Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,227
- 113,584
Hata Afya kuna walioishi Marekani kama wewe! na wametambua qualifications zake na kumpa licence.
Convince us that Afya people were wrong and YOU ARE THE ONE WHO IS RIGHT!... Yaani unawazidi hata jamaa wa Tanganyika Medical Board! Duh!
Mimi binafsi ninao ndugu (wa karibu kabisa) ambao wako pale Afya waliosomea Emory School of Medicine (Atlanta, Georgia)....