majembe act mart wakabidhiwa madeni ya dawasco

majembe act mart wakabidhiwa madeni ya dawasco

Pdidy

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
61,678
Reaction score
37,862
jamani hili limeanza kunishtua hivi watu serikalini wanaajiriwa kwa ajili gani,...sasa tumeanza kuwapa majembe ,yona kila kazi ambayo kuna watu tumewaajiri kwa ajili hiyo
Dawasco wameingia mkataba wa kufwatilia na kukata wadaiwa sugu wa dawasco je ni kweli hakuna wafatiliaji wa dawasco kufanya kazi anayofanya majembe,...kuna ulakini hapa najaribu kujiuliza ipo siku tuwakabidhi majembe mahaka kuu kuwabeba mahabusu toka gerezani mpaka mahakamani na kurudi.,..nimeanza kuogopa wapi hii serikali inaelekea,..najua kuna watu wamepata 10%kuwapa hii tenda majembe je ni pesa inatuzalilisha hivyo??
kwenu watanzania
 
Kama system hiyo ita-deliver, basi hiyo ni njia nzuri sana...Naipongeza Dawasco.

What i care ni kwamba hela za Dawasco/serikali zikusanywe ili shughuli za idara hizo ziendelee.

Cha msingi kujiuliza ni kwamba MAJEMBE WANATUMUA NJIA GANI KUKUSANYA...Kama wao wameweza-kwanini sisi tushindwe?..hapo ndo kwenye swali.
 
Kama system hiyo ita-deliver, basi hiyo ni njia nzuri sana...Naipongeza Dawasco.

What i care ni kwamba hela za Dawasco/serikali zikusanywe ili shughuli za idara hizo ziendelee.

Cha msingi kujiuliza ni kwamba MAJEMBE WANATUMUA NJIA GANI KUKUSANYA...Kama wao wameweza-kwanini sisi tushindwe?..hapo ndo kwenye swali.


ukifikiria sana rushwa itakuwa aiishi kwani dawasco imeajiri wafanyakazi kwa kazi hyo leo tena unaajiri majembe kukusanya madeni hayo majembe nao wanatumia watu tu sio roboti na wanaweza kuna ten pasenti tu hapo kumpa majembe kazi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom