tzjamani
JF-Expert Member
- Oct 9, 2010
- 995
- 33
Kweli yamemfika bila ubishi.........na ukweli ni kuwa hata kuchakachua kura zetu safari hii atashangaa mkono wa Mwenyezi Mungu unavyoziba mianya yote ya wizi wa kura...........
Amina
Kweli yamemfika bila ubishi.........na ukweli ni kuwa hata kuchakachua kura zetu safari hii atashangaa mkono wa Mwenyezi Mungu unavyoziba mianya yote ya wizi wa kura...........
Angekuwa kwenye kipindi cha kwanza basi labda angebadilika lakini kwa kuwa ni kipindi cha mwisho, then, he has nothing to lose my friend, ila ninahofia kulipiza visasi na matusi atakavyotubeza kama akishinda!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
No matter the election result Jk anatakiwa kuwa amepata funzo kubwa sana mwaka huu 2010.Awe Nje au ndani ya utawala we expect to see very new JK. kama hatabadilika basi atakuwa ana ugonjwa mbaya sana ambao yeye , sisi na watu wake wa karibu bado hatujaujua
Hata utani huo nao kutoka kwa mwenzako unakutisha!Wana JF leo hii asubuhi saa mbili na nusu hivi, nimepokea simu toka kwenye mtandao wangu wa zain, ikasema "helo subiri mhe kikwete anataka kuongea na wewe kisha nikamsikia kikwete akijieleza na kuomba kura"
Je hii yawezekana mitandao imeingia kwenye kampeni? anu JK kaamuru apigiwe debe? hii ni vipi jamani na namba ilikuwa unknown lakini sauti ya JK kabisa. nimepiga zain wanadai hakuna kitu kama hicho - what is this??????????
kweli ccm maji shingoni - kweli sasa nimeamini Slaa anamnyima usingizi JK.
Mungu yu upande wa walio wengi usiwe na wasiwasi.Angekuwa kwenye kipindi cha kwanza basi labda angebadilika lakini kwa kuwa ni kipindi cha mwisho, then, he has nothing to lose my friend, ila ninahofia kulipiza visasi na matusi atakavyotubeza kama akishinda!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
huna nafasi ya kuwa na dialog nae, anaongea tu anaomba kura.... mimi niliposikia tu ni yeye nikakata simu... kwani niliona ni utapeli because nilikuwa najua that same time on TV alikuwa yuko Jangwani livenambie ulipoongea nae alisemaje na wewe ulimjibu nini
huna nafasi ya kuwa na dialog nae, anaongea tu anaomba kura.... mimi niliposikia tu ni yeye nikakata simu... kwani niliona ni utapeli because nilikuwa najua that same time on TV alikuwa yuko Jangwani live
Na leo nimenyonga!!!
No matter the election result Jk anatakiwa kuwa amepata funzo kubwa sana mwaka huu 2010.Awe Nje au ndani ya utawala we expect to see very new JK. kama hatabadilika basi atakuwa ana ugonjwa mbaya sana ambao yeye , sisi na watu wake wa karibu bado hatujaujua
No matter the election result Jk anatakiwa kuwa amepata funzo kubwa sana mwaka huu 2010.Awe Nje au ndani ya utawala we expect to see very new JK. kama hatabadilika basi atakuwa ana ugonjwa mbaya sana ambao yeye , sisi na watu wake wa karibu bado hatujaujua