Majambazi yapora Tanzanite ya billion 10

Majambazi yapora Tanzanite ya billion 10

Dah afadhali labda mzunguko wa pesa utatupitia na sisi watu wa hali ya chini.Ningefurahi zaidi kama mzigo ulioibiwa ungekuwa ni wa makaburu,sababu wanajiona wao Miungu watu ,wameinyonya sana Mererani na Tanzanite yake bila kufanya maendeleo yoyote shenz type,mmxxuuuuuuuuuuuuuuu

Mkuu kuuza huo mzigo ni kazi lazma kwanza watulie police watakua busy pia hayo madini hayako rough yameshachongwa kutokana na order zao,huwa wanasort then wanayashape kutokana na oda zao.
Brookerz wanadili na roughstone
 
Kha ha ha ha haaaaaas! Mkuu! Ni hasira ama ni nini?
Kama hawajauwa Mi binafsi nasema ni Kheri yao!

Hasira, jazba na dukuduku, halafu watasimulia weeeee mpaka wachafue upelelezi!!!!
Wangechinjwa ingekuwa kimyaa safiiii maana wanatorosha rasilimali hao hii mara ya ngapi???!?

Heri ya nini hapo bora jambazi kuliko huyu bepari mnyonyaji anayesaidia wanyang'anyi kupora nchi???!!!
Wangewakata hata vidole tu!!!!
 
Mkuu kuuza huo mzigo ni kazi lazma kwanza watulie police mwatakua busy pia hayo madini hayako rough yameshachongwa kutokana na order zao,huwa wanasort then wanayashape kutokana na oda zao.
Brookerz wanadili na roughstone

Mkuu uzuri wa black market kila mtu anataka faida maradufu hao waliokuwa wanunue kwa bei X wakipewa kwa bei Y wala hawakatai!!!!
 
Hao walioibiwa watulipe kwanza kodi na stahili zote ndo tuendelee na kesi
 
Mkuu kuuza huo mzigo ni kazi lazma kwanza watulie police mwatakua busy pia hayo madini hayako rough yameshachongwa kutokana na order zao,huwa wanasort then wanayashape kutokana na oda zao.
Brookerz wanadili na roughstone

Mkuu uzuri wa black market kila mtu anataka faida maradufu hao waliokuwa wanunue kwa bei X wakipewa kwa bei Y wala hawakatai!!!!

Na waweza kuta wao wanunuzi ndio wamepigisha!!!!
 
Mkuu kuuza huo mzigo ni kazi lazma kwanza watulie police watakua busy pia hayo madini hayako rough yameshachongwa kutokana na order zao,huwa wanasort then wanayashape kutokana na oda zao.Brookerz wanadili na roughstone
mkuu kuna wachina na wa Thailand kinondoni hiyo wala hata hawaulizi mara mbili,achilia mbali Nairobi.
 
Mkuu uzuri wa black market kila mtu anataka faida maradufu hao waliokuwa wanunue kwa bei X wakipewa kwa bei Y wala hawakatai!!!!

Usemalo ni kweli ila kuuza kwa twn ni issue sana mana c roughstone so wanaweza uza kenya su hapahapa kwa tajiri m1.pia ni zaidi ya kilo hizo hao jamaa hata wakiwa 10 kila mtu anauhakika wa kua bilionea
 
mkuu kuna wachina na wa Thailand kinondoni hiyo wala hata hawaulizi mara mbili,achilia mbali Nairobi.

Mkuu nafanya biashara hiyo bei ya dar iko chini sana cku zote jua wapigaji wanakua tayari na m2 wao iwe ar au nairobi.kumbuka lasttym waliiba sorthouse mzigo wa kutosha na wote ukauzwa hpahpa twn yalikua rough so police walishindwa kuyapata
 
Mkuu kuuza huo mzigo ni kazi lazma kwanza watulie police watakua busy pia hayo madini hayako rough yameshachongwa kutokana na order zao,huwa wanasort then wanayashape kutokana na oda zao.
Brookerz wanadili na roughstone

Hamna ugumu hapo mpaka wanafikia hatua hiyo tayari soko lilkuwa limetafutwa mzigo wa gendo huwa unafaida tamu sana na kwa vyovyote vile huo mzigo wataubana chini bilioni 6 sioni pedeshee wakukataa mzigo fororo kama huo.
 
apo unaeza kuta imeibiwa Kg 5 tu..io kg 10 ni inside deal..adi majabaz wanashangaa
 
kama ni ya wale makaburu safi sana, hongereni wana...mzunguko wa fedha huooooo mpaka kwa raia wa A town
 
Hamna ugumu hapo mpaka wanafikia hatua hiyo tayari soko lilkuwa limetafutwa mzigo wa gendo huwa unafaida tamu sana na kwa vyovyote vile huo mzigo wataubana chini bilioni 6 sioni pedeshee wakukataa mzigo fororo kama huo.

Huo mzigo ni zaidi n kg10 so kwa ei ya soko ni 1.5m pergram tajiri yuko tayari kulipa 10 up 13b na bado atapata faida ya 7b kwa bei ya jaipur india
 
Lost society....
Jamii iliyopotea..
Yaani hakuna hata mmoja so far aliyeona ujambazi na ujangili ni jambo baya???
Je kama aliyeporwa ni mmiliki halali na ana vigezo vyote???
Naioenea huruma nchi yangu hii.
Kuiacha katika mikono ya vijana ambao kuiba na ujambazi ndio unashibikiwa na kushangiliwa!
Mwishowe, mtaanza kuvamiana wenyewe kwa wenyewe.
Nyerere aliwaita WaKenya "Manyang'au" kumbe manyang'au ni Watanzania!
Aibu tupu ..... Totally disgusting!
 
Back
Top Bottom