Majibu ya Dr. Masau wa THI kwa maswali mbalimbali

Kuendeleza swali la FieldMashall, " Ni kipengele Gani Cha Sheria kilikuruhusu Kupata Information za Dr Masau?"

Because Data Protection Act forbid for third part person kupata Information za Mtu Mwingine without His Consent '

Hakuna Data protection bila kuwa na haki za Mgonjwa au Mteja, ukienda kwa Mwanasheria akasema amesajiriwa na anaweza kukutetea ukiwasiliana na Tanganyika Law Society watakwambia kama kweli huyo mtu kapita na ni wakili anayetambulika, hakuna siri kwenye haki za mgonjwa au Mteja wanatoa habari za madaktari au wanasheria wao.

Mfano ukiuliza wakili Nimrod Mkono kwenye bodi yenye dhamana ya kusajili wanasheria ambayo ni Tanganyika Law Society watakwambia kuwa Mkono alisajiliwa 31-08-1977 na namba yake ya usajili ni 71.

ukiuliza wakili yeyote mfano Murtaza Ahmed Lakha alisajiliwa 24.06.1968 na nambari yake ni 32, aliyeanza ni PIROJSHAW 20.4.1931 hakuna siri wala data Protection.

tizama Tanganyika Law Society.
http://www.tanganyikalawsociety.or.tz/members.htm

Dua.

Kuna uongo unarudiwa rudiwa kuwa Masau alikuwa akitibu Marekani na ana kitengo chake ST LUKES hospital kama kuna PARTNERSHIP between THI na ST.LUKES hospital ,hilo nitabisha hadi kiama.

Umesema kuwa kuna watu wanafanya masters UK na kufanya mafunzo ya utabibu hao hawaja qualify kuwa madaktari wako kwenye mazoezi hata CV zao hawawezi kusema kuwa walikuwa wakitibu ST.THOMAS HOSPITAL watasema tulifanya mazoezi ya vitendo kwenye hospital fulani.

Kama ukifanya MBA cranfield au Manchester University na ukaenda kufanya Field Loyyds Bank au Barclays au ukaandikia Dissertation juu ya London Stocks Exchange huwezi kuandika kwenye CV yako kuwa ulikuwa mfanyakazi wa Barclays UK au London Stock exchange, unaweza kusema kuwa nilifanya Field sehemu fulani lakini sio kusema kuwa wewe ulikuwa UK kama mfanyakazi wa Barclays uk na hata familia yako iko UK.
VISA za hao wanaofanya masters zitasema wazi kuwa ni Student VISA, lakini akiwa anafanya kazi kama Daktari atakuwa na visa ya WORK PERMIT au wanaweza kuwa na kitu kinaitwa HSMP.

DR.Masau hakuna anayesema hajasoma Uchina na Muhimbili watu tunabisha kuwa hajatibu Marekani na hawezi kutibu bila idhini ya TEXAS MEDICAL BOARD na hao hawana rekodi zake kama alikuwa daktari wao. aliyekwenda kwenye source ni KUHANI kwani amekwenda kwenye bodi husika,Mwanakijiji kuendelea kumuhoji Mtuhumiwa ukitarajia kupata ukweli juu ya tuhuma zake si kutafuta suluhu na ukweli, zaidi ni kuendelea kumlinda Masau, tafuta INDEPENDENT BODY ifanye kazi hiyo.

Field Marshal.
Kuna watu wanaishi Marekani bila vibali kama watu wa South American kwa mamilioni lakini huo sio utaratibu wa sheria za uhamiaji wa Wamarekani,Tunazungumzia Taratibu za kutibu Marekani, hatusemi kuwa unaweza kuishi kwa njia za panya au kutibu bila leseni, Kuhani anatuonyesha Formality za kuweza kutibu mjadala huu utamsaidia kijana aliye Muhimibili na ana DREAM ya kwenda kutibu Marekani kama Professsional sio njia za panya, ukisema kuwa unaruhusiwa unaweza kuwadanganya vijana wengi kwa kauli yako, labda mganga wa kienyeji anaweza kufanya shughuli zake bila Kibali MAREKANI lakini si medical Doctor.

Sikubaliani na kauli ya DR.Masau kuwa kawafanyia oparesheni wagonjwa 1800 wastani wa wagonjwa mia sita kwa mwaka,sikubali kuwa aliwahi kuishi MAREKANI kama Daktari aliishi akiwa na status ya uanafunzi,hakuwa akilipwa kama ni mtalaam wa tiba aliishi kwa allowance za kiuanafunzi na kama alipata wasaa alibeba box.

Kutokana na kuwa hakuwa professional medical Doctor ndio maana anafanya mambo yake kiholela holela na kiubabaishaji sana.
 
Bwanaee utaratibu ndio huo huo kila sehemu uendako..mie nimesoma bongo na hapa mtoni! ukiwa mwanafunzi unafanya vituz chini ya licence ya instructor wako ambae lazima awe amekuwa registerd ktk boards za fani ktk state husika..

Dr. Masau hana licence ya kupasua/kutibu hapa US, hiyo ni fact. Kutokuwa kwake na hizo leseni hakuzuii yeye kuwepo kama guest/mwanafunzi au vyovyote lau kama kuna consent ya doctors husika/mgonjwa tokana na credentials zake, yeye kuwepo ktk upasuaji huo..ukiwa mwanafunzi/guest kazi yako ni kutazama na kuuliza maswali zaidi ya hapo utakuwa nje ya mstari au watakao kuruhusu watakuwa wamevunja sheria.

Sasa basi, Masau anatumia lugha ipi? lugha ya kuwa yeye kashiriki ktk upasuaji au kaudhuria kama mtazamaji ktk pasuaji kedekede?

Shutuma dhidi ya Masau na vyeti vyake ni upuuzi mtu, lakini pia Masau anaweka chumvi kama anasema "alishiriki" ktk pasuaji wakati tunajua hakuwa na leseni! Again, lugha anayotakiwa kuitumia ni ya yeye kuudhuria pasuaji na si vinginevyo.

Issue ya Kodi ni unafiki na majungu matupu! kwani imekuwa ajabu yeye kukwepa kodi? ktk "Bongo mimavi nziiii" nzima ni Masau peke yake alokwepa kodi? kama jibu ni hapana je wangapi wana hizo kesi kama yeye!?

Mnakatisha tamaa, yaani muhindi ni sawa kukwepa kodi..lakini mswahili ni issue! lau kama Masau angekuwa Mzungu ambae kafungiwa leseni kwao kwa malpractice na kupasua watu hapo Bongo wala maswali msingeuliza, lakini kwasababu ni mswahili basi majungu kama kawaida yenu!!

hovyoooo
Masau anasema kapasua watu zaidi ya 1800 unataka tukubali tu? mimi nabisha hawezi kufanya operesheni mia sita kwa mwaka hata kama Wamarekani wana uhaba wa madaktari.

Elimu anayo si ya Marekani na hakuwahi kuishi Marekani kama daktari Mtalaam ameishi kama Mwanafunzi aliyekwenda kutizama, na hatambuliki na bodi ya Texas kama anatibu Marekani.
Elimu yake ya China kaMa kutibu anaweza China sio Marekani.

MODS.

naonga hii iunganishwe hakuna haja ya kugawa mjadala wakati anayejadiliwa ni mtu huyo huyo mmoja.
 
Wakuu tunajadili nini hasa hapa? Hivi huu ukweli unahitaji nini zaidi wewe mkuu acha fitina na majugnu hapa JF, acha majungu, acha uzandiki, wacha roho mbaya, acha kuchonganisha jamii, acha kupandikiza mbegu za uzandiki, leo umeshikwa kwa sababu siku za mwizi ni arobaini, nilisema majuzi wewe ni 100% flawed sasa utawezaje kujua flaws za wengine hii uliyotuletea leo ni aibu kubwa sana toka hii forum ianzishwe hatujawahi kukamatwa uongo na watu kutoka nje, tunaheshimika sana JF kwa kuwa na nondo nzito na zenye ukweli, hii ni aibu kwa JF nzima mimi included, halkafu unajaribu kubadilika rangi ili ujioshe nothing zote hizo ni nonesense!, ungama utubu makosa yako, kama Dr. Masau ana matatizo muyseme mengine lakini hili halina ubishi kuwa ni uongo! tizama maneno yenye ukweli haya chini:-


Nilikuwa sijui mtandao wenu hadi majuzi nilipoongea na Mr. Mstsimbe na kuniambia kuhusu suala hilo. Baada ya hapo nilifanikiwa kuingia kwenye mtandao wenu na kukuta mambo mengi sana.

Kifupi ni kuwa nisingependa kujiingiza kwenye malumbano au majadiliano yenu na wala sipingi nyie kuendelea na mijadala yenu na hasa kwa vile wote siwajui na mnatumia majina ya kuficha. Lakini kwa ufupi ni kuwa:

2. Nilikuwa sponsored na University of Texas Health Science Center-Houston kwenda Texas Heart Institute kwenye Cardiovascular Surgery Fellowship Program. Nilikuwa Texas Heart Institute kwenye hiyo program kuanzia January 1997 hadi June 2000 na katika kipindi hicho nilishiriki katika kufanya operation za upasuaji wa moyo zaidi ya 1800 (vielelezo vyote vipo).

Wakati nikiwa Texas Heart Institute sikuwa chini ya Texas Medical Board na hivyo sikuhitaji kuwa na Licence kutoka Texas Medical Board na wala sijawahi kuwasiliana nayo kwani ingekuwa na maana tu kwangu iwapo ningetaka kubaki na kufanyia kazi huko Texas. Mimi lengo langu lilikuwa ni mafunzo na kurudi nyumbani.

Lakini ingawa niko nyumbani bado na-maintain ushirikiano mzuri na Texas Heart Institute na Texas Children's Hospital kiasi kwamba mara nyingi nakuja (pamoja na kwamba familia yangu ipo Texas) na naendelea kushiriki katika kufanya operation pale ninapoomba au kuhitaji. Na taasisi hizi mbili ni moja wa supporters wakubwa wa Tanzania Heart Institute.

Dr. Masau
 
Unaona sasa hiki kitu! Eeeh, Dr. Masau, unaona unavyozidi kuharibu! You're in a hole, the first thing you wanna do is stop digging, alright!

Ningekuwa sijakaa Marekani hata mimi labda ningempa kibali cha kufungua hospitali. Na ndio maana nasema watu wa Afya ni vigumu sana kumshuku mtu kama Masau.

Ni hivi, hakuna kiumbe cha Mwenyezi kinachoweza kugusa mgonjwa - achilia mbali kupasua - kugusa mgonjwa wa mafua Marekani kama huna kibali cha uganga. Period. Simple as that. Period.

Nimekaa kiwanja mvua kibao, and trust me, I didn't spend my life in America watching the Grammies, alright, I'll tell you that for sure. And in the modern world of google you don't even have to subscribe to the morning paper so as to learn the system.

I don't think there is any way whatsoever that foreign doctor, unlicensed in America, can come here and perform an operation, so Dk. Masau, enough with the obfuscation. Please, sir, please!

Wale watu pale Afya, oh yeah, utawapelekesha, lakini sio mtu aliyeishi Kiwanjani mvua nenda mvua rudi, so please save me that spin, ok. Thank you.

Kwa sababu hoja yake ina udhaifu anaposema huwa anakuja na kurudi hapa kufanya operation anapotaka - wakati hana kibali - basi hata hayo mengine ya operation 1800 wakati anajifunza nashindwa kumwamini.

You have to have a license to practice in America. That's mandatory in the story!


Nimeelewa amesema ameshiriki operation 1800 labda hiyo figure, lakini kma kweli hamna tatizo kushiriki maana yake pengine alikuwa msaidizi maana huwa ni timu.

Pia kaka lugha yako haiko straight unazunguka mbuyu mno! wala haikusaidii wala kukufanya uwe tofauti sana.No need of of that mkuu, nenda straight yaani Nyani Ngabu bado umuelewi tu?
 
Kuna watu wanaishi Marekani bila vibali kama watu wa South American kwa mamilioni lakini huo sio utaratibu wa sheria za uhamiaji wa Wamarekani,Tunazungumzia Taratibu za kutibu Marekani, hatusemi kuwa unaweza kuishi kwa njia za panya au kutibu bila leseni, Kuhani anatuonyesha Formality za kuweza kutibu mjadala huu utamsaidia kijana aliye Muhimibili na ana DREAM ya kwenda kutibu Marekani kama Professsional sio njia za panya, ukisema kuwa unaruhusiwa unaweza kuwadanganya vijana wengi kwa kauli yako, labda mganga wa kienyeji anaweza kufanya shughuli zake bila Kibali MAREKANI lakini si medical Doctor.

Sikubaliani na kauli ya DR.Masau kuwa kawafanyia oparesheni wagonjwa 1800 wastani wa wagonjwa mia sita kwa mwaka,sikubali kuwa aliwahi kuishi MAREKANI kama Daktari aliishi akiwa na status ya uanafunzi,hakuwa akilipwa kama ni mtalaam wa tiba aliishi kwa allowance za kiuanafunzi na kama alipata wasaa alibeba box.

Kutokana na kuwa hakuwa professional medical Doctor ndio maana anafanya mambo yake kiholela holela na kiubabaishaji sana.

2. Nilikuwa sponsored na University of Texas Health Science Center-Houston kwenda Texas Heart Institute kwenye Cardiovascular Surgery Fellowship Program. Nilikuwa Texas Heart Institute kwenye hiyo program kuanzia January 1997 hadi June 2000 na katika kipindi hicho nilishiriki katika kufanya operation za upasuaji wa moyo zaidi ya 1800 (vielelezo vyote vipo).

Wakati nikiwa Texas Heart Institute sikuwa chini ya Texas Medical Board na hivyo sikuhitaji kuwa na Licence kutoka Texas Medical Board na wala sijawahi kuwasiliana nayo kwani ingekuwa na maana tu kwangu iwapo ningetaka kubaki na kufanyia kazi huko Texas. Mimi lengo langu lilikuwa ni mafunzo na kurudi nyumbani.

Lakini ingawa niko nyumbani bado na-maintain ushirikiano mzuri na Texas Heart Institute na Texas Children's Hospital kiasi kwamba mara nyingi nakuja (pamoja na kwamba familia yangu ipo Texas) na naendelea kushiriki katika kufanya operation pale ninapoomba au kuhitaji. Na taasisi hizi mbili ni moja wa supporters wakubwa wa Tanzania Heart Institute.

Dr. Masau
Mkuu acha kuendelea kujiabisha, huu chini ni ukweli na wako ni uongo period! Usijairbu kubadili na kugeuza maneno apa huna pa kutokea ila kukubali kuwa umesema uongo na umeshikwa tena mchana kweupeee, ubadili rangi mpaka uchoke ila huwezi kubadili ukweli huu hapa umewekwa na Dr. Masau, aibuuu sana mkuu sio kwako tu bali kwa forum nzima na mimi included, ni jana tu nimekuambia kuwa sielewi tutafanya nini na wewe hapa JF, maana this is insanity!

Kubali sasa yaishe usitumsumbue tena hapa, na ninashukuru kuwa finally wananchi hapa wamejionea wenyewe tuliyokuwa tunayasema, sasa umekuwa mau mau so cheap and very childish!
 
mimi Nipo Hapa Texas Kwa Miaka 11. Watanzania Wenzangu Ukweli Ni Kwamba Dr. Massau Anasema Ukweli Na Malumbano Ya Utalaamu Wake Hayana Msingi. Kama Mnataka Kuzungumzia Mambo Mengine Sawa Lakini Ukweli Ni Kwamba Huyu Jamaa Kabobea Na Mimi Namfahamu Kwa Miaka Yote Hapa Texas Na Familia Yake. Tatizo Dogo Alilonalo Ni La Kitabia, Ni Mbinafsi Kidogo Na Kitu Hicho Ndicho Kibaya Tu Ambacho Nimekiona. Siyo Mfisadi Na Hapendi Makuu Kwenye Maisha Na Si Mtu Wa Kujilimbikizia Pesa Lakini Ni Mbinafsi Na Hilo Si Siri. Iliuweze Kufanya Udoctor Binafsi Unahitaji Kufanya Mitihani Na Kufanya Hospitali Ili Upate Residency Lakini Kama Hutafanya Kazi Marekani Haina Maana Kwani Kila Nchi Inasheria Tofauti. Kwa Ufupi Watu Wanaojaribu Kusema Dr Massau Hajasoma Au Si Muhitimu Ni Kichekesho Kwani Ukienda Texas Medical Cnt Ambayo Ni Kubwa Kuliko Zote Duniani Na Kuuliza Dr Massau Kwa Madaktari Wengine Wanamjua Na Ukifanya Kazi Hapo Na Ni Mtanzania Wanakuuliza Kama Unamjua Masau. Msemeni Kwa Mangine Lakini Education Na Qualification Mtachemsha Na Kuonekana Wajinga Na Washabiki.

Hapo umeua kamundu !!! Natamani Wale Wabishi Wote Wasome Na Kuelewa Neno Hili ambalo Kamundu Awaambia Wao
 
Last edited:
Ona ukweli zaidi unavyozidi kukusuta, aibuu sana mkuu wewe umepiga simu wenzako wameishi naye huko Texas, mimi nina mshikaji wangu kule mtoto wa marehemu waziri wa zamani RIP Saidi Maswanya, ambaye ameishi muda mrefu sana kule anasema anamjua sana Dr. Masau ila hawezi kuingia hapa, mkuu Kamundu ahsante kwa kuweka ukweli unapotakiwa, saaafi sana hii maana ndio kumkoma nyani giladi:-


1. Originally Posted by kamundu
mimi Nipo Hapa Texas Kwa Miaka 11. Watanzania Wenzangu Ukweli Ni Kwamba Dr. Massau Anasema Ukweli Na Malumbano Ya Utalaamu Wake Hayana Msingi.

2. Kama Mnataka Kuzungumzia Mambo Mengine Sawa Lakini Ukweli Ni Kwamba Huyu Jamaa Kabobea Na Mimi Namfahamu Kwa Miaka Yote Hapa Texas Na Familia Yake.

3. Iliuweze Kufanya Udoctor Binafsi Unahitaji Kufanya Mitihani Na Kufanya Hospitali Ili Upate Residency Lakini Kama Hutafanya Kazi Marekani Haina Maana Kwani Kila Nchi Inasheria Tofauti.

4. Kwa Ufupi Watu Wanaojaribu Kusema Dr Massau Hajasoma Au Si Muhitimu Ni Kichekesho Kwani Ukienda Texas Medical Cnt Ambayo Ni Kubwa Kuliko Zote Duniani Na Kuuliza Dr Massau Kwa Madaktari Wengine Wanamjua Na Ukifanya Kazi Hapo Na Ni Mtanzania Wanakuuliza Kama Unamjua Masau.

5. Msemeni Kwa Mangine Lakini Education Na Qualification Mtachemsha Na Kuonekana Wajinga Na Washabiki.
 
Dua.

.

Nimepitia maelezo ya DR.Masau nimegundua kuwa ni mwongo hasemi ukweli wa mambo anasema kuwa alikweda TEXAS 1997-2000 ni muda wa miaka mitatu katika kipindi hicho amepasua mioyo zaidi ya 1800 kwa maelezo yake,wastani wa oparesheni mia sita za mioyo kwa mwaka, sawa na wagonjwa zaidi ya 50 kwa mwezi na iwe kwa siku zote saba akifanya operesheni bila kupumzika basi kwa miaka mitatu yote itakuwa wagonjwa wawili kwa siku.

DR.Masau anataka kutuambia kuwa alipofika tu Texas akawa anapasua watu kila siku? hakuna siku alikuwa OFF au alikuwa na kazi za Theory? Hapa kajichanganya sana Marekani kunatakiwa madaktari lakini siamini kuwa Daktari anaweza kufanya operesheni mbili kwa siku na ndani ya miaka mitatu akafanya oparesheni 1800.

KUHANI.

Huyu mtalaam yuko sawa alichosimamia ni ukweli hata Masau kaukwepa na hajabisha ni sawa na Golikipa wetu Juma Kaseja au Mapunda aende kufanya training na timu yetu DENMARK au Uswisi halafu awe anafanya mazoezi na timu za kule, akirudi aseme alichezea Ligi ya Denmark au Uswizi na Kuhani akaenda kuuliza kwenye FOOTBALL ASSOCIATION yenye dhamana na usajili wa wachezaji wote wa Uswizi au Denmark huko wakasema kuwa hawajawahi kumsajili mchezaji anaitwa Kaseja,lakini akaja Kaseja na kusema kuwa alifanya mazoezi na Timu ya ABX. Hizo Taasis alizoandika Masau ni kama NGO hazihusiani na taaluma yake, kama angesema alikuwa REGISTER na Texas Medical Board hapo ningekuwa sina ubishi nae.

DR.Masau hakuna anayebisha hajasoma Muhimbili na China ila Marekani hakuwahi kuwa Daktari na hana kibali cha kutibu mtu,huwezi kutibu kama huna kibali.

Good analyisis mkuu, lakini kwenye kazi hizi za professional kuna ushiriki wa aina nyingi, pengine ushiriki wake alikuwa anashiriki hata katika operation 10 kwa siku lakini HOW? ndiyo swali kama intellectual inabidi ungeuliza siyo kufanya analyisis kitoto kama hapo juu.

Kuna vipengele vingi na hatua nyingi ambazo mtu anaweza kudai alishiriki katika hizo operation, lingine pia ni kujua hiyo hospitali imespecialise kwenye moyo? jibu yes.Kama ndivyo huwa kwa siku wanapokea wagonjwa wangapi na wanafanyiwa operation watu wangapi, kumbuka marekani wako milioni 300, achilia mbali wanaotoka nje wengi tu.

Hata kama ushiriki wake ulikuwa kutandika kitanda kabla ya mgonjwa kulazwa bado ameshiriki!!!! NAMBA ISIKUTISHE RATHER YOU SHOULD ASK YOUR SELF HOW THAT WAS POSSIBLE!!! ukijibiwa usipinge, ukipinga ni kwa sababu tayari uko negative side

waberoya
 
"Dr. Masau hajawahi kusomea upasua moyo!" - Hili ndio dai lililotolewa. Sasa msiende nje ya subject. Kulingana na maelezo ya pande zote mbili yaliyokwishatolewa, nadhani ubishi hakuna tena.
 
Nyani Ngabu Re: Dr. Masau ajibu hoja za Ndg. Kuhani

"Dr. Masau hajawahi kusomea upasua moyo!" - Hili ndio dai lililotolewa. Sasa msiende nje ya subject. Kulingana na maelezo ya pande zote mbili yaliyokwishatolewa, nadhani ubishi hakuna tena.

2. Nilikuwa sponsored na University of Texas Health Science Center-Houston kwenda Texas Heart Institute kwenye Cardiovascular Surgery Fellowship Program. Nilikuwa Texas Heart Institute kwenye hiyo program kuanzia January 1997 hadi June 2000 na katika kipindi hicho nilishiriki katika kufanya operation za upasuaji wa moyo zaidi ya 1800 (vielelezo vyote vipo).

Dr. Masau
 
Mkuu acha kuendelea kujiabisha, huu chini ni ukweli na wako ni uongo period! Usijairbu kubadili na kugeuza maneno apa huna pa kutokea ila kukubali kuwa umesema uongo na umeshikwa tena mchana kweupeee, ubadili rangi mpaka uchoke ila huwezi kubadili ukweli huu hapa umewekwa na Dr. Masau, aibuuu sana mkuu sio kwako tu bali kwa forum nzima na mimi included, ni jana tu nimekuambia kuwa sielewi tutafanya nini na wewe hapa JF, maana this is insanity!

Kubali sasa yaishe usitumsumbue tena hapa, na ninashukuru kuwa finally wananchi hapa wamejionea wenyewe tuliyokuwa tunayasema, sasa umekuwa mau mau so cheap and very childish!

Wewe unajiita Field Marshal unamuogopa KUHANI kiasi hicho? kila mtu unadhani ni KUHANI?
Masau kasema kuwa LENGO LAKE LILIKUWA MAFUNZO NA SIO KUISHI MAREKANI, kauli hiyo ina maana hakuwahi kuwa Daktari MAREKANI na hana KIBALI CHA KUFANYA SHUGHULI HIYO. kwa vile wewe mgumu wa kuelewa ana maana alikuwa na STATUS ya uanafunzi.

FMES kwani kuwa na watoto wa mawaziri unapata nini? naona unapenda sana kujikweza na watoto wa vigogo hiyo sio sababu ya kuwa hoja yako ni ya kweli hata kama Ulikuwa na mtoto wa Sokoine.

Umesema kuwa Umeishi Marekani miaka 20 kuna watu wanatibu bila leseni, huoni aibu kutudanga hapa JF au hujui kama unadanganya hadi akuambie MTOTO WA WAZIRI MASWANYA?

acha ujuaji usio na faida bora Mwanakijiji anajifaharisha na kuwa mtoto wa Mkulima for your information hakuna anayebabaikia mtoto wa waziri labda wewe.
 
"Dr. Masau hajawahi kusomea upasua moyo!" - Hili ndio dai lililotolewa. Sasa msiende nje ya subject. Kulingana na maelezo ya pande zote mbili yaliyokwishatolewa, nadhani ubishi hakuna tena.
FMES kasema unaweza kutibu bila leseni ya udaktari kazidi kutupoteza.
 
Lakini sijarudi Burundi kujifanya Mrundi kweli!

Unanikumbusha mtoto anapofanya kitu unamwambia aibuu, aibuuu, aibuuu,na yeye kwa aibu ataangalia chini, kama mko close yaani marafiki atakimbia au atalia, au atacheka huku anajificha uso!!! yaani ndiyo wewe mkuu .Kaa kimya, ulifanya sahihi kutafuta habari pengine ingekuwa kweli ulivyodhani nani ajuaye! lakini baada ya kuthibitishiwa kama hivi geuka haraka sema jamani nimekubali you will loose nothing

waberoya
 
Wewe unajiita Field Marshal unamuogopa KUHANI kiasi hicho? kila mtu unadhani ni KUHANI?

Hapana mimi siogopi mtu hapa ndani au nje ya hapa, hata siku moja ninaheshimu watu, lakini sina heshima na watu waongo na wazandiki kama kuhani, kazi kutukana watu hapa leo amehsikwa kama yeye ni wewe I could crae less, ila wewe na yeye ni waongo na mmeshikwa period!

Masau kasema kuwa LENGO LAKE LILIKUWA MAFUNZO NA SIO KUISHI MAREKANI, kauli hiyo ina maana hakuwahi kuwa Daktari MAREKANI na hana KIBALI CHA KUFANYA SHUGHULI HIYO. kwa vile wewe mgumu wa kuelewa ana maana alikuwa na STATUS ya uanafunzi.
[/B]

Ishu ilikuwa kama Masau, amewahi kupasua wagonjwa wa moyo, hapo juu amethibitisha kuwa ameshiriki kupasua wagoinjwa 1800, hayo yako nyingine ni nonesense!

FMES kwani kuwa na watoto wa mawaziri unapata nini? naona unapenda sana kujikweza na watoto wa vigogo hiyo sio sababu ya kuwa hoja yako ni ya kweli hata kama Ulikuwa na mtoto wa Sokoine.

Katika hoja za siasa siku zote tunatumia alama kubwa katika mazingara ili kuthibitisha hoja, kwa hiyo ni lazima nitumie alama inayoweza kufahamika kwa urahisi kwenye lile eneo linalozungumziwa, ninasema hivi kule Texas kuna mtoto wa Maswanya, aliyekuwa Waziri zamani sasa nimabie kama hayupo huko, mkuu umeshikwa pabaya acha uongo na uzushi hapa JF utajibadili rangi weee lakini ukweli umwekwa wazi kuwa wewe ni muongo sana na mzandiki!

Umesema kuwa Umeishi Marekani miaka 20 kuna watu wanatibu bila leseni, huoni aibu kutudanga hapa JF au hujui kama unadanganya hadi akuambie MTOTO WA WAZIRI MASWANYA?

Dr. Masau ameshiriki kupasua watu 1800, sasa acha uongo na uzandiki, huna ukweli wewe unatuabishia forum nzima na huu uongo wako this time umeshikwa wazi wote tumeona hapa! Dr. Masau ameshiriki kupasua watu 1800, je una hoja hapo tena?

acha ujuaji usio na faida bora Mwanakijiji anajifaharisha na kuwa mtoto wa Mkulima for your information hakuna anayebabaikia mtoto wa waziri labda wewe.

Muongo mkubwa wewe na mzandiki mkubwa, sasa unataka kuharibu topic ifungwe, umeshikwa pabaya sasa kubali tu yaishe, muongo mkubwa na mzandiki mnafiki, na fitina mkubwa kazi kuwasingizia kina Dr. Masau maneno ya uongo, eti mimi ninakuogopa nikuogope kwa kitu gani mkuu kwa uongo? Hapa unapewa ukweli wako hatuogopi mtu hapa Jf hata siku moja hata uwe wewe kama ni muongo unapewa vipande vyako wazii, hakuna waziri hapa wewe ni muongo period!
 
Unanikumbusha mtoto anapofanya kitu unamwambia aibuu, aibuuu, aibuuu,na yeye kwa aibu ataangalia chini, kama mko close yaani marafiki atakimbia au atalia, au atacheka huku anajificha uso!!! yaani ndiyo wewe mkuu .Kaa kimya, ulifanya sahihi kutafuta habari pengine ingekuwa kweli ulivyodhani nani ajuaye! lakini baada ya kuthibitishiwa kama hivi geuka haraka sema jamani nimekubali you will loose nothing

waberoya

Mimi sijakataa kama alisoma Marekani ninachopinga hajafanya kazi hiyo Marekani ya kuwa Daktari,sihitaji kumjua mtoto wa Mizengo Pinda au Paul Rupia kujua kuwa DR.Masau hajawahi ku PRACTISE kama Daktari Marekani, jambo hili nitabisha hadi kiama,nakubali kwenye PROFESSIONAL ya watoto wa mawaziri au maisha ya viongozi sina uzoefu na siyajui wako PROFESSIONAL wa hayo na siwezi kuwabishia, lakini hili la kusema kuwa Masau alitibu bila leseni kwa vile aliyetoa habari ameishi miaka 20 sikubali.

Yapo ya kutudanganya kuwa kuna ghorofa linamwaga pesa, mnaishi next door na Bill Clinton au Obama mliwahi kumkopesha dola mia n.k lakini sio hili la kusema Masau katibu wagonjwa mia sita kwa mwaka na MAREKANI inaruhusu mtu kutibu bila kuwa registered kwenye bodi husika.
 
Nyani Ngabu Re: Dr. Masau ajibu hoja za Ndg. Kuhani

"Dr. Masau hajawahi kusomea upasua moyo!" - Hili ndio dai lililotolewa. Sasa msiende nje ya subject. Kulingana na maelezo ya pande zote mbili yaliyokwishatolewa, nadhani ubishi hakuna tena.

2. Nilikuwa sponsored na University of Texas Health Science Center-Houston kwenda Texas Heart Institute kwenye Cardiovascular Surgery Fellowship Program. Nilikuwa Texas Heart Institute kwenye hiyo program kuanzia January 1997 hadi June 2000 na katika kipindi hicho nilishiriki katika kufanya operation za upasuaji wa moyo zaidi ya 1800 (vielelezo vyote vipo).


Dr. Masau
 
PROFESSIONAL ya watoto wa mawaziri au maisha ya viongozi sina uzoefu na siyajui wako PROFESSIONAL wa hayo na siwezi kuwabishia, lakini hili la kusema kuwa Masau alitibu bila leseni kwa vile aliyetoa habari ameishi miaka 20 sikubali.

Ha! ha! ha! Hillarious! jamaa mtu wangu sana, nimepiga simu kwa Pastor, amesema amefanya sala ya mazishi bila kujua kama kuna mwili ndani ya jeneza maana aliambiwa tu wanafamilia akakubali, baaaaaabu kubwa!
 
Mimi sijakataa kama alisoma Marekani ninachopinga hajafanya kazi hiyo Marekani ya kuwa Daktari,sihitaji kumjua mtoto wa Mizengo Pinda au Paul Rupia kujua kuwa DR.Masau hajawahi ku PRACTISE kama Daktari Marekani, jambo hili nitabisha hadi kiama,nakubali kwenye PROFESSIONAL ya watoto wa mawaziri au maisha ya viongozi sina uzoefu na siyajui wako PROFESSIONAL wa hayo na siwezi kuwabishia, lakini hili la kusema kuwa Masau alitibu bila leseni kwa vile aliyetoa habari ameishi miaka 20 sikubali.

Yapo ya kutudanganya kuwa kuna ghorofa linamwaga pesa, mnaishi next door na Bill Clinton au Obama mliwahi kumkopesha dola mia n.k lakini sio hili la kusema Masau katibu wagonjwa mia sita kwa mwaka na MAREKANI inaruhusu mtu kutibu bila kuwa registered kwenye bodi husika.

Unakubali kuwa alisomea upasua moyo?
 
Unakubali kuwa alisomea upasua moyo?

Kasomea udaktari Muhimbili akaenda Uchina.
HAJAWAHI KUTIBU MAREKANI NA HATAMBULIKI KAMA DAKTARI MAREKANI ILI ATAMBULIKE INABIDI AJISAJILI NA BODI HUSIKA KITU AMBACHO SI RAHISI KWAKE.
NINACHOPINGA HAPA ULE UONGO UNAORUDIWA RUDIWA KUWA ALIKUWA AKITIBU NA KUISHI MAREKANI,KWA BAHATI MBAYA VYOMBO VYETU VYA HABARI VINAANDIKA TU KITU AMBACHO SI KWELI, NITAKUFA NA UKWELI HUU KUWA HAKU PRACTISE MEDICINE YAKE MAREKANI,HILI HALIHITAJI KUMJUA MTOTO WA DR.SALIM AHMED SALIM ALIYEPO NEW YORK ANAYEFANYA WORLD BANK,AU BALOZI DR.MAHIGA.

MWANAKIJIJI AKIWA KIJIJJINI NACHINGWEA ANAWEZA KULIJUA.

AU ATIBU BILA LESENI KAMA ALIVYOSEMA FMES ILA HUO SI UTARATIBU WA NCHI NA WIZARA YA AFYA YA WAMAREKANI.
 
My original message to Dr. Masau:



Na hili ndilo jibu lake:

Mwanakijiji,
Asante kwa message yako.
Nilikuwa sijui mtandao wenu hadi majuzi nilipoongea na Mr. Mstsimbe na kuniambia kuhusu suala hilo. Baada ya hapo nilifanikiwa kuingia kwenye mtandao wenu na kukuta mambo mengi sana.

Kifupi ni kuwa nisingependa kujiingiza kwenye malumbano au majadiliano yenu na wala sipingi nyie kuendelea na mijadala yenu na hasa kwa vile wote siwajui na mnatumia majina ya kuficha. Lakini kwa ufupi ni kuwa:

1. Nimekwenda Texas Heart Institute wakati huo nimeshakuwa Registered na Medical Council of Tanganyika in 1995 as a Thoracic and Cardiovascular Surgeon baada ya kuwa nimesomea Shahada ya Udhamili katika Upasuaji wa Kifua, Moyo na Mishipa ya Damu (Masters of Medicine in Thoracic and Cardiovascular Surgery) na kufanya kazi Muhimbili katika fani hiyo hadi nilipokwenda Texas mwishoni mwa mwaka 1996.

2. Nilikuwa sponsored na University of Texas Health Science Center-Houston kwenda Texas Heart Institute kwenye Cardiovascular Surgery Fellowship Program. Nilikuwa Texas Heart Institute kwenye hiyo program kuanzia January 1997 hadi June 2000 na katika kipindi hicho nilishiriki katika kufanya operation za upasuaji wa moyo zaidi ya 1800 (vielelezo vyote vipo).

Wakati nikiwa Texas Heart Institute sikuwa chini ya Texas Medical Board na hivyo sikuhitaji kuwa na Licence kutoka Texas Medical Board na wala sijawahi kuwasiliana nayo kwani ingekuwa na maana tu kwangu iwapo ningetaka kubaki na kufanyia kazi huko Texas. Mimi lengo langu lilikuwa ni mafunzo na kurudi nyumbani.

Lakini ingawa niko nyumbani bado na-maintain ushirikiano mzuri na Texas Heart Institute na Texas Children's Hospital kiasi kwamba mara nyingi nakuja (pamoja na kwamba familia yangu ipo Texas) na naendelea kushiriki katika kufanya operation pale ninapoomba au kuhitaji. Na taasisi hizi mbili ni moja wa supporters wakubwa wa Tanzania Heart Institute.

3. Mimi ni mwanachama wa Society of Thoracic Surgeons na mmoja wa wajumbe katika Kamati maalumu ya Chama hicho -Workforce of International Relationship of the Society of Thoracic Surgeons kutoka mwaka 2002 -2008

4. Mimi ni Mwanachama mwanzilishi wa program maalum ya upasuaji wa moyo duniani- Founding Member of the International Cardiac Surgery Program under the World Heart Foundation.

5. Nimekuwa Chairman of the National Organizing Committee of the 5th African Heart Seminar 2008 under the Course Directors: Prof. Charles Yankah of Berlin Heart Institute and University of Berlin, German and Dr. Willie Koen from Christian Barnaard Memorial Hospital, Cape Town- South Africa.

6. Next Month September 2008 invited special guest by European Association for Cardiothoracic Surgery and the Society of Thoracic Surgeons and American Association of Thoracic Surgery for laying grounds for the formation of African Society of Thoracic Surgeons/ African Heart Foundation.

Mwisho, nawatakieni majadiliano na malumbano mema.

Dr. Masau

Mwanakijiji
kote umezuunguka sawa na mtu kukwambia ni mjumbe wa BMT,TFF wilaya,Friends of Simba n.k

maandiko yake ya maana na yanakusuta wewe ni mstari namba mbili anasema kuwa HAKUWAHI KUFANYA KAZI MAREKANI NA HAKUWA NA LICENCE YA UDAKTARI YA HUKO TEXAS NA HAKUWAHI KUWASILIANA NAO, INGEKUWA NA MAANA HIYO LICENCE KAMA ANGEKUWA NA NIA YA KUFANYA KAZI HUKO NA YEYE HAKUWA NA NIA HIYO, NIA YAKE ILIKUWA KUJIFUNZA NA KURUDI NYUMBANI,

swali ulituambia kuwa jamaa alikuwa akililiwa na Wamarekani na kulipwa vizuri alilipwa vipi huku mwenyewe anasema hakuwa na leseni ya udaktari?

leseni ya udaktari kama leseni ya Gari hata kama ulipokuwa Tanzania ulikuwa unajua kuendesha na ulikuwa na leseni ya gari lazima ukitaka kuendesha gari Marekani uwe na leseni ya Marekani na ipitishwe na bodi ya Marekani,huwezi kusema kuwa unajua kuendesha gari toka Tanzania.
 
Back
Top Bottom