Maji ukiyatumia vizuri haina haja ya KIOO..

Maji ukiyatumia vizuri haina haja ya KIOO..

Sidhani ka' upo sawa kunibeza, maana hata wewe unapitisha dawa za kulevya, tukianza ku-confess yaliyo nyuma ya pazia, we utachomwa moto alafu mi nitaachwa nakuapia,

Sitaki kuamini kuwa sadaka au kusifu kwa fasihi, ndio vitanipeleka kwa masihi, kitachonionyesha mbingu ni bidii, ya kutenda mema so sitaki kujua dini ipi ni sahihi, ah!

Kanisa unatudanganya kirahisi, nyumba ya mungu ni mioyo yetu nahakiki, kwakuwa saa hizi, jua kali njaa hizi zinafanya ukubali kugeuka taasisi,

Usinishushe hadhi nikizini, ikiwa unafuga wachungaji wenye dhambi kama mimi, kanisa nakupa pole, nje msafi ndani mchafu naomba tusinyoosheane vidole,

Kanisa unaniasa, niache kutamani vyeo na wewe unajihusisha na siasa, kama mji wa sodoma ulizikwa na anasa, mwisho wako upo kama hautabadilika sasa,
 
Why would she be so mad at me for?
Homie, I don't know she's hot and cold
I won't stop won't mess my groove up
Cause I already know how this thing go
You run and tell your friends that you're leaving me
They say that they don't see what you see in me
You wait a couple months then you gonna see
You'll never find nobody better than me


##kanyewest.. ZAT moment umepigwa chini na mtt mzur
[emoji23] [emoji23] ukiachwa achikaaà
 
Kuna yule anaitwa "Nicki Minaji" kwenye ile Nyimbo "The way life goes on" alioshirikishwa na Lil Uzi amechana balaa, kwenye "Do you mind" napo kachana hadharani.
Nick minaj na rosalee ni wadada ninaowakubali hatari
 
Unajua ukiolewa majukumu yanakuwa mengi mpaka rap yenyewe inahama kichwani,sasa ukiolewa na mwanaume hataki hizo rap ndo zinakufwa kabisa kwa head

Sio kwel.. Kutokan na mume hucka.. Ila inategemea na mume, mwnyew mie napend kuwa na mpenz ambaye ni copy yangu..

Kila anachofanya mie nafanya, ninachofanya anafanya pia, ninachopenda nae anapenda.. Simply hamtaweza kubadilishiana system of living
 
Huwa nasikiasikia tu
Eti niache michepuko na milupo ili nibaki njia kuu
Napenda nitulie ndani ya ndoa
Nihudumie familia watoto wajisikie poa
Ila, mke wangu ndiye kikwazo
Kila ukizuka ugomvi basi ujue yeye ndiyo chanzo
Washikaji wananiita bwege hamnazo
Mademu kibao, kwanini mmoja anitie mawazo
Kila siku napiga magoti
Nyumbani ka vitani, huyu mke au field force?
Maana makofi nayo naswa ni kiboko
Tena mbaya zaidi napigwa mbele ya watoto
Siwezi kuongea neno moja
Maana ashajazwa umbea, na wambea ni mashoga
Basi atafura, mezani siachiwi hata chakula
Kulala mzungu wa nne amekunja sura
Asubuhi mida ya kwenda kazini
Hapigi pasi, haniwekei maji huwezi kuamini
Namtazama simmalizi
Mpaka najiuliza nani ananipa script kwenye drama kama hizi
Najiuliza mi ni Mume au Mlinzi?
Maana usiku kucha nakesha ka' Jinamizi
Hajawahi nifanyia fumanizi
Na kila nikiondoka namwachia pesa ya matumizi
 
[emoji23]kama rosalee anakukosha sana ee [emoji23] lakini haipendezi mdada anarap afu anakua mchafu mchafu kama mvuta bangi.
Mbona wengi wao wako vizuri tu.
Halafu mdada anae chana hata upstairs yuko vema saana. Kweli nawapenda na big up kwao.
 
Huwa nasikiasikia tu
Eti niache michepuko na milupo ili nibaki njia kuu
Napenda nitulie ndani ya ndoa
Nihudumie familia watoto wajisikie poa
Ila, mke wangu ndiye kikwazo
Kila ukizuka ugomvi basi ujue yeye ndiyo chanzo
Washikaji wananiita bwege hamnazo
Mademu kibao, kwanini mmoja anitie mawazo
Kila siku napiga magoti
Nyumbani ka vitani, huyu mke au field force?
Maana makofi nayo naswa ni kiboko
Tena mbaya zaidi napigwa mbele ya watoto
Siwezi kuongea neno moja
Maana ashajazwa umbea, na wambea ni mashoga
Basi atafura, mezani siachiwi hata chakula
Kulala mzungu wa nne amekunja sura
Asubuhi mida ya kwenda kazini
Hapigi pasi, haniwekei maji huwezi kuamini
Namtazama simmalizi
Mpaka najiuliza nani ananipa script kwenye drama kama hizi
Najiuliza mi ni Mume au Mlinzi?
Maana usiku kucha nakesha ka' Jinamizi
Hajawahi nifanyia fumanizi
Na kila nikiondoka namwachia pesa ya matumizi
Mistari ya nani huyu mkuu?
 
Back
Top Bottom