Maji ya Bomba Kutoka Ziwa Victoria Yaendelea Kusambazwa Musoma Vijijini

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
May 16, 2020
1,903
945

MAJI YA BOMBA KUTOKA ZIWA VICTORIA YAENDELEA KUSAMBAZWA MUSOMA VIJIJINI

Jimbo la Musoma Vijijini lina Kata 21, Vijiji 68 na Vitongoji 374. Vijiji vyetu vyote vina miradi ya maji ambayo iko kwenye hatua mbalimbali za utekelezaji.

Miradi ya maji ya bomba kutoka Ziwa Victoria inatekelezwa kwa kasi kubwa Jimboni mwetu.

Jana, Mbunge wa Jimbo aliambatana na Kamati ya Siasa ya CCM ya Wilaya ya Musoma Vijijini kukagua miradi miwili ya maji ya bomba inayotekelezwa na RUWASA. Utekelezaji wa miradi hiyo ni mzuri - Hongereni RUWASA!

Mradi wa Kata ya Bwasi
*Vijiji vitakavyonufaika na upatikanaji wa maji ya bomba ya mradi huu ni: Bwasi, Bugunda na Kome
*Chanzo cha maji kiko ziwani kwenye Kitongoji cha Bujaga, Kijiji cha Bujaga, Kata ya Bulinga. Vijiji vitatu vya Kata ya Bulinga (Bujaga, Bulinga na Busungu) tayari vinapata maji ya bomba.

Utekelezaji wa mradi huu:
*Ujenzi wa Tenki la ujazo wa lita 150,000 unakamilishwa. Lipo kwenye Kitongoji cha Rugongo, Kijijini Bwasi
*Bomba kuu la kusambaza maji limetandazwa kilomita 18 kati ya 31.5
*Vituo vya kuchotea maji 25 kati ya 35 vimeishajengwa

*Gharama ya Mradi: Tsh 997,714,196 (Tsh 997.7m)
*Mradi ulianza Februari 2023, utakamilishwa kabla ya tarehe 30.10.2023

Mradi wa Chumwi-Mabuimerafuru
Mradi huu unaanzwa kutekelezwa kwenye Vijiji vya Chumwi (Kata ya Nyamrandirira) na Mabuimerafuru (Kata ya Musanja), baadae utapanuliwa na maji yatasambazwa kwenye vijiji vyingine vya Kata hizo mbili.

Utekelezaji wa mradi huu:
*Chanzo cha maji ya mradi huu kiko ziwani kwenye Kitoji cha Nyachumwi, Kijijini Chumwi

*Ujenzi wa Tenki la ujazo wa lita 300,000 unakamilishwa. Liko kijijini Mabuimerafuru

*Bomba kuu la kusambaza maji limetandazwa umbali wa kilomita 13 kati ya 24.24

*Vituo vyote 17 vya kuchotea maji tayari vimejengwa

*Gharama ya Mradi ni Tsh bilioni 1.6
*Mradi huu ulianza kutekelezwa Februari 2023, utakamilika kabla ya tarehe 30.10.2023

Kero na matatizo ya wanavijiji:
Wanavijiji walipata muda wa kutosha wa kuwasilisha kero na matatizo yao. Majibu yalitolewa na Mbunge wa Jimbo, Prof Sospeter Muhongo. Maswali yaliyohusu Chama yalijibiwa na Mwenyekiti Ndg Denis Ekwabi na Katibu Ndg Valentine Maganga

Kero na matatizo yaliyowasilishwa yalipata majibu ya uhakika na ya ukweli, waulizaji waliridhika!

Vilevile, Maabara za masomo ya sayansi ya Bulinga Sekondari yalitembelewa. Sekondari hii kwa sasa inazo maabara mbili zilizokamilika na zinatumika (Chemistry & Biology). Ujenzi wa Maabara ya Physics unakamilishwa.

SHUKRANI
Wananchi wa Jimbo la Musoma Vijijini na Viongozi wao wa ngazi zote wanaishukuru sana Serikali, chini ya uongozi mzuri wa Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kutupatia fedha za utekelezaji wa miradi yetu ya maendeleo - ahsanteni sana!

Picha za hapa zinaonesha matukio mbalimbali ya ukaguzi wa miradi miwili ya maji ya Musoma Vijijini, na Maabara ya Bulinga Sekondari ya Kata ya Bulinga, Musoma Vijijini.

Musoma Vijijini, TUNAFANIKIWA

Ofisi ya Mbunge
Jimbo la Musoma Vijijini
www.musomavijijini.or.tz

Tarehe:
Jumanne, 8.8.2023

WhatsApp Image 2023-08-08 at 13.49.08.jpeg
WhatsApp Image 2023-08-08 at 13.49.08(1).jpeg
WhatsApp Image 2023-08-08 at 13.49.07.jpeg
WhatsApp Image 2023-08-08 at 13.49.09.jpeg
WhatsApp Image 2023-08-08 at 13.49.09(1).jpeg
WhatsApp Image 2023-08-08 at 13.49.10.jpeg
 

MAJI YA BOMBA KUTOKA ZIWA VICTORIA YAENDELEA KUSAMBAZWA MUSOMA VIJIJINI

Jimbo la Musoma Vijijini lina Kata 21, Vijiji 68 na Vitongoji 374. Vijiji vyetu vyote vina miradi ya maji ambayo iko kwenye hatua mbalimbali za utekelezaji.

Miradi ya maji ya bomba kutoka Ziwa Victoria inatekelezwa kwa kasi kubwa Jimboni mwetu.

Jana, Mbunge wa Jimbo aliambatana na Kamati ya Siasa ya CCM ya Wilaya ya Musoma Vijijini kukagua miradi miwili ya maji ya bomba inayotekelezwa na RUWASA. Utekelezaji wa miradi hiyo ni mzuri - Hongereni RUWASA!

Mradi wa Kata ya Bwasi
*Vijiji vitakavyonufaika na upatikanaji wa maji ya bomba ya mradi huu ni: Bwasi, Bugunda na Kome
*Chanzo cha maji kiko ziwani kwenye Kitongoji cha Bujaga, Kijiji cha Bujaga, Kata ya Bulinga. Vijiji vitatu vya Kata ya Bulinga (Bujaga, Bulinga na Busungu) tayari vinapata maji ya bomba.

Utekelezaji wa mradi huu:
*Ujenzi wa Tenki la ujazo wa lita 150,000 unakamilishwa. Lipo kwenye Kitongoji cha Rugongo, Kijijini Bwasi
*Bomba kuu la kusambaza maji limetandazwa kilomita 18 kati ya 31.5
*Vituo vya kuchotea maji 25 kati ya 35 vimeishajengwa

*Gharama ya Mradi: Tsh 997,714,196 (Tsh 997.7m)
*Mradi ulianza Februari 2023, utakamilishwa kabla ya tarehe 30.10.2023

Mradi wa Chumwi-Mabuimerafuru
Mradi huu unaanzwa kutekelezwa kwenye Vijiji vya Chumwi (Kata ya Nyamrandirira) na Mabuimerafuru (Kata ya Musanja), baadae utapanuliwa na maji yatasambazwa kwenye vijiji vyingine vya Kata hizo mbili.

Utekelezaji wa mradi huu:
*Chanzo cha maji ya mradi huu kiko ziwani kwenye Kitoji cha Nyachumwi, Kijijini Chumwi

*Ujenzi wa Tenki la ujazo wa lita 300,000 unakamilishwa. Liko kijijini Mabuimerafuru

*Bomba kuu la kusambaza maji limetandazwa umbali wa kilomita 13 kati ya 24.24

*Vituo vyote 17 vya kuchotea maji tayari vimejengwa

*Gharama ya Mradi ni Tsh bilioni 1.6
*Mradi huu ulianza kutekelezwa Februari 2023, utakamilika kabla ya tarehe 30.10.2023

Kero na matatizo ya wanavijiji:
Wanavijiji walipata muda wa kutosha wa kuwasilisha kero na matatizo yao. Majibu yalitolewa na Mbunge wa Jimbo, Prof Sospeter Muhongo. Maswali yaliyohusu Chama yalijibiwa na Mwenyekiti Ndg Denis Ekwabi na Katibu Ndg Valentine Maganga

Kero na matatizo yaliyowasilishwa yalipata majibu ya uhakika na ya ukweli, waulizaji waliridhika!

Vilevile, Maabara za masomo ya sayansi ya Bulinga Sekondari yalitembelewa. Sekondari hii kwa sasa inazo maabara mbili zilizokamilika na zinatumika (Chemistry & Biology). Ujenzi wa Maabara ya Physics unakamilishwa.

SHUKRANI
Wananchi wa Jimbo la Musoma Vijijini na Viongozi wao wa ngazi zote wanaishukuru sana Serikali, chini ya uongozi mzuri wa Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kutupatia fedha za utekelezaji wa miradi yetu ya maendeleo - ahsanteni sana!

Picha za hapa zinaonesha matukio mbalimbali ya ukaguzi wa miradi miwili ya maji ya Musoma Vijijini, na Maabara ya Bulinga Sekondari ya Kata ya Bulinga, Musoma Vijijini.

Musoma Vijijini, TUNAFANIKIWA

Ofisi ya Mbunge
Jimbo la Musoma Vijijini
www.musomavijijini.or.tz

Tarehe:
Jumanne, 8.8.2023

View attachment 2711937View attachment 2711938View attachment 2711939View attachment 2711940View attachment 2711941View attachment 2711942
Mamb haya kwa rasilimali zilizopo hatukupaswa kuyaimba sasa, tungepaswa kua kweny issue nyingine kbs za kimaendeleo!!
 

MAJI YA BOMBA KUTOKA ZIWA VICTORIA YAENDELEA KUSAMBAZWA MUSOMA VIJIJINI

Jimbo la Musoma Vijijini lina Kata 21, Vijiji 68 na Vitongoji 374. Vijiji vyetu vyote vina miradi ya maji ambayo iko kwenye hatua mbalimbali za utekelezaji.

Miradi ya maji ya bomba kutoka Ziwa Victoria inatekelezwa kwa kasi kubwa Jimboni mwetu.

Jana, Mbunge wa Jimbo aliambatana na Kamati ya Siasa ya CCM ya Wilaya ya Musoma Vijijini kukagua miradi miwili ya maji ya bomba inayotekelezwa na RUWASA. Utekelezaji wa miradi hiyo ni mzuri - Hongereni RUWASA!

Mradi wa Kata ya Bwasi
*Vijiji vitakavyonufaika na upatikanaji wa maji ya bomba ya mradi huu ni: Bwasi, Bugunda na Kome
*Chanzo cha maji kiko ziwani kwenye Kitongoji cha Bujaga, Kijiji cha Bujaga, Kata ya Bulinga. Vijiji vitatu vya Kata ya Bulinga (Bujaga, Bulinga na Busungu) tayari vinapata maji ya bomba.

Utekelezaji wa mradi huu:
*Ujenzi wa Tenki la ujazo wa lita 150,000 unakamilishwa. Lipo kwenye Kitongoji cha Rugongo, Kijijini Bwasi
*Bomba kuu la kusambaza maji limetandazwa kilomita 18 kati ya 31.5
*Vituo vya kuchotea maji 25 kati ya 35 vimeishajengwa

*Gharama ya Mradi: Tsh 997,714,196 (Tsh 997.7m)
*Mradi ulianza Februari 2023, utakamilishwa kabla ya tarehe 30.10.2023

Mradi wa Chumwi-Mabuimerafuru
Mradi huu unaanzwa kutekelezwa kwenye Vijiji vya Chumwi (Kata ya Nyamrandirira) na Mabuimerafuru (Kata ya Musanja), baadae utapanuliwa na maji yatasambazwa kwenye vijiji vyingine vya Kata hizo mbili.

Utekelezaji wa mradi huu:
*Chanzo cha maji ya mradi huu kiko ziwani kwenye Kitoji cha Nyachumwi, Kijijini Chumwi

*Ujenzi wa Tenki la ujazo wa lita 300,000 unakamilishwa. Liko kijijini Mabuimerafuru

*Bomba kuu la kusambaza maji limetandazwa umbali wa kilomita 13 kati ya 24.24

*Vituo vyote 17 vya kuchotea maji tayari vimejengwa

*Gharama ya Mradi ni Tsh bilioni 1.6
*Mradi huu ulianza kutekelezwa Februari 2023, utakamilika kabla ya tarehe 30.10.2023

Kero na matatizo ya wanavijiji:
Wanavijiji walipata muda wa kutosha wa kuwasilisha kero na matatizo yao. Majibu yalitolewa na Mbunge wa Jimbo, Prof Sospeter Muhongo. Maswali yaliyohusu Chama yalijibiwa na Mwenyekiti Ndg Denis Ekwabi na Katibu Ndg Valentine Maganga

Kero na matatizo yaliyowasilishwa yalipata majibu ya uhakika na ya ukweli, waulizaji waliridhika!

Vilevile, Maabara za masomo ya sayansi ya Bulinga Sekondari yalitembelewa. Sekondari hii kwa sasa inazo maabara mbili zilizokamilika na zinatumika (Chemistry & Biology). Ujenzi wa Maabara ya Physics unakamilishwa.

SHUKRANI
Wananchi wa Jimbo la Musoma Vijijini na Viongozi wao wa ngazi zote wanaishukuru sana Serikali, chini ya uongozi mzuri wa Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kutupatia fedha za utekelezaji wa miradi yetu ya maendeleo - ahsanteni sana!

Picha za hapa zinaonesha matukio mbalimbali ya ukaguzi wa miradi miwili ya maji ya Musoma Vijijini, na Maabara ya Bulinga Sekondari ya Kata ya Bulinga, Musoma Vijijini.

Musoma Vijijini, TUNAFANIKIWA

Ofisi ya Mbunge
Jimbo la Musoma Vijijini
www.musomavijijini.or.tz

Tarehe:
Jumanne, 8.8.2023

View attachment 2711937View attachment 2711938View attachment 2711939View attachment 2711940View attachment 2711941View attachment 2711942
Riisiramu rimeshauza bandali zote kwa miisiramu mialabu ya Dubai, rinawadanganya kwa mimaji yetu wenyewe ariyotupa Yesu wetu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom