Majanga mapya ongezeko mshahara walimu.

Majanga mapya ongezeko mshahara walimu.

Na nyie mmezid kulalamika! Walimu wenzenu wengine hawapendi! Mshahara ni private bwana. We una diploma karne hii unataka mshahara mkubwa?? Shukuru mungu hata kazi unayo. Fanya mipango ukasome sio kila siku kulia lia ovyo kama watoto bwana! Mshahara ni sir yako na uish kulingana na kipato chako! Mbona kuna watu hawana kazi na wanaish! Tatizo unatamani maisha kama ya FULANI ambaye hata shule tu alikuwa anakupita kila siku na kaz yake hata ukipewa hutaweza kufanya! Kama ualimu haulipi nenda uaskar
 
NDo mchukue Hatua sasa na sio kulalamika! mie nawakubali walimu wa sayansi No longolongo kwanza majority wanaingia mitini siku izi na wengi wanaoenda masomoni ndo wanabadiri na fani kabisaaaa....yan mwanaume mzima unaongezewa 43000/= next time wataigawa nusu ndo itakua increment yenu...narudia tena hamjalazimishwa kusomea ualimu km vilio vyenu havisikiki na hamthaminiki kwan muendeleze vieleele vya kusomea ualimu! sie twala bata ata wakiongeza 8% sarary hiyoooooooo ishu nitachoka kupay bill!
 
Mtihani wa necta umekaribia, hiyo ndo kabali yao. Jitaidini kuongeza zero mpaka kieleweke. Halafu wekeni bao na karata ofsini, chezeni kamali.
 
Mi ni mwalimu mkoa wa mbeya,nipo daraja Tgts c1 imeongezeka elfu 43000 hvyo imekuwa 343,000 KAZI IPO MFUMUKO WA BEI JUU SERIKALI YA CCM WALIMU TUMEKUKOSEA NINI?aaaaaaaaa TANZANIA NAKUPENDA NCHI YANGU ILA SERIKALI YAKE SIIPENDI SIIPENDI WALIMU TUUNGANE KUKAA KIMYA NI UMAKU!!

TGTS C1!!! Ww utakuwa bado kinda kazini! Kuna wenzako wako F watapokea kama M1 na ushee kabla ya kodi
 
Mi ni mwalimu mkoa wa mbeya,nipo daraja Tgts c1 imeongezeka elfu 43000 hvyo imekuwa 343,000 KAZI IPO MFUMUKO WA BEI JUU SERIKALI YA CCM WALIMU TUMEKUKOSEA NINI?aaaaaaaaa TANZANIA NAKUPENDA NCHI YANGU ILA SERIKALI YAKE SIIPENDI SIIPENDI WALIMU TUUNGANE KUKAA KIMYA NI UMAKU!!

Wewe ni mwalimu kweli?
 
kwa mwendo huu naamini sln nikuhama hii sekta mana tutakufa na umasjini wetu huku maporin tunakofanyia kaz ikiwa hadi bodaboda wamepandisha nauli mahitaji tunafuata mjini,itakuaje ndugu walim tusaidiane kupigania tukishindwa boro kutemana tu.
 
Mi ni mwalimu mkoa wa mbeya,nipo daraja Tgts c1 imeongezeka elfu 43000 hvyo imekuwa 343,000 KAZI IPO MFUMUKO WA BEI JUU SERIKALI YA CCM WALIMU TUMEKUKOSEA NINI?aaaaaaaaa TANZANIA NAKUPENDA NCHI YANGU ILA SERIKALI YAKE SIIPENDI SIIPENDI WALIMU TUUNGANE KUKAA KIMYA NI UMAKU!!
kwa ongezeko hilo kweli haya ni majanga kwa walimu nawaunga mkono hata big result now isifanikiwe jamani walimu
 
Kama JK aliwaambia wanafunzi wakike wanaobebeshwa mimba ni vieleele vyao na nyie mnaosomea ualimu mnavieleele sana mna umoja wa mabua mkitiwa kiberit tu kwisnei...mnachonga sana no reactio kwanin msijifunze Kenya? since last week payroll zilikua out lakin sio TUCTA wala CWT ambao wameweza kuongea kitu...yani mnatia uluma sinji mnavyolalamika lakini ngoja mkome ili muache kieleele cha kusomea ualimu na mkome...i hop this coming wk Mr Mgaya atanena kitu ila ndo mkome kusomea ualimu

Sasa mkuu unavyolaani na kuzomea hivyo, kwa hutaki watu wasomee ualimu? Hivi bila mwalimu wewe leo ungekuwaje? Hapo haujashiriksha ubongo vizuri.
 
Msafwa wa swaya bado unaweza kufanya kitu na maisha yako yakabadilika na kutoka hapo ulipo. ukichukua hatua ya kujiendeleza japo kiduchu waweza badilisha hali yako ya maisha.
I still have hopes for all the teachers in Tanzania.

Mi ni mwalimu mkoa wa mbeya,nipo daraja Tgts c1 imeongezeka elfu 43000 hvyo imekuwa 343,000 KAZI IPO MFUMUKO WA BEI JUU SERIKALI YA CCM WALIMU TUMEKUKOSEA NINI?aaaaaaaaa TANZANIA NAKUPENDA NCHI YANGU ILA SERIKALI YAKE SIIPENDI SIIPENDI WALIMU TUUNGANE KUKAA KIMYA NI UMAKU!!



Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom