platozoom
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 9,548
- 11,517
Teh Teh Teh Umenikumbusha kina Kaboka mchiz, Zena na Betina, madenge cjui usitake nicheke na Yule Mzee kifimbo cheza Mzee wa kurekebisha Kiswahil, mambo ya digital yameharib kila kitu,cjui google, yutube,iPad,iPhone,imarc,Facebook,twitter, instagram etc wiz mtupu kila kitu Watu wana google tu cku iz,hakuna tena kusoma vijarida wala novel Aya tutaanzia wap kumgoogle Zena na Betina cye analogy..?hatar sana
Wewe siyo wa analog ni digitali hebu angalia hizo red.