Mnondwe
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 4,013
- 3,672
Tatizo la Tanganyika ni genge mbogamboga
..Malaysia walipata uhuru 1963.
..Singapore walipata uhuru 1965 baada ya kujitenga na Malaysia.
..Nchi hizo zimepata maendeleo makubwa kuliko Tanganyika iliyopata uhuru 1961.