Salaam,shalom,
Mvua kubwa zilizonyesha nchini zimeanza kuleta madhara makubwa Kwa nyumba na makazi ya watu waishio kandokando mwa ziwa Hilo.
Imeripotiwa kuwa, kaya zaidi ya 400 hazina makazi wilayani Busega, Lamadi kutokana na maji ya ziwa kuongezeka na kufunika ardhi MITA Hadi SITA kuja juu hivyo kusababisha pasiwepo uwezekano wa kukanyaga ardhi KAVU bila kutumia mtumbwi.
Chakula, mazao pia yameharibiwa, Serikali ndio sisi, tutafute namna Bora ya kusaidia ndugu zetu.
Source: Global Online tv.
Karibuni 🙏.
Mvua kubwa zilizonyesha nchini zimeanza kuleta madhara makubwa Kwa nyumba na makazi ya watu waishio kandokando mwa ziwa Hilo.
Imeripotiwa kuwa, kaya zaidi ya 400 hazina makazi wilayani Busega, Lamadi kutokana na maji ya ziwa kuongezeka na kufunika ardhi MITA Hadi SITA kuja juu hivyo kusababisha pasiwepo uwezekano wa kukanyaga ardhi KAVU bila kutumia mtumbwi.
Chakula, mazao pia yameharibiwa, Serikali ndio sisi, tutafute namna Bora ya kusaidia ndugu zetu.
Source: Global Online tv.
Karibuni 🙏.