Watu wenye silaha wavamia gari, kupora Kg 15 za madini ya Tanzanite yenye thamani ya Sh10 bn usiku wa kuamkia leo Manyara, Polisi athibitisha.
Chanzo:Mwananchi
Hii biashara ya tanzanite Arusha na Manyara ina mambo mengi yafanywayo katika njia zisizo halali (usiri mkubwa na utemi/ubabe wa pesa na vitisho). Wewe mzigo mkubwa hivyo unasafirishwaje usiku??? Kama ulikuwa na BIMA; kuna muziki mkubwa unachezwa nyuma ya pazia.....