Maji ya ziwa Viktoria yavamia makazi Lamadi, kaya 400 hazina pa kwenda

Rabbon

JF-Expert Member
Apr 16, 2022
16,149
24,316
Salaam,shalom,

Mvua kubwa zilizonyesha nchini zimeanza kuleta madhara makubwa Kwa nyumba na makazi ya watu waishio kandokando mwa ziwa Hilo.

Imeripotiwa kuwa, kaya zaidi ya 400 hazina makazi wilayani Busega, Lamadi kutokana na maji ya ziwa kuongezeka na kufunika ardhi MITA Hadi SITA kuja juu hivyo kusababisha pasiwepo uwezekano wa kukanyaga ardhi KAVU bila kutumia mtumbwi.

Chakula, mazao pia yameharibiwa, Serikali ndio sisi, tutafute namna Bora ya kusaidia ndugu zetu.

Source: Global Online tv.

Karibuni 🙏.
 
Mi sijui kama kuna wilaya ya lamadi huku tanzania.

Kuhusu maji kuvamia nyumba na mashamba hilo siwezi liongelea maana binadamu wa siku hizi ni wabishi sana. Kwa ukame uliotokea kuanzia miaka ya 2005 mpaka 2018 ukanda wa guba ya spiki maji yalikuwa yakiacha eneo lake na kuwa nchi kavu. Hiyo ilifanya watu wengi kujimilikisha hayo maeneo kwa shughuri zao. Hata hivyo selikali ilikuwa ikiimbia watu waache umbali wa mita 60 kutoka ufukweni lakini watu hawakuelewa. Kuna ongezeko la maji sikatai ila nikwa asilimia ndogo sana ikilinganishwa na mwaka 1999 baada ya mvua za elimino. Kama watu wangetii ule utaratibu wa mita 60 kutoka fukwe ya mwaka 2000 hakuna ambaye angezurika na maji ya miaka hii. Pia watu wa ukanda wa kuanzia nyakasenge huku mwanza mpaka Lukungu huko lamadi hiyo huwa ni ghuba na huwa ni maji mafupi pia huwa hakuna mwinuko mkubwa kutoka ufukweni kwenda nchi kavu. Hivo ziwa likiongezeka kina cha mita 2 tu basi litakuwa limekula zaidi ya mita 50 kwenda nchi kavu
 
Salaam,shalom,

Mvua kubwa zilizonyesha nchini zimeanza kuleta madhara makubwa Kwa nyumba na makazi ya watu waishio kandokando mwa ziwa Hilo.

Imeripotiwa kuwa, kaya zaidi ya 400 hazina makazi wilayani Lamadi kutokana na maji ya ziwa kuongezeka na kufunika ardhi MITA Hadi SITA kuja juu hivyo kusababisha pasiwepo uwezekano wa kukanyaga ardhi KAVU bila kutumia mtumbwi.

Chakula, mazao pia yameharibiwa, Serikali ndio sisi, tutafute namna Bora ya kusaidia ndugu zetu.

Source: Global Online tv.

Karibuni 🙏.
Lamadi sio Wilaya
 
Mi sijui kama kuna wilaya ya lamadi huku tanzania.

Kuhusu maji kuvamia nyumba na mashamba hilo siwezi liongelea maana binadamu wa siku hizi ni wabishi sana. Kwa ukame uliotokea kuanzia miaka ya 2005 mpaka 2018 ukanda wa guba ya spiki maji yalikuwa yakiacha eneo lake na kuwa nchi kavu. Hiyo ilifanya watu wengi kujimilikisha hayo maeneo kwa shughuri zao. Hata hivyo selikali ilikuwa ikiimbia watu waache umbali wa mita 60 kutoka ufukweni lakini watu hawakuelewa. Kuna ongezeko la maji sikatai ila nikwa asilimia ndogo sana ikilinganishwa na mwaka 1999 baada ya mvua za elimino. Kama watu wangetii ule utaratibu wa mita 60 kutoka fukwe ya mwaka 2000 hakuna ambaye angezurika na maji ya miaka hii. Pia watu wa ukanda wa kuanzia nyakasenge huku mwanza mpaka Lukungu huko lamadi hiyo huwa ni ghuba na huwa ni maji mafupi pia huwa hakuna mwinuko mkubwa kutoka ufukweni kwenda nchi kavu. Hivo ziwa likiongezeka kina cha mita 2 tu basi litakuwa limekula zaidi ya mita 50 kwenda nchi kavu
Kwa mvua kubwa zilizonyesha, hizo MITA 60 lazima zitakuwa zimefikiwa.
 
Mi sijui kama kuna wilaya ya lamadi huku tanzania.

Kuhusu maji kuvamia nyumba na mashamba hilo siwezi liongelea maana binadamu wa siku hizi ni wabishi sana. Kwa ukame uliotokea kuanzia miaka ya 2005 mpaka 2018 ukanda wa guba ya spiki maji yalikuwa yakiacha eneo lake na kuwa nchi kavu. Hiyo ilifanya watu wengi kujimilikisha hayo maeneo kwa shughuri zao. Hata hivyo selikali ilikuwa ikiimbia watu waache umbali wa mita 60 kutoka ufukweni lakini watu hawakuelewa. Kuna ongezeko la maji sikatai ila nikwa asilimia ndogo sana ikilinganishwa na mwaka 1999 baada ya mvua za elimino. Kama watu wangetii ule utaratibu wa mita 60 kutoka fukwe ya mwaka 2000 hakuna ambaye angezurika na maji ya miaka hii. Pia watu wa ukanda wa kuanzia nyakasenge huku mwanza mpaka Lukungu huko lamadi hiyo huwa ni ghuba na huwa ni maji mafupi pia huwa hakuna mwinuko mkubwa kutoka ufukweni kwenda nchi kavu. Hivo ziwa likiongezeka kina cha mita 2 tu basi litakuwa limekula zaidi ya mita 50 kwenda nchi kavu
... Ziwa Victoria limeongezeka kina kuzidi records zote tangu 1960s!
mimi ni mkazi wa kudumu Mwanza!
 
hapo ni makazi ndio yalivamia maji ya ziwa victoria.
Nature always run it course the tide is rising wit the moon,
It only take a spark to put a fyah to da fume,
What is hidden in the dark shall be revealed so very soon,
Tell Pharoah free the prisoners from the dungeon an the doom,
 
Back
Top Bottom