Majibu ya kukatana stim

Majibu ya kukatana stim

Yesu hajatoa albamu albamu, imetulia:first:
 
ABIRIA:wai mbona unakaa saana kituoni
KONDA:kama una haraka ungeondoka jana
ABIRIA:Ndio hivyo shughuli yenyewe kesho ndo maana naondoka leo
 
ABIRIA:wai mbona unakaa saana kituoni
KONDA:kama una haraka ungeondoka jana
ABIRIA:Ndio hivyo shughuli yenyewe kesho ndo maana naondoka leo
KONDA:Hata siku moja,kesho haijawahi fika.
 
Konda: we mzee sogea nyuma wenzio waingie
Abiria: we vipi mzee nani kakuambia mimi mzee?
Konda: samahani sikukuangalia vizuri, we mtoto kaa vizuri watu waingie.
 
Hiyo ya kupanda fridge ni noumaaaaaaaaaa!!
 
Abiria: konda gari limeshajaa, tuondoke. Konda: ndoo ya maji ndo inajaa, cyo gari wewe
 
Abiria:konda umenipitiliza kituo
konda:kwani mi ndio najua unakoenda!
Abiria:si nilikwambia sipafahamu.
Konda:sasa umejuaje kama umepilizwa!
 
hahahahahaaaa!!!!
aseee!! hii kiboko aseee
 
anaona umefunga macho anakuamsha afu anauliza."vp umelaa?"
"no najifunza kufa"
***
unatoka nje wakat wa mvua unaulizwa.
"unaenda na hii mvua?"
"No naenda na inayofata!" :-D
 
...hahahaaa!
Makonda wakati flani wanakera sana, hasa wakitoka kula mchana. Wanatoa vichwa nje ya daladala makalio wanaacha ndani. Kinachoendelea ni harufu zisizoeleweka!!
 
MTEJA:Kaka,hicho kiatu sh.ngapi? MUUZAJI:sh.45000. MTEJA:Mh!kwaheri. MUUZAJI:Wewe mbona unakimbia kama umegongwa na manyigu,hebu njoo tuelewane,bei maelewano!
 
Abiria:konda umenipitiliza kituo
konda:kwani mi ndio najua unakoenda!
Abiria:si nilikwambia sipafahamu.
Konda:sasa umejuaje kama umepilizwa!
Aisee,hata kama nguvu sina,nitamrushia hata mawe!
 
Back
Top Bottom