Majeshi ni kwa ajili ya form 4 failure tu

Majeshi ni kwa ajili ya form 4 failure tu

Mkuu acha maarifa mafupi kwa kujifanya mjuzi wa lugha,hebu nikuulize kwa kipimo cha akili yako -maana tukijadiliana kama watu wazima hatuelewani.
Mimi ni raia wa kawaida tu,nahisi jeshini asilimia 99 wanafanya au kutimiza majukumu yao kwa kufuata amri si utashi wao,sasa utakapo amriwa kufanya kazi fulani ni ukiritimba gani au urasimu gani unakuzuia kutimiza wajibu wako?

Nami nikuulize swali je, kila amri ni halali mfano ukipewa amri ya kuua mtu bila kosa utaua kwa sababu amri imetoka juu?
 
Nami nikuulize swali je, kila amri ni halali mfano ukipewa amri ya kuua mtu bila kosa utaua kwa sababu amri imetoka juu?
Kama ni mwanajeshi na umepewa na mkuu wako yes utaua tu japokuwa sijaona ukiritimba na urasimu una relevancy gani hapa ! ila wewe utakuwa si responsible na ndio maana ikaitwa AMRI huna HIYARI labda na wewe nikuombe ukapitie kamusi japokuwa mie nimetoa maelezo!
Pia ningeomba utumie nafasi hizi kutetea hoja zako kuliko kutetea ubishi wako ,bado tusubiri kujua wapi umekwazwa kama ulikuwa umesahau hoja yako ya msingi
 
Kama ni mwanajeshi na umepewa na mkuu wako yes utaua tu japokuwa sijaona ukiritimba na urasimu una relevancy gani hapa ! ila wewe utakuwa si responsible na ndio maana ikaitwa AMRI huna HIYARI labda na wewe nikuombe ukapitie kamusi japokuwa mie nimetoa maelezo!
Pia ningeomba utumie nafasi hizi kutetea hoja zako kuliko kutetea ubishi wako ,bado tusubiri kujua wapi umekwazwa kama ulikuwa umesahau hoja yako ya msingi

Mkuu huo ulikuwa utafiti wangu na niliishia hapo sasa kwa vile Research is perceived gap in knowledge between what is already known and what is not known unaweza na wewe kufanya utafiti wako kugundua kwanini kuna urasimu na ukiritimba mpaka kusiwafae wasomi na huo ukritimba na urasimu unatokana nini?
Btw kuna maaskari wengi wapo magereza kwa kosa la kuua kutokana na amri walizopewa na wakubwa wao yakifika shingoni anakukana msala unabaki kwako.
Lakini kwa msomi ukipewa amri lazima kwanza ujiulize je,nikitekeleza hii amri itakuwa na madhara gani? unajua nini kinatokea ukikataa amri isiyo halali iliyohalalishwa na mkubwa
Ukienda Polisi au Magereza unakuta kuna vijana hawajasoma ili mradi tu wanajuana na mkubwa fulani wanapewa kitengo lakini askari mwenye ujuzi na kitengo anapiga ulinzi kama kawaida kwa leo niishie hapa.
 
Mkuu huo ulikuwa utafiti wangu na niliishia hapo sasa kwa vile Research is perceived gap in knowledge between what is already known and what is not known unaweza na wewe kufanya utafiti wako kugundua kwanini kuna urasimu na ukiritimba mpaka kusiwafae wasomi na huo ukritimba na urasimu unatokana nini?
Btw kuna maaskari wengi wapo magereza kwa kosa la kuua kutokana na amri walizopewa na wakubwa wao yakifika shingoni anakukana msala unabaki kwako.
Lakini kwa msomi ukipewa amri lazima kwanza ujiulize je,nikitekeleza hii amri itakuwa na madhara gani? unajua nini kinatokea ukikataa amri isiyo halali iliyohalalishwa na mkubwa
Ukienda Polisi au Magereza unakuta kuna vijana hawajasoma ili mradi tu wanajuana na mkubwa fulani wanapewa kitengo lakini askari mwenye ujuzi na kitengo anapiga ulinzi kama kawaida kwa leo niishie hapa.
Kwa jibu lako hili nadhani ulikuwa huna sababu ya kuuleta huu uzi .have a good day mkuu!
 
Kwa experience yangu ya kufanya kazi katika jeshi moja hapa nchi kwa miaka 10 nimegundua kuwa kazi za majeshi(jw,polisi,magereza) zinawafaa watu wenye elimu ndogo tena form 4 failure maana kuna kila aina ya ukiritimba na urasimu ambao msomi hawezi kuvumilia na kama akivumilia ataishia kujilaumu kwa uamuzi wake.

Sio kweli kuwa majeshi yanaajiri failures. Nafahamu polisi ni division III tatizo nidhamu kwa viongozi wa jeshi la polisi imeshuka sana na siku hizi hapelekwi mafunzo ya mazoezi field craft! Sijui hakuna budget ya mafunzo hayo! Askari anaotaje kitambi? Pia rushwa inashusha nidhamu sana.
 
Kwa kukusaidia mtoa mada kama kweli umesoma utakuwa unajua kitu kinaitwa division of labour, hata ktk taasisi kubwa za kielimu mfano UDSM sio wafanyakazi wa pale wooote ni maprofesa NO. Katika majeshi yetu pia sio wooote hawana elimu ya kutosha kama unavyodhani (Hapa nazungumzia elimu iliyopo kwenye mfumo rasmi yaani msingi, sec na vyuo) wanayo kubwa tuu!!!! In adition watu hawa hupewa elimu ya kijeshi ambayo haitolewi ktk tasis nyingine na katika mgawanyo wa majukumu hayo kila mtu anafit sehemu yake na ndio maana wewe na wenzio msio na shukrani mnalala na kuendesha maisha yenu bila wasiwasi.

Mkuu sina elimu kubwa sana ila elimu yangu ya kidato cha nne inatosha kabisa kuelewa maana ya division of labour na mwalimu wangu wa history form 2 alinifundisha kuwa division of labour inaangalia umri(age) jinsi(sex) na ujuzi au ubobezi(specialization) je unadhani majeshi yetu hasa Polisi na magereza yanawatumia wasomi kulingana na ujuzi waliosomea.
 
Nimecheka sana,kwa taarifa yako kama huelewi....ugunduzi wa mambo mengi tu ulianzia jeshini(hapa naongelea-"technology world wide",aidha fanya utafiti utagundua kwa hapa kwetu tunawataalam waliobobea katika ngazi zote za elimu kuanzia degree ya kwanza na kuendelea waliopo katika majeshi yetu,siyo kweli kazi hizo haziwafai wasomi....kasi ya mabadiliko na kukuwa kwa teknolojia kunahitaji watu waliopevuka kielimu na majeshi yetu yanao wasomi wengi tu walio bobea katika fani mbalimbali,mawazo ya wanaowaza kama unavyowaza wewe kwamba kazi hizi hazihitaji wasomi ni mawazo hasi( its just a myth....),tatizo hatusomi vitabu na kufuatilia mambo....."The military(World wide) has played a major role in what we call modern technology,in other words there is no way the military could achieve this without professionalism....."kwa hiyo kazi hizi ni za wasomi kaka...."think twice"

Una akili sana kumbe.......mwambie hata teknolojia ya internet ilianzia jeshini pia
 
Khaa!!! Kazi ya jeshi haifundishwi kwa mtu yeyote hadi aingie jeshini. Sasa form 4 sijui inahusika vipi. Mbona kuna mjeda namfahamu anaweza kurusha chopa, ndege , kutengeneza milipuko kwa kutumia bidhaa za matumizi ya nyumbani, parachute wakati aliishia darasa la 6 tu. Kunatofauti kubwa kati ya kusoma na kuelimika.
 
Kwa experience yangu ya kufanya kazi katika jeshi moja hapa nchi kwa miaka 10 nimegundua kuwa kazi za majeshi(jw,polisi,magereza) zinawafaa watu wenye elimu ndogo tena form 4 failure maana kuna kila aina ya ukiritimba na urasimu ambao msomi hawezi kuvumilia na kama akivumilia ataishia kujilaumu kwa uamuzi wake.

-golden boys

-silver boys

-iron boys.
 
Nimecheka sana,kwa taarifa yako kama huelewi....ugunduzi wa mambo mengi tu ulianzia jeshini(hapa naongelea-"technology world wide",aidha fanya utafiti utagundua kwa hapa kwetu tunawataalam waliobobea katika ngazi zote za elimu kuanzia degree ya kwanza na kuendelea waliopo katika majeshi yetu,siyo kweli kazi hizo haziwafai wasomi....kasi ya mabadiliko na kukuwa kwa teknolojia kunahitaji watu waliopevuka kielimu na majeshi yetu yanao wasomi wengi tu walio bobea katika fani mbalimbali,mawazo ya wanaowaza kama unavyowaza wewe kwamba kazi hizi hazihitaji wasomi ni mawazo hasi( its just a myth....),tatizo hatusomi vitabu na kufuatilia mambo....."The military(World wide) has played a major role in what we call modern technology,in other words there is no way the military could achieve this without professionalism....."kwa hiyo kazi hizi ni za wasomi kaka...."think twice"

sio kwa jeshi la Tanzania.
 
Kwa experience yangu ya kufanya kazi katika jeshi moja hapa nchi kwa miaka 10 nimegundua kuwa kazi za majeshi(jw,polisi,magereza) zinawafaa watu wenye elimu ndogo tena form 4 failure maana kuna kila aina ya ukiritimba na urasimu ambao msomi hawezi kuvumilia na kama akivumilia ataishia kujilaumu kwa uamuzi wake.

Na anayeweza kuvumilia ni "msomi failure" tu.
 
Basi kama wewe msomi sana si utafute kazi ya kisomi zaidi, halafu mimi na cheti changu cha form four failure nitakuja kukupiga tanganyika jeki na kukusweka lupango siku ukibaranganya huko kwenye kazi yako ya kisomi...

By the way, hata ukidharu na kuwachukia vipi wanajeshi/polisi/magereza , mwisho wa siku wakipita lazima mwili ukushtuke. Kama unabisha hebu baranganya kidogo uone who is the dady...

Yeah ni jibu sahihi kwa msomi failure, ambaye anajitahidi kujustify kupanda dala dala bure ili hali hajiulizi kwa nini mwanafunzi wa shule ya vidudu analipa nauli!!
 
futa kauli yako.unatumia cm na kucheka cheka coz wanaume wako mipakani wanakulinda.jwtz na majesh mengine lazima yaheshimiwe.hebu assume nw ungekuwa kongo au kenya tu hapo.tuache dharau kuna vi2 ving sana vya kuongelea mbali na jeshi.

Lol! Wenye akili hawaendi huko.
 
Nimecheka sana,kwa taarifa yako kama huelewi....ugunduzi wa mambo mengi tu ulianzia jeshini(hapa naongelea-"technology world wide",aidha fanya utafiti utagundua kwa hapa kwetu tunawataalam waliobobea katika ngazi zote za elimu kuanzia degree ya kwanza na kuendelea waliopo katika majeshi yetu,siyo kweli kazi hizo haziwafai wasomi....kasi ya mabadiliko na kukuwa kwa teknolojia kunahitaji watu waliopevuka kielimu na majeshi yetu yanao wasomi wengi tu walio bobea katika fani mbalimbali,mawazo ya wanaowaza kama unavyowaza wewe kwamba kazi hizi hazihitaji wasomi ni mawazo hasi( its just a myth....),tatizo hatusomi vitabu na kufuatilia mambo....."The military(World wide) has played a major role in what we call modern technology,in other words there is no way the military could achieve this without professionalism....."kwa hiyo kazi hizi ni za wasomi kaka...."think twice"

Tutajie mmoja tu wa hapa Tanzania na nini alichogundua. Kwa wenzetu kulitumikia jeshi ni fahari na uzalendo, ila hapa kwetu ni njaa na dhiki.
 
wengi wamekurupukua hawakujua mzizi wa hoja husika ni upi. Leo nikisema Chuo kikuu cha Dar es salaam kuna ukiritimba uliokithiri nitakuwa simaanishi kwamba pale hakuna wasomi! Ukiritimba ni jambo moja na usomi ni jambo jingine ila msomi makini hawezi kuridhika kukaa sehemu ambayo kuna ukiritimba uliokithiri.

Well said. Kuukataa ukweli ni ishara ya "Usomi failure"
 
ukishajua ili iweje? mkuu mbona tunatafuta vitu vilivyo juu ya uwezo wetu? angaikia kula yako na watoto mengine waachie wenyewe.

Msomi hujibu hoja, usikimbizane na ukweli. Tuambie ni msomi yupi aliyepo jeshini na kafanya nini? Awe wa taaluma yoyote ile
 
wanayoyafanya ni ulinzi na usalama wa nchi na mipaka yake, sasa kuwa wanatimizaje azma hiyo hayo mengine! ukienda huko jua unakuwa mlinzi wa jinsi yeyote ile, ukikaa ofisini utajua unalindaje, ukiwa field pia utajua unalindaje mkuu, nawasililisha.

Twiga wetu walipandaje kwenye Ndege? Meno ya tembo kwenye Ndege ya rais wa China yalifikaje? Singa singa wa Escrow yupo wapi? Nijibu kwanza hayo
 
Back
Top Bottom