Kati ya pampu ya maji ya umeme na solar ipi bora?

Mr Chromium

JF-Expert Member
Aug 20, 2020
2,090
2,705
Hapa nazungumzia pump za kuvuta maji kwenye visima. Nimeambiwa ipo ya solar Tsh. 150,000/- panel watt 200 na kuendelea na ya umeme pia ipo niliambiwa bei ni sawa na ya solar.

Uwezo: 100m kutoka chini.

Sasa mnishauri, nahofia hii ya umeme nahisi inaweza kuwa ina kula unit nyingi sana. Hii ya solar limitation yake ni usiku au pasipokua na jua!

Kama una utaalam nishauri ipi nzuri na kwanini?
 
Hapa nazungumzia pump za kuvuta maji kwenye visima. Nimeambiwa ipo ya solar Tsh. 150,000/- panel watt 200 na kuendelea na ya umeme pia ipo niliambiwa bei ni sawa na ya solar.

Uwezo: 100m kutoka chini.

Sasa mnishauri, nahofia hii ya umeme nahisi inaweza kuwa ina kula unit nyingi sana. Hii ya solar limitation yake ni usiku au pasipokua na jua!

Kama una utaalam nishauri ipi nzuri na kwanini?
Nangoja waje toka Nanenane
 
Solar:
Pump
Solar VFD inverter
Solar panels
Accessories

Main (TANESCO):
Pump
Accessories

As you can see, investment capital ya solar ni kubwa kwa ya umeme wa kawaida.

But; running cost & liters per energy?

Assume pump 1hp (746W) both for solar na umeme. Kwa kwa urefu wa kisima hiko maybe inavuta maji litre 1000 kwa saa.

Sehemu unayoishi ina guarantee ya masaa ya jua 8.

Kwamaana hiyo kila siku unauhakika wa litre 1000 x8 =8000litres za maji. Kwa kutumia units za umeme approx. 746x8/1000=6kWh kutoka kwenye solar with just 0 running cost.


Angalia je litre 8000 zitahitaji shingapi kwa pump ya umeme wa kawaida?

Assuming everything constant, 1hp pump itahitaji pia 6kWh za units Za TANESCO sawa na >TZS 2,000/- kila siku.


Baada ya mwaka
Umeme: 2000x365=TZS730,000
Solar: TZS0


Reliable power: (day and night)
Solar <50%
TANESCO 99%

Flexible litres:
Solar 99% (pump-water source upgrade )
TANESCO proportional to kWh cost.


That’s how you decide what to invest…
 
Solar:
Pump
Solar VFD inverter
Solar panels
Accessories

Main (TANESCO):
Pump
Accessories

As you can see, investment capital ya solar ni kubwa kwa ya umeme wa kawaida.

But; running cost & liters per energy?

Assume pump 1hp (746W) both for solar na umeme. Kwa kwa urefu wa kisima hiko maybe inavuta maji litre 1000 kwa saa.

Sehemu unayoishi ina guarantee ya masaa ya jua 8.

Kwamaana hiyo kila siku unauhakika wa litre 1000 x8 =8000litres za maji. Kwa kutumia units za umeme approx. 746x8/1000=6kWh kutoka kwenye solar with just 0 running cost.


Angalia je litre 8000 zitahitaji shingapi kwa pump ya umeme wa kawaida?

Assuming everything constant, 1hp pump itahitaji pia 6kWh za units Za TANESCO sawa na >TZS 2,000/- kila siku.


Baada ya mwaka
Umeme: 2000x365=TZS730,000
Solar: TZS0


Reliable power: (day and night)
Solar TANESCO 99%

Flexible litres:
Solar 99% (pump-water source upgrade )
TANESCO proportional to kWh cost.


That’s how you decide what to invest…
Yaani huwa na shangaa sana kuishi Africa hafu mtu analalamikia kukosa umeme.
 
Tumia solar kama mahali ulipo hakuna namna ya kupata umeme wa Tanesco

Shida ya solar ni vimeo sana aisee kuanzia ubora hadi uhakika wa jua(solar nyingi ni fake/duni viwango)
Na baada ya mwaka utaichukia solar maana itaanza kufa betrii nk nk

Tanesco ni uhakika wa ubora na durability, we ni kupambana na bili tu
Shida ya Tanesco ni MGAO ukitokea
 
Yaani huwa na shangaa sana kuishi Africa hafu mtu analalamikia kukosa umeme.

Mkuu umewahi kutumia Solar?

Shida ya solar nyingi ni za hovyo kwa ubora labda kama unataka solar ya kuwasha taa na kuchaji simu
 
Solar:
Pump
Solar VFD inverter
Solar panels
Accessories

Main (TANESCO):
Pump
Accessories

As you can see, investment capital ya solar ni kubwa kwa ya umeme wa kawaida.

But; running cost & liters per energy?

Assume pump 1hp (746W) both for solar na umeme. Kwa kwa urefu wa kisima hiko maybe inavuta maji litre 1000 kwa saa.

Sehemu unayoishi ina guarantee ya masaa ya jua 8.

Kwamaana hiyo kila siku unauhakika wa litre 1000 x8 =8000litres za maji. Kwa kutumia units za umeme approx. 746x8/1000=6kWh kutoka kwenye solar with just 0 running cost.


Angalia je litre 8000 zitahitaji shingapi kwa pump ya umeme wa kawaida?

Assuming everything constant, 1hp pump itahitaji pia 6kWh za units Za TANESCO sawa na >TZS 2,000/- kila siku.


Baada ya mwaka
Umeme: 2000x365=TZS730,000
Solar: TZS0


Reliable power: (day and night)
Solar TANESCO 99%

Flexible litres:
Solar 99% (pump-water source upgrade )
TANESCO proportional to kWh cost.


That’s how you decide what to invest…

Mkuu umedadavua vizuri sana

Kuongezea hapo ni kwamba kwa solar zetu hizi tunaletewa bongo ategemee kununua nyingine kila baada ya muda fulani maana solar itaanza kuharibika na kufa wakati Tanesco ni permanent labda kuwepo mgao
 
Kwavile pasipokuwa na jua kuna mvua au wingu ambalo husababisha ardhi kuwa na unyevu so kwa mtazamo wangu hutahitaji kunyeshea maji.

Kwa mtazamo huo naona solar kuwa ni nzuri zaidi.

Umeme hadi kuufikisha shamba gharama zakutosha bado kununua pump na bill juu.
 
Mkuu umedadavua vizuri sana

Kuongezea hapo ni kwamba kwa solar zetu hizi tunaletewa bongo ategemee kununua nyingine kila baada ya muda fulani maana solar itaanza kuharibika na kufa wakati Tanesco ni permanent labda kuwepo mgao
Changamoto ni betri.
 
kwanini ?

Kama unahitaji ya kuwasha taa ni "impossible" ila kama ni kwa ajili ya kuvuta maji ni "possible" japo kwa mchana Tu.
Solar inatoa umeme wa kuchaj battery then battery itumike kwa matumizi
Ukiwa na sola pekee ile inazalisha 18V Na Battery kna 12V hii inasababisha umeme kuwa unstable. Wingu likipita tuu umeme unapungua. Ili uwe stable weka battery.
Weka sola juan then washa taa uone ufanisi wake.
Chek kifaa chako input ni v ngap.
 
Back
Top Bottom