Majarida haya na watunzi wake:wako wapi?

Majarida haya na watunzi wake:wako wapi?

Kila zama na kitabu chake...kwa ambao tumezaliwa vijijini tulipata bahati ya kujua robo ama nusu kabisa ya yaliyokua yanajiri mjini kutokana na watunzi na masanii mahiri wa zama za nyuma kidogo..Nimekuwa mpenzi wa muda mrefu sana wa majarida tajwa hapo juu na hakika pamoja na kutokuwa na kipato wakati huo ila nilijidunduliza na kuhakikisha kila mwezi najinunulia nakala tatu kwa maana ya Sani,Bongo na Tabasamu...
Kwa kua inspired na kazi za watunzi waliobobea kama kina John Kaduma (R.I.P) E.P. Ndoda,Abrahman Dohu,4T Ndila,Dikwe Ndoto,Katembo na wengine kwa wingi wao leo najivunia matunda ya msukumo nilioupata...Mungu azipe pumziko la heri roho za wasanii na watunzi wa hadithi,riwaya na tamthiliya ambao walitupa nuru wakati digital ikiwa mapumziko ughaibuni...
 
Sio ibra washokera tu ongezea na radi we acha tu kipindi hicho ni kizazi kinachopenda kujisomea vitabu na sio kizazi hiki cha mapritenda
 
hahaa nimecheka sana mkuu,unakumbuka Mapung'o alishachezea hadi manchester united?

Nafikiri Mapung'o alikuwa wa kwenye jarida la bongo kwenye sani mshambuliaji wa timu ya bush stars alikuwa anaitwa mzee meko
 
Nafikiri Mapung'o alikuwa wa kwenye jarida la bongo kwenye sani mshambuliaji wa timu ya bush stars alikuwa anaitwa mzee meko

Offcourse mapung'o alikua Bongo,alikua na mikasa mingi sana huyu jamaa
 
Kila zama na kitabu chake...kwa ambao tumezaliwa vijijini tulipata bahati ya kujua robo ama nusu kabisa ya yaliyokua yanajiri mjini kutokana na watunzi na masanii mahiri wa zama za nyuma kidogo..Nimekuwa mpenzi wa muda mrefu sana wa majarida tajwa hapo juu na hakika pamoja na kutokuwa na kipato wakati huo ila nilijidunduliza na kuhakikisha kila mwezi najinunulia nakala tatu kwa maana ya Sani,Bongo na Tabasamu...
Kwa kua inspired na kazi za watunzi waliobobea kama kina John Kaduma (R.I.P) E.P. Ndoda,Abrahman Dohu,4T Ndila,Dikwe Ndoto,Katembo na wengine kwa wingi wao leo najivunia matunda ya msukumo nilioupata...Mungu azipe pumziko la heri roho za wasanii na watunzi wa hadithi,riwaya na tamthiliya ambao walitupa nuru wakati digital ikiwa mapumziko ughaibuni...

hao jamaa walikua wabunifu sana,yan ilikua ukisoma toleo la mwezi huu unaona kama mwezi ujao haufiki kabisa
 
Hadithi ilitungwa na Said Mbwana Makatta Bhawji. Ilikuwa inaitwa maji Mazito (Jina la Jambazi Kapuko wa Kapuko).



Da umenikumbusha mbali. Nakumbuka FAHARI lilikuwa gazeti la kawaida na jina lake lilikuwa la mwandiko mwekundu.



Nakumbuka Busara. Marehemu Mzee Hammie Rajab amepta kuandika humo. Hata character "Power Mbulumundu" aliyekuja kuchorwa na John Kaduma nadhani katika Tabasamu kwa jina la Power Mbulumbundu alitokea katika jarida la Fahari. Vituko vya Mbulumbundu/Mbulumundu vilifanana na Baba Ubaya aliyeanzia katika Jarida la KIU.



Well, niseme nini hapa!!!!!?? Honestly nimelog in ili nirespond kwa sentensi hii. Kwanza asante kwa kunikumbusha Jina la Mcheshi. Nilikuwa nawaza hawa wanawake wenye mahipsi, mapaja yanayong'aa, macho yaliyolegea, nywele za Afro na mashavu yanayomeremeta nilikuwa nawaona katika jarida gani. Heshima sana kwako "mzee" Sky Eclat.

Naomba nikuzawadie Vicky, Omari Kisila na Mzee Mkongwe.... Maji Mazito. Respect!!

View attachment 95485

duuh mkuu umetisha,umakumbukumbu sana,respect
 
Wakati umeenda sana....jalida lilikuwa linasubiliwa kwa hamu dah umenikumbusha mbali sana huu uzi
 

Attachments

  • uploadfromtaptalk1370175622393.jpg
    uploadfromtaptalk1370175622393.jpg
    118.6 KB · Views: 163
  • uploadfromtaptalk1370175662011.jpg
    uploadfromtaptalk1370175662011.jpg
    65 KB · Views: 147
Umesahau 'FAHARI' kiboko cha majarida. Mtunzi alikuwa Freddy Jimm Mdoe.
FRED JIM MDOE (2013) Published on 7 Apr 2013 Jim Mdoe ni mwanahabari maarufu nchini TZ na mchapishaji wa kujitegemea mwenye uzoefu wa siku nyingi.Kwa bahati mbaya, sehemu ya mwisho ya mahojiano haya imepotea. Kanda ya awali ninayo na nipatapo nafasi nitaweka mahojiano mazima kwenye Mtandao ili watu wafaidike na mawazo yake. Source: John Mtembezi Inniss wa youtube.
 
Last edited by a moderator:
majarida ya sani,bongo nk yalianza kupoteza umaarufu baada ya kuanza kutoka vijarida vidogo vidogo ambavyo vikaja kupata umaarufu mkubwa sana.Sababu sani na bongo yalikuwa yakitoka mara 2 au moja kwa mwaka.Hivi vijarida vilikuwa vikitoka kila baada ya miezi miwili au mitatu.Watu wakapoteza mvuto na majarida hayo kwa kusubiri kwa muda mrefu.Kufa kwa gazeti la HEKO ni ugomvi uliotokea baina ya BEN na mwanasiasa maarufu nchini ambaye anaitwa waziri mkuu mstaafu siku hizi.Mtifuano huo ulipelekea BEN kukaa rumande kwa miezi 3,kwa tuhuma ya wizi wa computer.Alisumbuliwa sana kwa kesi ya uongo ambayo ikaanza kudhoofisha gazeti la HEKO ambalo lilikuwa linaelekea kuwa gazeti la kila siku badala ya wiki.Ni stori ya kusikitisha kwa ufupi ni hayo mkuu
nimefurahi kusikia ulikua ni mmoja kati ya waandishi katika majarida yale,labda nikuulize kitu kimoja;KWANINI MAJARIDA YALE YAMEPOTEA ILIHALI YALIKUA YANAPENDWA SNA
 
majarida ya sani,bongo nk yalianza kupoteza umaarufu baada ya kuanza kutoka vijarida vidogo vidogo ambavyo vikaja kupata umaarufu mkubwa sana.Sababu sani na bongo yalikuwa yakitoka mara 2 au moja kwa mwaka.Hivi vijarida vilikuwa vikitoka kila baada ya miezi miwili au mitatu.Watu wakapoteza mvuto na majarida hayo kwa kusubiri kwa muda mrefu.Kufa kwa gazeti la HEKO ni ugomvi uliotokea baina ya BEN na mwanasiasa maarufu nchini ambaye anaitwa waziri mkuu mstaafu siku hizi.Mtifuano huo ulipelekea BEN kukaa rumande kwa miezi 3,kwa tuhuma ya wizi wa computer.Alisumbuliwa sana kwa kesi ya uongo ambayo ikaanza kudhoofisha gazeti la HEKO ambalo lilikuwa linaelekea kuwa gazeti la kila siku badala ya wiki.Ni stori ya kusikitisha kwa ufupi ni hayo mkuu

lakini majarida ya sani na bongo yalkua yanatoka mara moja kila mwezi
 
kumbuka vizuri,walianza hivyo kukidhi soko la ushindani.Pengine hii nayo ilikuwa sababu.Aidha pia kuibuka magazeti ya udaku ambayo mwanzoni walikuwa wakiweka michoro mingi ya katuni na hadithi.Sababu zaidi wanaweza kuwa nazo wamiliki
lakini majarida ya sani na bongo yalkua yanatoka mara moja kila mwezi
 
hapo kwa wanawake wa
kuchorwa aisee kwenye majarida walikua wanazidisha,msichana utafikiri
hayupo dunian yan anakuwa wakipekeee ile mbaya

Mkuu unakumbuka stori kwenye jarida la Bongo kama...Mlinzi wa Zamu, Msako Wa Mr. X......ndani kuna characters kama kina Komando Denis Rymond Makete....
 
Mkuu unakumbuka stori kwenye jarida la Bongo kama...Mlinzi wa Zamu, Msako Wa Mr. X......ndani kuna characters kama kina Komando Denis Rymond Makete....

yah nazkumbuka sana mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom