Majanga: Nimemshika shemeji yangu makalio

Majanga: Nimemshika shemeji yangu makalio

iMind

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2011
Posts
3,159
Reaction score
5,278
Jana usiku nilichelewa kurudi home, sasa shemeji yangu wa kike, mdogo wa wife ndo alikuja kunifungulia mlango. Wakati anainama kufunga komeo la chini la gate la mlango nikamshika makalio. Alisimama kwa haraka, akaniangalia usoni kwa macho ya ukali, then nikaona machozi yana tiririka, akaondoka kwa speed kwenda chumbani kwake.

mimi nikafunga mlango nikaenda kulala. Asubuhi tumeamka tumekuta shemeji yetu kachukua kila kilicho chake na katimua. Hapokei simu yangu wala ya wife. Hajaacha ujumbe wala taarifa yoyote. Tumejaribu kuwapigia ndugu wa karibu ikiwa ni pamoja na wazazi wake kama wana hii taarifa lakini hakuna anayejua lolote. Mke wangu kaniuliza kama nilikwaruzana naye muda wa hivi karibuni lakini nikamwambia sijakwaruzana naye chochote. Huyu binti ni mpole na hanaga mambo ya mapepe kabisa.

UPDATES
ukweli tukio hili lilitokea out of my control. Ilitokea tu nikashika. Lakini mbona tukitokaga out, club huwa tunacheza pamoja na wakati mwingine na minya kabisa makalio. Kwa nini kushika tu mara moja this time iwe Shidaaaa
 
hahahha sa na we ulimshika hayo makalio kwa nini!!? atakuwa kakuoma mrafi afu unapenda vya kinyonga, ata huongei we unaanza kushkashika tu
 
Huyo dada ana akili sana abarikiwe aishi miaka mingi tena Mungu aje ampe mume mwema sio kama aliyepewa dada yake. Hebu tubu hiyo dhambi kwa mkeo haraka.kama unataka amani ya moyo. Kuna mambo yanatia ukakasi namna ya kuyaelezea kwenye hadhira hata kama tunatumia ID feki. Sijui huu ujasiri watu mnaupataje
 
inawezekana kaondoka kwa sababu zake wala sio hiyo
unayohisi wewe
 
Ulianzaje shika kalio lake? Huna adamu mbakaji tu weww nfyuuuuuu wanaume kama nyie nawatafuta nukuwanyonga tu.... mbakaji mdhalilishaji mkubwa huna adabu........ mbakaji nyambafu kabisa unatueleza tufanyaje we mbakaji mpuuuzi mkubwa wewe....... umeniharibia siku limbwa libeberu wewe..
 
Akifanya hivi basi aandike ameumia.....itakuwa evidence juu ya aliyoyatenda

miss strong huyo dada ana busara sana hiyo evidence angeiacha ndoa ya dada yake si ingekuwa inapumulia ICU na siajabu anajua dada ake asingemsikiliza labda angeamini wako hivyo siku nyingi au shemeji yake angemgeuzia kibao hilo jambo liko so complicated
 
Last edited by a moderator:
Ulianzaje shika kalio lake? Huna adamu mbakaji tu weww nfyuuuuuu wanaume kama nyie nawatafuta nukuwanyonga tu.... mbakaji mdhalilishaji mkubwa huna adabu........ mbakaji nyambafu kabisa unatueleza tufanyaje we mbakaji mpuuuzi mkubwa wewe....... umeniharibia siku limbwa libeberu wewe..

..haya, twende kanisani basi coz karibia umnyonge jamaa kwenye touch screen..!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom