Maji ya baraka ya (RC) vs maji ya upako ya (Mwamposa)

Kwani Pana dhehebu linaabudu sanamu
Wala msiwe waabudu sanamu, kama wengine wao walivyokuwa; kama ilivyoandikwa, Watu waliketi kula na kunywa, kisha wakasimama wacheze.

1 Korinthians 6:7

*Ufunuo wa Yohana 22 15 Huko nje wako mbwa, na wachawi, na wazinzi, na wauaji, na hao waabuduo sanamu, na kila mtu apendaye uongo na kuufanya.

Biblia ilitangulia kusema kuwa " *1 Timotheo 4:1 Basi Roho anena waziwazi ya kwamba nyakati za mwisho wengine watajitenga na imani, wakisikiliza roho zidanganyazo, na mafundisho ya mashetani
 
Wala msiwe waabudu sanamu, kama wengine wao walivyokuwa; kama ilivyoandikwa, Watu waliketi kula na kunywa, kisha wakasimama wacheze.

1 Korinthians 6:7

*Ufunuo wa Yohana 22 15 Huko nje wako mbwa, na wachawi, na wazinzi, na wauaji, na hao waabuduo sanamu, na kila mtu apendaye uongo na kuufanya.

Biblia ilitangulia kusema kuwa " *1 Timotheo 4:1 Basi Roho anena waziwazi ya kwamba nyakati za mwisho wengine watajitenga na imani, wakisikiliza roho zidanganyazo, na mafundisho ya mashetani
Wewe unaelewa nini maana ya sanamu
 
Wapi wameandika mavi ya njiwa? Hii tabia ya kujitungia maneno kwenye biblia mtaacha lini?
Hapo ni mavi ya mwanadamu kwa mujibu wa hilo andiko. We endelea kula hiyo mikate.
EZEKIEL 4:12-17 INASEMA;"Nawe utakila kama mkate wa shayiri;nawe utakioka mbele ya macho yao juu ya mashonde yatokayo katika mwanadamu.BWANA akasema,Hivyo ndivyo wana wa Israel watakavyokula chakula chao,hali kimetiwa unajisi,kati ya mataifa nitakakowafukuza.Ndipo nikasema,Ee BWANA MUNGU,tazama roho yangu haikutiwa unajisi;maana tangu ujana wangu hata sasa sijala nyamafu,wala iliyoraruliwa na hayawani;wala nyama ichukizayo haikuingia kinywani mwangu.Ndipo akaniambia,Tazama,nimekupa mashonde ya ng'ombe badala ya mashonde ya mwanadamu,nawe utakipika chakula chako juu ya hayo.Tena akaniambia,Mwanadamu, tazama,nitalivunja Tegemeo la chakula katika Yerusalemu;nao watakula mkate kwa kuupima,na kwa kuutunza sana;nao watakunywa maji kwa kuyapima,na kwa kushangaa;wapate kupungukiwa na mkate na maji,na kustaajabiana,na kukonda kwa sababu ya uovu wao.
**MUNGU anamuagiza nabii Ezekiel kutayarisha vyakula najisi(nyamafu na mavi ya mwanadamu),aoke mkate,ale mbele ya waisrael.Watakapouliza kwa nini anafanya hivyo,awaambie ni kielelezo cha dhiki watakayoletewa na MUNGU kwa sababu ya uovu wao.Yaani ni adhabu.Ezekiel akamsihi MUNGU kuwa hajawahi kula najisi(nyamafu,ngamia mavi ya mwanadamu,n.k).Ndipo akaambiwa atumie mavi ya ng'ombe badala ya mavi ya mwanadamu.Sasa hiyo inahusiana vipi na mkate huu uliotengezezwa kwa unga wa ngano wa azam ili watu wale!!!Tumieni akili nyie watu.Kwanza huduma ya mkate na divai(MEZA YA BWANA) haikwepo enzi za EZEKIEL.Hii imeletwa na Yesu,miaka zaidi ya 400 baada ya nabii wa mwisho wa enzi za agano la kale
 
Kuna mahali kanisa linakwama kwa kupunguza mafundisho ya imani kwa watoto, nashindwa kuelewa inakuwaje unajiita Mkatoliki na bado hauelewi ukuu wa Mama Bikira Maria katika historia ya Ukombozi, na jukumu alilokabidhiwa na Yesu Kristo pale msalabani na baada ya kufufuka kabla hajapaa.

Unashindwa hata kuelewa kwanini Mama Bikira Maria ndie Sanduku la agano lililoptea pale mlimani, likaja kuonekana kwa ishara mawinguni baada ya kupalizwa?

Bado huyo unamuita ni mwanadamu wa kawaida? Ungesema wewe si Mkatoliki kidogo ningekuelewa, japo kuwa Mkristo tu kunakufanya ufahamu vitu kama hivi.
Pale Msalabani hakuna jukumu alilokabidhiwa MARIA, isipokuwa YESU ALIWAACHIA Wakristo wote Roho Mtakatifu kama msaidizi.
Wewe unaelewa nini maana ya sanamu
Wewe unataka kujifunz ama kubishana?
Si una bando? gugo maana ya sanamu!
Askari monument pale posta unaloliona ni sanamu;
Awe mnama, ndege au kitu chochote kilichochongwa kwa mfano wa Mungu ni sanamu.
sanamu.jpeg
 
Pale Msalabani hakuna jukumu alilokabidhiwa MARIA, isipokuwa YESU ALIWAACHIA Wakristo wote Roho Mtakatifu kama msaidizi.

Wewe unataka kujifunz ama kubishana?
Si una bando? gugo maana ya sanamu!
Askari monument pale posta unaloliona ni sanamu;
Awe mnama, ndege au kitu chochote kilichochongwa kwa mfano wa Mungu ni sanamu.
View attachment 2749713
Nikupe maana.
Sanamu ni kitu chochote unachokiabudu badala ya Mungu.
Mfano kazi,mke,mme,mtoto,Mali,mtu,uchawi,nk.
Chochote kile unachokitumainia kinachochukua utukufu wa Mungu uitwa sanamu.
Misalaba ya Wakatoliki Ina sanamu ili kuitofautisha na misalaba ya madhehebu mengine lakini haimaanishi wanaziabudu hizo sanamu.
 
Nikupe maana.
Sanamu ni kitu chochote unachokiabudu badala ya Mungu.
Mfano kazi,mke,mme,mtoto,Mali,mtu,uchawi,nk.
Chochote kile unachokitumainia kinachochukua utukufu wa Mungu uitwa sanamu.
Misalaba ya Wakatoliki Ina sanamu ili kuitofautisha na misalaba ya madhehebu mengine lakini haimaanishi wanaziabudu hizo sanamu.
Umesema vyema .
Biblia /Mungu aliposema tusichonge kitu chochotena kukifananisha na Mungu wala tusiabudu inaondoa hilo dhehebu ulilotaja?

Maandamano na Sanamu ya Bikira Mahttps://www.youtube.com/watch?v=lkE1tfRsKEI
View: https://www.youtube.com/watch?v=lkE1tfRsKEI



 
Nikupe maana.
Sanamu ni kitu chochote unachokiabudu badala ya Mungu.
Mfano kazi,mke,mme,mtoto,Mali,mtu,uchawi,nk.
Chochote kile unachokitumainia kinachochukua utukufu wa Mungu uitwa sanamu.
Misalaba ya Wakatoliki Ina sanamu ili kuitofautisha na misalaba ya madhehebu mengine lakini haimaanishi wanaziabudu hizo sanamu.
Hebu kwa ufahamu wako, naomba nipe mfano mmoja wa wanao abudu sanamu.
 
Umepuyanga kabisa maji ya Mwamposa ni maji ya kawaida yanayouzwa dukani yeye mwenyewe kwenye TV anasema beba maji uliyokuja nayo niyaombee ,Kila nikiangalia TV sijawahi kusiki akiwalzimisha watu LAZIMA wanunue maji yanayouzwa dukani kwake shs 1000
Ya Baraka je?
 
Kuna utofauti mkubwa sana Bwaaa shekhe.

1. Maji ya Baraka hayauzwi ili hali yale ya upako yanauzwa.

2. Maji ya Baraka sio mali ya mtu, ili hali yale ya upako ni mali ya Mwamposa.

3. Maji ya Baraka yana nguvu ya Mungu, ili hali yale ya Upako hayana nguvu ya Mungu bali binadamu na ndio Maana yanauzwa.

Kuhusu Sakramenti na vimikate vingine.

1. Sakramenti ya Ekaristi Takatifu ni mwili kweli na damu kweli ya Bwana wetu Yesu Kristo, ili hali Mikate hiyo mingine ni Mikate tu kama Mikate.

2. Sakramenti ya Ekaristi Takatifu inatupa Uzima wa Milele, Wakati Mikate hiyo mingine haina uwezo huo.

3. Sakramenti ya Ekaristi Takatifu ni Kwaajili ya Wakristo Wakatoliki, tena waliojiandaa yaani wamejitakasa kwa toba na matendo mema, ili hali Mikate hiyo mingine inaliwa na yeyote bila kujali dini yake wala hali yake Kiroho.

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
Una Ubinafsi wa kidini hapo,...
 
Unatakiwa ukosoe kwa facts, hili jukwaa huru mradi usitukane ukapigwa ban.
Mi nishapigwa ban kama mara 4 hivi hasa mtu akonichokoza ukute nipo kwenye siku mbaya alafu mtu anaandika ujinga lazma nimpige moja .
Vitu vyote viwili, kimsingi ni mambo ya Imani. No science hapo, huwezi kusema hii ya mungu hii ya mtu. Kimsingi yote ni watu, ila tunaamini wanamaono ya kimungu.
Haijalishi ya kulipia au ya Bure. Zipo BARAKA unazopata Kwa malipo yaani sadaka(soma biblia utaelewa)
Kuna kitu unapaswa ujue, sio Kila kitu unachoomba Kwa Mungu kinakujia Ivo Ivo, (visibility). Ndo maana unahisi ulishapigwa.
Ukimwambia mungu nataka utajili, yeye anakupa fulsa unapata kazi, na akili ya kutumia pesa unayopata na anakulinda na matatizo yanayohitaji utumie pesa ovyo kama vile magonjwa.
Yako MENGI ila elewa kiivo
 
Vitu vyote viwili, kimsingi ni mambo ya Imani. No science hapo, huwezi kusema hii ya mungu hii ya mtu. Kimsingi yote ni watu, ila tunaamini wanamaono ya kimungu.
Haijalishi ya kulipia au ya Bure. Zipo BARAKA unazopata Kwa malipo yaani sadaka(soma biblia utaelewa)
Kuna kitu unapaswa ujue, sio Kila kitu unachoomba Kwa Mungu kinakujia Ivo Ivo, (visibility). Ndo maana unahisi ulishapigwa.
Ukimwambia mungu nataka utajili, yeye anakupa fulsa unapata kazi, na akili ya kutumia pesa unayopata na anakulinda na matatizo yanayohitaji utumie pesa ovyo kama vile magonjwa.
Yako MENGI ila elewa kiivo
Kaka Ibra, kwahiyo Mungu ambaye ndiyo mwenye mbingu na nchi na dunia ni sehemu yake ya kuweka miguu na utajiri wote wa dhahabu na almasi , samati anataka mnyonge ombaomba atoe hela ndio aponywe?
Maybe am missing a point.
 
Unaelewa kwamba hata kama vitu havikujitokeza vyenyewe tu, chanzo chake si lazima kiwe Mungu?

Yani hapo unachosema ni kama vile wewe Mmatumbi wa Kibiti, halafu unadai baba yako mzazi ni rais wa zamani wa Marekani George W. Bush, eti kwa sababu hujajizaa mwenyewe, lazima una baba.

Sasa, ikiwa lazima uwe na baba ndiyo baba yako lazima awe George W. Bush?

Pia unaelewa kwamba dhana nzima ya chanzo katika fizikia haiko rahisi kama unavyofikiria?

Unaelewa kuwa katika Quantum Causal Loop, chanzo kinaweza kuwa ni matokeo ya matokeo yake?

Yani ni hivi, unaweza kuwa na kitu 1, kilichosababisha kitu 2, halafu hapo hapo, hicho kitu 2 nacho kikawa ndicho chanzo kilichosababisha kitu 1?

Sasa hapo chanzo ni kipi? Kitu 1 au kitu 2?

Unaelewa hilo?
Katika uumbaji, kitu kilichoumba hakiwezi kuumba kitu kilichomuumba. The parent will remain to be parent, can't be infant.

Kwa habari ya Physics, hizo ni transformations za "energies" na hazipaswi kamwe kufananishwa na uumbaji.

Kwa mfano, jua linavyowaka, linatoa nishati, na mwisho wa siku, jua litaisha (collapse), lakini nishati yake itabadilishwa kuwa chanzo cha nishati nyingine. Je, hapo utasema jua lilipotea halafu limerudi tena?

Kwenye electromagnetism, tunasema kuna mutual induction kati ya inductors mbili zilizo karibu, lakini inaanza moja kuiinduce nyingine na yenyewe kupoteza. Ikishapoteza, inakuwa kitu kingine kabla ya kuwa induced. Kwa hivyo usichanganye haya mambo na uumbaji.

Katika uumbaji, generation inaenda mbele, na wala hairudi nyumba (refer reproduction). Wote tumezaliwa, na tunaendelea kuzaliana, swali la msingi (ambalo tunabishana hapa), ni nani chanzo chetu sisi wanadamu?
 
Unatakiwa ukosoe kwa facts, hili jukwaa huru mradi usitukane ukapigwa ban.
Mi nishapigwa ban kama mara 4 hivi hasa mtu akonichokoza ukute nipo kwenye siku mbaya alafu mtu anaandika ujinga lazma nimpige moja .
Swala la Imani liacheni tu, linamapana m
Kaka Ibra, kwahiyo Mungu ambaye ndiyo mwenye mbingu na nchi na dunia ni sehemu yake ya kuweka miguu na utajiri wote wa dhahabu na almasi , samati anataka mnyonge ombaomba atoe hela ndio aponywe?
Maybe am missing a point.
Unakumbuka
Kaka Ibra, kwahiyo Mungu ambaye ndiyo mwenye mbingu na nchi na dunia ni sehemu yake ya kuweka miguu na utajiri wote wa dhahabu na almasi , samati anataka mnyonge ombaomba atoe hela ndio aponywe?
Maybe am missing a point.
Ndg: ni somo Pana.
Lakn tambua mambo mache kama haya.
-Mungu anaweza kukuponya/kukufungua Kwa huruma yake tu.
-Wakati mwingine wewe ndo unapaswa umwambie mungu naomba uniponye/unifungue
-Kuna wakati mungu anakuambia nataka unipe hiki bila kukwambia kuwa nataka nikuponye. ukimpa tu, yeye anakuponya/anakufungua kwenye tatzo lako
-kuna wakati unamshawishi mungu akuponye. Nk. So Kuna wakati Ili ufunguliwe unatakiwa utoe sadaka. Na sadaka ni kujitoa Wala sio issue ya pesa.
Ukiona mwamposa anasema mtolee mungu elf 10000, na utafunguliwa, na wewe huna iyo elf 10000 Wala huumii kutaka uponyaji huo, maana yake muujiza huo wa kinabii sio wako, subr wa kwako ambao utakukuta kwenye hali yako. Sio Kila muujiza ni wako.
Elisha aliomba chakula Kwa mwanamke maskin mwenye njaa, yule mwanamke akamwambia ningekupa Ili nimebakiwa na unga kidogo tu Ili Nile usik mmoja tu na mwanangu Kisha nife. Mtumishi anasema nipe Ivo Ivo, alivompa nini kilimtokea yule mwanamke??
Sijui kama umenielewa.
Na sadaka pia ziko za aina nyingi na Kwa mahitaji mbalimbali, na Kwa manuizi mbalimbali. Kikubwa ni Imani Yako tu. Hata utoe hela nyingi bila kuamin ni Bure, Bali hata ukitoa sent Kwa Imani itakua na matokeo makubwa zaidi
 
Katika uumbaji, kitu kilichoumba hakiwezi kuumba kitu kilichomuumba. The parent will remain to be parent, can't be infant.

Kwa habari ya Physics, hizo ni transformations za "energies" na hazipaswi kamwe kufananishwa na uumbaji.

Kwa mfano, jua linavyowaka, linatoa nishati, na mwisho wa siku, jua litaisha (collapse), lakini nishati yake itabadilishwa kuwa chanzo cha nishati nyingine. Je, hapo utasema jua lilipotea halafu limerudi tena?

Kwenye electromagnetism, tunasema kuna mutual induction kati ya inductors mbili zilizo karibu, lakini inaanza moja kuiinduce nyingine na yenyewe kupoteza. Ikishapoteza, inakuwa kitu kingine kabla ya kuwa induced. Kwa hivyo usichanganye haya mambo na uumbaji.

Katika uumbaji, generation inaenda mbele, na wala hairudi nyumba (refer reproduction). Wote tumezaliwa, na tunaendelea kuzaliana, swali la msingi (ambalo tunabishana hapa), ni nani chanzo chetu sisi wanadamu?
Huo uumbaji ni uumbaji gani? Una hakika na unayosema au ni mambo ya kufikirika tu?

Kama unasisitiza sana "the parent will remain the parent", unasisitiza umuhimu wa cause and effect, sasa Mungu katokeaje? Who/ what is God's parent/cause?

Umesoma "Quantum Causal Loop" na kuielewa?

 
Back
Top Bottom