lossoJR
JF-Expert Member
- Oct 11, 2012
- 2,711
- 2,382
Huku mambo ni moto,sijui ndio kuvurugwa na maisha...
Mlokole: "Nyimbo gani mnapiga?!? Wekeni nyimbo za Yesu.."
Konda: "Vipi wewe, Yesu bado hajatoa album...
Abiria: "Kuna Kiti au unasema panda tu!?"
Konda: "hao wengine wamekalia ndoo?! "
Abiria: "Embu punguzeni sauti ya redio..."
Konda: "Sheria za nchi tu zinatushinda, tusikilize na zako!? hebu tupunguzie misheria"
Mmama: "Bwana ondoa gari joto sana!!",
Konda: "Usituzingue wewe, shuka upande fridge...."
Konda: "Anti, kuna siti pale nyuma, ingia...."
Anti: "Siwezi kaa siti za nyuma..."
Konda: "Kwenda zako wewe, Kwani za nyuma ziko nje ya gari?!"
Sister duu: "Konda unanibana bwana..."
Konda: "mbona nguo ulizovaa huzisemi, kama ulitaka kujiachia ungekodi treni peke yako!!!"
Sharobaro: "Kuna kiti?! Kama hamna sipandi..."
Konda: "Kama unaogopa kukosa kiti si ungebeba cha kwako!!?"
Mlokole: "Nyimbo gani mnapiga?!? Wekeni nyimbo za Yesu.."
Konda: "Vipi wewe, Yesu bado hajatoa album...
Abiria: "Kuna Kiti au unasema panda tu!?"
Konda: "hao wengine wamekalia ndoo?! "
Abiria: "Embu punguzeni sauti ya redio..."
Konda: "Sheria za nchi tu zinatushinda, tusikilize na zako!? hebu tupunguzie misheria"
Mmama: "Bwana ondoa gari joto sana!!",
Konda: "Usituzingue wewe, shuka upande fridge...."
Konda: "Anti, kuna siti pale nyuma, ingia...."
Anti: "Siwezi kaa siti za nyuma..."
Konda: "Kwenda zako wewe, Kwani za nyuma ziko nje ya gari?!"
Sister duu: "Konda unanibana bwana..."
Konda: "mbona nguo ulizovaa huzisemi, kama ulitaka kujiachia ungekodi treni peke yako!!!"
Sharobaro: "Kuna kiti?! Kama hamna sipandi..."
Konda: "Kama unaogopa kukosa kiti si ungebeba cha kwako!!?"