allpurpose2010
Member
- Sep 13, 2010
- 8
- 0
Wana JF leo hii asubuhi saa mbili na nusu hivi, nimepokea simu toka kwenye mtandao wangu wa zain, ikasema "helo subiri mhe kikwete anataka kuongea na wewe kisha nikamsikia kikwete akijieleza na kuomba kura"
Je hii yawezekana mitandao imeingia kwenye kampeni? anu JK kaamuru apigiwe debe? hii ni vipi jamani na namba ilikuwa unknown lakini sauti ya JK kabisa. nimepiga zain wanadai hakuna kitu kama hicho - what is this??????????
kweli ccm maji shingoni - kweli sasa nimeamini Slaa anamnyima usingizi JK.
Je hii yawezekana mitandao imeingia kwenye kampeni? anu JK kaamuru apigiwe debe? hii ni vipi jamani na namba ilikuwa unknown lakini sauti ya JK kabisa. nimepiga zain wanadai hakuna kitu kama hicho - what is this??????????
kweli ccm maji shingoni - kweli sasa nimeamini Slaa anamnyima usingizi JK.