Majibu ya baadhi ya maswali yenu

Majibu ya baadhi ya maswali yenu

ahsante kwa maelezo tunataka namna hiyo ni mwanamke anayeweza kudhubutu kufanya kile ambacho anakiamini ni sahihi.
 
Tunahitaji mawaziri wa aina hii, tafadhali waambie na mawaziri wengine wajiunge jf
 
Mama Tibaijuka, kidumu chama cha mapinduzi. Nikupe ongera kwa ujasili wako wa kuja kutolea majibu humu jukwaani, ukizingatia kwa vuguvugu la ushindani lilivyo kwa sasa, nikupe hongera.

Lakini kuhusu jengo pale mtaa wa Indra Gadhi, Posta. Sidhani kama pingamizi lililo tolewa lina tija, ukizingatia hali ya usalama kwa wakazi wa eneo husika bado si shwari, watu hawana amani na wanashindwa kufanya shughuli zao kwa uhuru.

Mimi nadhani jengo livunjwe haraka iwezekanavyo, harafu mahakama kuu kama chombo cha kusimamia na kutoa haki, tuone itahamua nini. Haya ni maisha ya watanzania tunayangelea hapa, hatuwezi kuendelea kuyahatarisha kwa pingamizi la mtu mmoja au kikundi cha watu kwa kulinda maslahi yao.
Jaribuni basi kujifunza kuwa kuna A na HA; kama kulivyo na R na L. Unaweza kuandika mawazo mazuri lakini makosa madogo kama haya yanaleta impression nyingine kabisa! Hii imezidi sana hapa JF sasa!
 
Mama Tibaijuka, kidumu chama cha mapinduzi. Nikupe ongera kwa ujasili wako wa kuja kutolea majibu humu jukwaani, ukizingatia kwa vuguvugu la ushindani lilivyo kwa sasa, nikupe hongera.

Lakini kuhusu jengo pale mtaa wa Indra Gadhi, Posta. Sidhani kama pingamizi lililo tolewa lina tija, ukizingatia hali ya usalama kwa wakazi wa eneo husika bado si shwari, watu hawana amani na wanashindwa kufanya shughuli zao kwa uhuru.

Mimi nadhani jengo livunjwe haraka iwezekanavyo, harafu mahakama kuu kama chombo cha kusimamia na kutoa haki, tuone itahamua nini. Haya ni maisha ya watanzania tunayangelea hapa, hatuwezi kuendelea kuyahatarisha kwa pingamizi la mtu mmoja au kikundi cha watu kwa kulinda maslahi yao.

mkuu mimi nipingane na wewe kidogo sote tunaongozwa na sheria pengine kitu ambacho angefanya mama ni kwa kutumia wanasheria wa wizara yake kwenda mahakamani wakaeleze madhara na hatari iliyopo katika jengo hilo waiombe mahakama iondoe zuio lililopo ili jengo livunjwe kisheria siyo kwa mabavu na kama mama atavunja kwa nguvu bila kufuata sheria serikali inaweza kushitakiwa na kulipa mamilioni ya fedha.
 
Ndiyo umejibu nini sasa. Kati ya hoja nyingi zilizoulizwa kweli Unakuwa na majibu mawili tu? Hivi hammnaga wasaidizi? Nilitegemea timu yako ingekaa ikafanya research nakutoa snap answers kwa hoja zote zilizoulizwa. Sikutegemei wewe ndo ujibu. Hawa ndiyo genius wetu! Where is your experience! Ungejikaliaga na kuwa states woman na kuishauri nnchi. Heshima yako inakuwa questioned un necessarily.
 
"Madai ya Shs milioni 300 kwa ekari ni uongo, na mwenye ushahidi mwambie akuonyeshe. Niliyoyasema Bungeni ni sahihi, ninakushukuru kwa kufuatilia."

Hapo kwenye pesa inabidi msaada wa...Edward Snowden au wataalamu waliobumburusha kesi feki ya Ugaidi
 
hii inatoa picha kwamba jk hakukosea kukuteua kushika wizara hiyo na hii ni kuthibitisha kuwa uko makini na kazi unazofanya kwenye wizara yako na serikali kwa ujumla pamoja na chama chako cha ccm.
 
umejibu maswali mawili tu tena uliyotumiwa kwa PM,
zingatia sheria za JF mtu anapokutumia private msg.

mkuu, hata kama ametumiwa kwa pm, wengi tumenufaika kutokana na majibu yake. lengo la mtu kutuma pm si tu watu wengine wasione bali humrahisishia aliyetumiwa kuona kwa haraka tofauti na kuanza kupitia post moja hadi nyingine. kumbuka huyu ni waziri na ana majukumu mengi ya kufanya tofauti na wewe ambaye kupost jf ndo kunakupa ulaji
 
huyu mama alikuwa mkurugenzi wa shirika la makazi la umoja wa mataifa,hapendi masihara,utendaji wake hauna mashaka,si mtu anayelipualipua,ni mtu mwenye dira,ni miongoni mwa viongozi jasiri ulimwenguni...hakika Prof majibu yako yanajitosheleza,ila hakikisha lile gorofa linabomolewa
 
mmhh!!!! hapana jamaa angu mama kaeleza vizuri sheria zetu hizi tunazitunga wenyewe na kuzisimamia, jengo lilindwe kwa maana lisilete madhara , mimi ningeshauri tu wakati wanalilinda walitegue kidogo kuonyesha soon litaleta madhara . kingine ni kwa nini ichukue muda sana labda kama unavyodai sheria ya dharura. inatkiwa hawa mahakama watambue wanacheza na uhai wa watu. wa kulaumu ni hawa watu wa mahakama kama wamehongwa ndiyo issue sasa

Umepinga kitu ambacho sikusema halafu ukaunga mkono kitu ambacho nilisema! Mimi nimezungumzia ''uwepo wa sheria ya dharura'' ya ku-deal na vitu vya hatari namna hii! i. e. Kama jengo kweli linaonyesha liko chini ya kiwango na huenda likaanguka siku yoyote ni lazima kitu kifanyike ''ndani ya sheria'' ili kuepusha madhara!
 
Ahsante
mama japo umejibu kwa bla bla,suala la kubomoa ghorofa halihitaji
usubiri hukumu ya mahakama we unatakiwa ufanye kazi zako kwa kufuata
sheria.kiujumla serikali imelemewa na mafisadi mmebaki kuwaonea na kuwagandamiza wananchi wa chini wasio na feha.mama kwakuwa we ni mjumbe wa cc ya ccm utakapokuja kujibu maswali mengine nami naomba utueleze chama kina mpango gani wa kuwawajibisha mwigulu,Nape,na wasira kwa kuendesha siasa za kimafia na kibaguzi nchini.

muulize mwenyekiti wa chama.
 
Ndiyo umejibu nini sasa. Kati ya hoja nyingi zilizoulizwa kweli Unakuwa na majibu mawili tu? Hivi hammnaga wasaidizi? Nilitegemea timu yako ingekaa ikafanya research nakutoa snap answers kwa hoja zote zilizoulizwa. Sikutegemei wewe ndo ujibu. Hawa ndiyo genius wetu! Where is your experience! Ungejikaliaga na kuwa states woman na kuishauri nnchi. Heshima yako inakuwa questioned un necessarily.

wewe unajua aliulizwa hoja ngapi kati ya hizi alizojibu hebu kuwa na mifano basi kama unapinga hoja kuliko kuongozwa na ushabiki wa kibavicha hapa,mmezoea kubisha kila kitu.
 
Ndiyo umejibu nini sasa. Kati
ya hoja nyingi zilizoulizwa kweli Unakuwa na majibu mawili tu? Hivi
hammnaga wasaidizi? Nilitegemea timu yako ingekaa ikafanya research
nakutoa snap answers kwa hoja zote zilizoulizwa. Sikutegemei wewe ndo
ujibu. Hawa ndiyo genius wetu! Where is your experience! Ungejikaliaga
na kuwa states woman na kuishauri nnchi. Heshima yako inakuwa questioned
un necessarily.

dah si amekuambia lakini kuwa maswali ni mengi ila ameanza kujibu na yale ambayo yanahitaji majibu ya haraka? au swali lako halijajibiwa nini? subiri na tulia ndugu. usiwe na papara kama mdomo wa dr slaa
 
Mheshimiwa waziri ukipata nafasi naomba unijibu hili.
Mheshimiwa mbunge mwenzenu kada wa CCM, Bwana JUMA NKAMIA alisema kwenye mahojiano na televisheni ya Taifa TBC1 kuwa mtandao wa JF ufutwe kwani ni mtandao ambao hauna sifa ya kuitwa mtandao wa kijamii kwani unaandika uwongo na mambo ya kufikirika na utashi wa mtu.
Mheshimiwa wewe ni member wa JF, unafikiri alichosema kada huyo ni sahihi? nini ushauri wako kweke?

Japo cjaulizwa mimi. Swali la kipuuzi bana.
 
Mama Anna Tibaijuka ebu funguka juu ya bomoa bomoa kipunguni ukonga banana ili kupisha upanuzi wa uwanja wa ndege,maana ni miaka 16 sasa tangu ilipofanyika tathimini na mpaka sasa kimya.Nataka kujua hiyo program ipo au imeshaahirishwa?maana tumeshindwa kuendeleza vibanda vyetu.
 
Last edited by a moderator:
naamini mpaka alipofikia uamuzi wa kubomoa aliona zipo sheria na kanuni alizoona zimekiukwa na hazikufuatwa ambazo yeye kama waziri anatakiwa azisimamie.court injunction kwa issue kama hii hamzuii yeye kuendelea kufanya kazi zake.

Asante kwa kunijuza. Basi Mhe aeendelee na ubomoaji.
 
Umepinga kitu ambacho sikusema halafu ukaunga mkono kitu ambacho nilisema! Mimi nimezungumzia ''uwepo wa sheria ya dharura'' ya ku-deal na vitu vya hatari namna hii! i. e. Kama jengo kweli linaonyesha liko chini ya kiwango na huenda likaanguka siku yoyote ni lazima kitu kifanyike ''ndani ya sheria'' ili kuepusha madhara!

wewe umejuaje kuwa linaweza kuanguka siku yoyote kwani jengo linaongea kwamba ulizungumza nalo au umetumia vigezo gani kusema jengo litaanguka wakati wowote jaribu kufafanua kwani unaweza ukaona jengo linaufa mkubwa tu halafu likakaa miaka hata kumi bila kuanguka.
 
Hongereni member wa JF kweli nyie ni Great Thinkers. Kiustaaraabu kabisa.
 
mkuu, hata kama ametumiwa kwa pm, wengi tumenufaika kutokana na majibu yake. lengo la mtu kutuma pm si tu watu wengine wasione bali humrahisishia aliyetumiwa kuona kwa haraka tofauti na kuanza kupitia post moja hadi nyingine. kumbuka huyu ni waziri na ana majukumu mengi ya kufanya tofauti na wewe ambaye kupost jf ndo kunakupa ulaji
umeanza vyema umemaliza vibaya, kama unahitaji ajira ni PM uje ntakuajiri.
 
Back
Top Bottom