja ya kumwondoa waziri mkuu na ikiwezekanakumuondoa Mkuu wa Kaya
o hali ni mbaya sana huku yale mambo tuliyokubaliana hayaendi na wale wafadhili wanakaribia kujitoa kwenye ule mradi wa visima vya Sunzu na Nzalala
·
20 hours ago
MwiguluNchemba
o Sita sain,wajitoe CCM itajenga na 2015 tutashinda kwa kishindo,njaa zenu tunazijua sana hainitishi
·
20 hours ago
GeorgeJames
o kwa nini?
o unafurahia hali yetu?au unakula na hao mawaziri wezi?
·
20 hours ago
MwiguluNchemba
o Tulishafanya uamizi hivyo mengine yote maigizo,usiamini kila neno unalosikia hapa Bungeni kaka zako wa Moshi wana act tuu wao wenyewe ni mafisadi wa kutupwa hukumsikiliza Lusinde kule Arumeru?/achana na Chama cha kihuni rudi CCM tukupe shavu 2015 hata ukuu wa wilaya unaweza wewe,mbona Nkuhi anasonga wewe huwezi shindwa
·
20 hours ago
GeorgeJames
o watu wote hapa Nzalala na Ntwike tuna hasira sana namisimamo yako ya kutetea magamba Achana na ahadi zako hewa nimekuzoea tokea shule na kwa taarifa yako o na leo tunaenda Shelui kumwaga sumu haiwezekani wew ukaehuko utetee magamba sisi huku tunakula vumbi
o hatutakubali tutawapa NCHI HII CHADEMA
o WAMEONYESHA MWANGA
o Kuna wananchi wa Sunzu walisema uliwatukana ,hii tabiaumeanza lini? mnafundishana na kina Lusindee eehh angalia braza siasa sio hivyoutapata shida sisi ndio wa Iramba bana
·
19 hours ago
MwiguluNchemba
o Acha umbeya mkuu tuongelee maendeleo
Mwiguluis typing ...
KWA HALI HII HATUKUCHAGUI TENA KAMA HAYA NDIO MAJIBU NAAMINI HII NI TOFAUTI NA MAKUBALIANO YETU YA PALE SUNZU
George James
- Nchemba umeshasain?
- kama hujasain jitahidi usain other wise nikuambie tuu huku JImboni kwako tuna hasira sana na mwenendo wako hasa matusi na kapu la hela Mlilloenda nalo Aruumer
20 hours ago
Mwigulu Nchemba
- Ni sain nini umechanganyikiwa Rafiki yangu eeeeh;;
·
20 hours ago
GeorgeJames
o yaani hujui kinachoendelea huko Dodoma au
o sain kukubali hoja ya kumwondoa waziri mkuu na ikiwezekanakumuondoa Mkuu wa Kaya
o hali ni mbaya sana huku yale mambo tuliyokubaliana hayaendi na wale wafadhili wanakaribia kujitoa kwenye ule mradi wa visima vya Sunzu na Nzalala
·
20 hours ago
MwiguluNchemba
o Sita sain,wajitoe CCM itajenga na 2015 tutashinda kwa kishindo,njaa zenu tunazijua sana hainitishi
·
20 hours ago
GeorgeJames
o kwa nini?
o unafurahia hali yetu?au unakula na hao mawaziri wezi?
·
20 hours ago
MwiguluNchemba
o Tulishafanya uamizi hivyo mengine yote maigizo,usiamini kila neno unalosikia hapa Bungeni kaka zako wa Moshi wana act tuu wao wenyewe ni mafisadi wa kutupwa hukumsikiliza Lusinde kule Arumeru?/achana na Chama cha kihuni rudi CCM tukupe shavu 2015 hata ukuu wa wilaya unaweza wewe,mbona Nkuhi anasonga wewe huwezi shindwa
·
20 hours ago
GeorgeJames
o watu wote hapa Nzalala na Ntwike tuna hasira sana namisimamo yako ya kutetea magamba Achana na ahadi zako hewa nimekuzoea tokea shule na kwa taarifa yako o na leo tunaenda Shelui kumwaga sumu haiwezekani wew ukaehuko utetee magamba sisi huku tunakula vumbi
o hatutakubali tutawapa NCHI HII CHADEMA
o WAMEONYESHA MWANGA
o Kuna wananchi wa Sunzu walisema uliwatukana ,hii tabiaumeanza lini? mnafundishana na kina Lusindee eehh angalia braza siasa sio hivyoutapata shida sisi ndio wa Iramba bana
·
19 hours ago
MwiguluNchemba
o Acha umbeya mkuu tuongelee maendeleo
Mwiguluis typing ...
KWA HALI HII HATUKUCHAGUI TENA KAMA HAYA NDIO MAJIBU NAAMINI HII NI TOFAUTI NA MAKUBALIANO YETU YA PALE SUNZU