Acha kutafuta sympathy za kijinga,jenga hoja zenye mashiko.Kwanini Dereva asiwe suspected? Kuna jitihada zozote huyu lisu amezifanya kuhakikisha haki yake inapatikana kwa njia halali nje ya kuendelea kutoa povu kwenye social media?Hivi kuandika kujaza kurasa kwenye social media ndio njia sahihi ya yy kushinikiza haki yake ipatikane?Lisu ni mwanasheria,kweli hana njia yyt ya kisheria kuhakikisha anapata haki?Au huku kwenye social media ndio taratibu zinazotakiwa?
Shida ni kwamba mnapenda majungu yake dhidi ya serikali lkn katu hamjawahi jiuliza baada ya hayo majungu kipi hutokea?Je stahiki zake hutolewa ka mbunge?Je waliompiga risasi ndio watakamatwa?Huwa nasema lisu ni mwanasheria uchwara aliyebahatika kupata wafuasi wajinga wajinga kiasi kuwatumia atakavyo.Inawezekana vipi mambo yanayohitaji mahakama itoe tafsiri ye anapiga porojo kwenye social media? Huku ndio mahakimu wako?Kwanini mda anaotumia kupiga porojo huko Belgium asirudu Tz kudai haki yake?Au Kwanini Dereva na mawakili wake wasianze mchakato wa kudai haki?
Linapofika swala la kujenga hoja lzm tujenge hoja,hapa msilete za ooh chukulia ungekua wewe mara binadam cjui nn.Swala la lisu msilichukulie kwamba kila agenda ya kisiasa watu wakae kimya kisa lisu.Mgonjwa gani kila SAA anaangaika kuandaa madesa ya kejeli,majungu na mipasho?Kwamba hayo madesa yake kila mtu aseme AMENI?