Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,475
- 39,991
- Thread starter
- #21
kuna mtu kasema kuwa ati nimeandika mambo mengine kwa undani sana hivyo ipelekwe kwa watu wazima.... kweli?
Wife anapenda sana kusoma hadith. Hiki kitabu kikiwa tayari ntamnunulia, then ntampatia siku nakwenda long trip.
Naamini kitampa kampani sana.
Nimekukubali MM, uko very universal brother. kitakuwa store by when?
iko poa ila attachment umerudia ulichoandika,ungeweka hata sura ya 11