Kwa experience yangu ya kufanya kazi katika jeshi moja hapa nchi kwa miaka 10 nimegundua kuwa kazi za majeshi(jw,polisi,magereza) zinawafaa watu wenye elimu ndogo tena form 4 failure maana kuna kila aina ya ukiritimba na urasimu ambao msomi hawezi kuvumilia na kama akivumilia ataishia kujilaumu kwa uamuzi wake.
Naunga mkono mada, jwtz ndo wasomi halali lakini wengine hakuna elimu Kwa wengi, wamefoji vyeti vya ndugu zao Kwa hilo wasikatae.
huna unalolijua bora ukae kimya mkuu.. jwtz ndo inachukua darasa la saba mpaka leo + vyeti vya ku forge.. sasa sijui elimu unayoizungumzia ni ipi???
Ila Jeshi la Polisi wamezidi kuzoa zoa vilaza...
Ndio maana adabu ya jeshi hilo imepungua mno...
Jeshi la wananchi walau miaka ya karibuni wameanza kuwa makini na ajira zao...
Huyu nahisi atakuwa kwenye lile jeshi letu hapa zenji linalo fanana na jkt- bara ila tofauti huku vijana watiifu wa "sisiem" hukusanywa kutoka maskani na kupelekwa kwenye jeshi hilo.jeshi ambalo wakifanya road work marching/jogging wengi wao hukatiza chochoro na kusubiri troop yao kwa mbele kuelekea kambini!msomi ni mtu wa aina gani??? we ulifanyia jeshi la nchi gani hilo??? nakushauri research yako uanze upya kwa kufanya hivi... kila majeshi yanapotangaza nafasi za ajira, basi nenda siku ya interview ukawahoji watahiniwa wanaowania hizo nafasi wana shule gani then utarudi na majibu mkuu..
Wewe! kijijini kwao kufika form six ni elimu kubwa sana wewe unamtajia degree? unadhani mwenye degree hata ya ovyoovyo tu anaweza kwa miaka kumi ya experience na uchunguzi akaja na hitimisho la kipuuzi kama hilo?Kwani ww una elimu gani??, ukute una ka degree kamoja tu, wakati wenzako wana masters+doctorate+cpA(T), na wanakula maisha jeshini, ww kwanza hujawahi ht fanyia kazi kwny jeshi lolote hapa bonge, utawadanganya wajinga wajinga km ww.
Sasa wewe kwa ufahamu wako unadhani mleta hoja kaongelea chochote au katupa hitimisho la uchunguzi na uzoefu wake tu? Na tutakuwa wapuuzi tukikubaliana nae bila ya yeye kudadavua kwa mifano ikiwezekana madhira yanayowakumba wasomi kama mleta hoja jeshini.Upo sahihi mkuu! Japo wengi hawakukuelewa. Uzowefu wa 10years unaongelea unachokijuwa. Majibu ya wachangiaji hayaendani na mada yako.
Sent from my SM-G800H using Tapatalk
Wasomi wanataka waishi jeshini kama wako wako ofisi za BOT..Wakati jeshini ni sehemu ya ukakamavu na kugangamala....na sio lelemama....
Na wasomi wengi wanakimbilia jeshini baada ya mitego yote kubuma kitaa na kusugua benchi sana...
Sasa wewe kwa ufahamu wako unadhani mleta hoja kaongelea chochote au katupa hitimisho la uchunguzi na uzoefu wake tu? Na tutakuwa wapuuzi tukikubaliana nae bila ya yeye kudadavua kwa mifano ikiwezekana madhira yanayowakumba wasomi kama mleta hoja jeshini.
Kutokueleweka ni tatizo la mleta hoja kwa kushindwa kuitambulisha hoja yake ,hatupigi ramli hapa ,leta hoja inayojitosheleza katika suali pana kama hili!eti msomi halafu unaleta habari kama uko kwenye kijiwe zembe!
Usituletee misamiati hapa,sema ukiritimba upi na urasimu upi ulioko huko mpaka ukahitimisha vile! na ni kweli sijakuelewa chochote ndio maana sikubaliani nawe na hufanyi juhudi zozote ili watu tukuelewa msingi wa madai yako zaidi ya hints za "usomi" form 4 failures"ukiritimba"na "Urasimu"ukitaraji wasomaji wako tujazie nyama katika hili ilhali wewe umeshafanya uchunguzi na una first hand experience, sasa unaona ugumu gani kufunguka yaliyopo huko ili sisi raia wakawaida tukuelewe?Wewe ndo hujaelewa unajua maana ya ukritimba na urasimu.
Usituletee misamiati hapa,sema ukiritimba upi na urasimu upi ulioko huko mpaka ukahitimisha vile! na ni kweli sijakuelewa chochote ndio maana sikubaliani nawe na hufanyi juhudi zozote ili watu tukuelewa msingi wa madai yako zaidi ya hints za "usomi" form 4 failures"ukiritimba"na "Urasimu"ukitaraji wasomaji wako tujazie nyama katika hili ilhali wewe umeshafanya uchunguzi na una first hand experience, sasa unaona ugumu gani kufunguka yaliyopo huko ili sisi raia wakawaida tukuelewe?
Mkuu acha maarifa mafupi kwa kujifanya mjuzi wa lugha,hebu nikuulize kwa kipimo cha akili yako -maana tukijadiliana kama watu wazima hatuelewani.Kama huelewi maana ya maneno hayo kaa kimya au tafuta kamusi.