THK DJAYZZ
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 2,167
- 175
...hahahaaa!
Makonda wakati flani wanakera sana, hasa wakitoka kula mchana. Wanatoa vichwa nje ya daladala makalio wanaacha ndani. Kinachoendelea ni harufu zisizoeleweka!!
teh teh !
...hahahaaa!
Makonda wakati flani wanakera sana, hasa wakitoka kula mchana. Wanatoa vichwa nje ya daladala makalio wanaacha ndani. Kinachoendelea ni harufu zisizoeleweka!!
ABIRIA: Nimedondosha 50 ndani ya gari nitakupa 250;hiyo iliyobaki utaokota wakat wa kufagia
KONDA : Ungedondosha hela zote nijue hauna nauli...