Majasusi wa dunia wametuma Meseji ngumu kwa Putin na washirika wake

TumainiEl

JF-Expert Member
Jan 13, 2010
6,209
11,276
Nadhani kwa sasa Dunia imesimama na majasusi wote Dunia wameamia Iran kunakotukio lakutisha.

Baada ya mvumo na bishindo vingi sasa wenye Dunia yao wameamua kufanya yao pasipo kuwepo ushahidi wakile kimetokea.
Wengi hawajuwi kile kiponyuma ya hili tukio ila Kuna vitu vya muhimu vimepotea kuliko maisha.

Uwenda sasa siri zote za Iran na marafiki zake zimetiwa kiganjani mwa wanaume na wababe wadunia na uwenda vita ya mashariki ya kati itasimama pia Ukraine vita Mrusi anarudisha majeshi nyuma.

Rais anatembea na Ofisi nahiyo Ofisi ndio macho ya majasusi yapo ukipoteza beg la Rais umepoteza Siri za Taifa kwa sasa Ninapo andika Siri za Irani zimesha patikana yaani watatekenywa mpaka walegee yaani Siri zote mikononi mwa wanaume wasio julika Iran hawatolia kumpoteza Rais watalia kutopatikana kwa begi muhimu lenye taarifa za Siri za Taifa lao.
Uwenda wakakuta manyoya au uwenda maiti zisionekane milele tetesi jamani msinibane ngede.
Mzee wakukamata majasusi nakuwatoa macho anatetema maana hata vikosi hatari vya majasusi wa Urusi hawatoambulia manyoya nibalaa juu ya balaa Putin na washirika zake hawaamini mpaka sasa kile kimetokea na uwenda kama nilivyokwisha Tabiri vita itasimama ghafla. Nakama haisimami wababe wakivita watazima Engine nyingine this time China watajifukia keep cool and keep 🤐🤐🤐🤐

Wazee wakidoni wanataka jamaa aende kwenye ........ Wamalize kazi nyumbani.

Ilihawajamaa kuwa nimiamba helicopter tatu moja imeangushwa na ndio ya Rais. Mtu ambaye inasadikika ndio was next Ayatollah
Hatujuwi Nia yao ni nn ila Mungu ndie anajuwa.

View: https://m.youtube.com/watch?v=Td_6y0LUDZw
 
Nadhani kwa sasa Dunia imesimama na majasusi wote Dunia wameamia Iran kunakotukio lakutisha.

Baada ya mvumo na bishindo vingi sasa wenye Dunia yao wameamua kufanya yao pasipo kuwepo ushahidi wakile kimetokea.
Wengi hawajuwi kile kiponyuma ya hili tukio ila Kuna vitu vya muhimu vimepotea kuliko maisha.

Uwenda sasa siri zote za Iran na marafiki zake zimetiwa kiganjani mwa wanaume na wababe wadunia na uwenda vita ya mashariki ya kati itasimama pia Ukraine vita Mrusi anarudisha majeshi nyuma.

Wazee wakidoni wanataka jamaa aende kwenye ........

Ilihawajamaa kuwa nimiamba helicopter tatu moja imeangushwa na ndio ya Rais. Mtu ambaye inasadikika ndio was next Ayatollah
Hatujuwi Nia yao ni nn ila Mungu ndie anajuwa.
Umedhihirisha uchanga wako kwenye medani za diplomasia na ujasusi,Siri za nchi hazitembei zote na kiongozi mkuu wa nchi,ni mengi tu hajui,halafu uhangaike kumuua Biden wakati unajua Kamala Harris ataapishwa kuwa rais na mambo yataendele!!
 
Hii ngoma bado mbichi maana hao jamaa wana mfumo.......sio show ya mtu mmoja hapo labda aangushwe ayatollah na mfumo wake na ndo maana anamuweka rais
 
Kwamba helicopter kuanguka kuna ujasusi wa aina yoyote.Mbona imekuwa mapema kuja na conclusion kama hii.Anyway unawaza sana na hii si nzuri kwa afya ya akili

Hebu sasa anza kuwaza hivi:Labda ni technical issues,labda ni issue iko related na weather,labda ni issue iko related na rubani wa chombo,labda ni michezo ya Iran kutaka kucheza na hao majasusi unaowasema n.k

Ukimaliza kuwaza hivyo,vuta pumzi kidogo subiri taarifa rasmi ndio utoe hitimisho lenye kujenga
 
Na kama Iran yenyewe imeamua kumtakeke out.

Yeye kawaza kiushindani zaidi ili kubalance mzani wa battle na Israel 😂😂
Kwamba helicopter kuanguka kuna ujasusi wa aina yoyote.Mbona imekuwa mapema kuja na conclusion kama hii.Anyway unawaza sana na hii si nzuri kwa afya ya akili

Hebu sasa anza kuwaza hivi:Labda ni technical issues,labda ni issue iko related na weather,labda ni issue iko related na rubani wa chombo,labda ni michezo ya Iran kutaka kucheza na hao majasusi unaowasema n.k

Ukimaliza kuwaza hivyo,vuta pumzi kidogo subiri taarifa rasmi ndio utoe hitimisho lenye kujenga
pu
 
Nadhani kwa sasa Dunia imesimama na majasusi wote Dunia wameamia Iran kunakotukio lakutisha.

Baada ya mvumo na bishindo vingi sasa wenye Dunia yao wameamua kufanya yao pasipo kuwepo ushahidi wakile kimetokea.
Wengi hawajuwi kile kiponyuma ya hili tukio ila Kuna vitu vya muhimu vimepotea kuliko maisha.

Uwenda sasa siri zote za Iran na marafiki zake zimetiwa kiganjani mwa wanaume na wababe wadunia na uwenda vita ya mashariki ya kati itasimama pia Ukraine vita Mrusi anarudisha majeshi nyuma.

Rais anatembea na Ofisi nahiyo Ofisi ndio macho ya majasusi yapo ukipoteza beg la Rais umepoteza Siri za Taifa kwa sasa Ninapo andika Siri za Irani zimesha patikana yaani watatekenywa mpaka walegee yaani Siri zote mikononi mwa wanaume wasio julika Iran hawatolia kumpoteza Rais watalia kutopatikana kwa begi muhimu lenye taarifa za Siri za Taifa lao.
Uwenda wakakuta manyoya au uwenda maiti zisionekane milele tetesi jamani msinibane ngede.
Mzee wakukamata majasusi nakuwatoa macho anatetema maana hata vikosi hatari vya majasusi wa Urusi hawatoambulia manyoya nibalaa juu ya balaa Putin na washirika zake hawaamini mpaka sasa kile kimetokea na uwenda kama nilivyokwisha Tabiri vita itasimama ghafla. Nakama haisimami wababe wakivita watazima Engine nyingine this time China watajifukia keep cool and keep 🤐🤐🤐🤐

Wazee wakidoni wanataka jamaa aende kwenye ........ Wamalize kazi nyumbani.

Ilihawajamaa kuwa nimiamba helicopter tatu moja imeangushwa na ndio ya Rais. Mtu ambaye inasadikika ndio was next Ayatollah
Hatujuwi Nia yao ni nn ila Mungu ndie anajuwa.

View: https://m.youtube.com/watch?v=Td_6y0LUDZw

"Uwenda" hujui ulichoandika.
 
Nadhani kwa sasa Dunia imesimama na majasusi wote Dunia wameamia Iran kunakotukio lakutisha.

Baada ya mvumo na bishindo vingi sasa wenye Dunia yao wameamua kufanya yao pasipo kuwepo ushahidi wakile kimetokea.
Wengi hawajuwi kile kiponyuma ya hili tukio ila Kuna vitu vya muhimu vimepotea kuliko maisha.

Uwenda sasa siri zote za Iran na marafiki zake zimetiwa kiganjani mwa wanaume na wababe wadunia na uwenda vita ya mashariki ya kati itasimama pia Ukraine vita Mrusi anarudisha majeshi nyuma.

Rais anatembea na Ofisi nahiyo Ofisi ndio macho ya majasusi yapo ukipoteza beg la Rais umepoteza Siri za Taifa kwa sasa Ninapo andika Siri za Irani zimesha patikana yaani watatekenywa mpaka walegee yaani Siri zote mikononi mwa wanaume wasio julika Iran hawatolia kumpoteza Rais watalia kutopatikana kwa begi muhimu lenye taarifa za Siri za Taifa lao.
Uwenda wakakuta manyoya au uwenda maiti zisionekane milele tetesi jamani msinibane ngede.
Mzee wakukamata majasusi nakuwatoa macho anatetema maana hata vikosi hatari vya majasusi wa Urusi hawatoambulia manyoya nibalaa juu ya balaa Putin na washirika zake hawaamini mpaka sasa kile kimetokea na uwenda kama nilivyokwisha Tabiri vita itasimama ghafla. Nakama haisimami wababe wakivita watazima Engine nyingine this time China watajifukia keep cool and keep 🤐🤐🤐🤐

Wazee wakidoni wanataka jamaa aende kwenye ........ Wamalize kazi nyumbani.

Ilihawajamaa kuwa nimiamba helicopter tatu moja imeangushwa na ndio ya Rais. Mtu ambaye inasadikika ndio was next Ayatollah
Hatujuwi Nia yao ni nn ila Mungu ndie anajuwa.

View: https://m.youtube.com/watch?v=Td_6y0LUDZw

Nilikuwa natafuta hizi nyuzi za wachambuzi wa Jf wakiwa maeneo mbalimbali ya Tz
Kama majasusi wabobevu
🤗🤗🤗😄😄😄
 
Back
Top Bottom