tulia dogo utabakwa bure! huyo sijui nani unayemtegemea ulimi huooo ndio itakuwa wewe ambae hata ungo bado hujavunja!!? makelele tu, huna lolote la maana unaloongea zaidi ya kujaza pages tu hapa!! nenda kafundwe, halafu rudi hapa siku nyingine mara nyingine..'till then, take care of your young, stupid and fragile self.!!
MODS.
Nimetukanwa bila sababu naomba sheria ichukue mkondo wake, yote haya sababu kuna watu wanataka kutudanganya kuwa unaweza kutibu Marekani bila Leseni wakati Masau mwenyewe kasema hakuwa na leseni na hakutibu Marekani, mimi nijuavyo Gari huwezi kuendesha Marekani bila leseni ya Marekani hata kama umekaa miaka 20 na hilo gari useme kuwa unapanda wewe mwenyewe, sidhani kama Wamarekani wanaweza kumruhusu mtu kutibu bila leseni kutoka kwenye bodi ya udaktari, wanataka kutuambia kuwa leseni ya udereva ya Tanzania inafaa Marekani.
ukienda kujiendeleza na kozi ya Urubani Marekani unaweza kuwa na leseni yako ya Tanzania kwenye mafunzo lakini huwezi kurusha ndege za kimarekani na kubeba abiria wa Kimarekani bila kupata idhini ya bodi ya Wamarekani.
Acheni kudanganya watu Marekani inajulikana hadi kwenye mitandao sio lazima mtu aishi miaka 20 ndio aijue.