Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,478
- 39,997
cjaelewa ningefurai kama ungenifafanulia kidogoNi yule yule au huyu mwingine?
Sijakisoma, sitakisoma wala kutazama review kwani nna uhakika: Udaku, unaaa, ufataani na majungu ndio uliojazana humo. Analysis yangu inatokana na maandiko yako ndani ya JF.
Karibu mkuu. Kumbe I was among the 3 fastest?hahaha thanks; you are one of those 3 then eh!! thanks for the support!
Karibu mkuu. Kumbe I was among the 3 fastest?
Niliona ni copy za review, bora niwahi mapema
maana zikiisha hizi ni kusubiri hizo zingine sasa.
kati ya watu ambao na'wish kukutana nao duniani hapa mwanakijiji ni namba moja, coz mtu ni multipurpose yani kila k2 anajua na habatishi. Ya i wish ningejua hata anafananaje? Kama kuna mtu ana picha yake naomba aiweke.
Mzee Mwanakijiji progress ya kitabu chetu kinaenda fresh?
natuma pm kama sina akili vizur memba wote kiwafikie.
Hongera saana Mkuu, I am impressed. I am so dissapointed to have missed this and the chance to review it.... Naona inayobaki ni ku order... Is there any hope naweza bahatika ku review?
Asante sana dear; progress imeenda beyond my wildest dreams. Sasa hivi nafunga kununua previews kwani nilitaka watu kama 10 tu hivi wanunue na sasa wamefikia tisa; nadhani inatosha. Asanteni wa ndugu.
Sijakisoma, sitakisoma wala kutazama review kwani nna uhakika: Udaku, unaaa, ufataani na majungu ndio uliojazana humo. Analysis yangu inatokana na maandiko yako ndani ya JF.
loh chuki binafsi hizi? au mm kakutosa?Sijakisoma, sitakisoma wala kutazama review kwani nna uhakika: Udaku, unaaa, ufataani na majungu ndio uliojazana humo. Analysis yangu inatokana na maandiko yako ndani ya JF.