mizambwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2008
- 4,422
- 1,790
jamani siku hizi privacy imebadili jina? au inakuwaje mazungumzo yaliozingumzwa faraghani bila ya idhni ya mwenyewe kuyaweka hadharani
Binafsi sidhani kama amefanya vibaya.
Hakuna waliloongea la siri kiasi hicho hadi kufikia kuomba ruhusa.
Na hili Bunge la JF tunapenda kupata Source ya kila hoja ili kuilinda.
KWani mada zinzotolewa hapa nyingi ni nzito na za kufichua sasa kama hakuna Source inakuwa shida sana. Kama angelitueleza tu kuwa ameongea na Nchemba tungelitaka atuwekee source.
CCM IPO ICU MUHIMBILI; SIDHANI KAMA ITAPONA TUANDAE KUCHIMBA KABURI;
MIZAMBWA
NABII MTARAJIWA!!!