Majambazi yapora Tanzanite ya billion 10

Majambazi yapora Tanzanite ya billion 10

Kwa hiyo kilo moja ya Tanzanite ni bei ngapi?

Hizo hela zitasaidia kampeni za ubunge Arusha 2015
Goodnews gari moja limeporwa madini ya Tanzanite kilo 15 yenye thamani ya 10 billion huko Manyara ni goodnews kwa sababu yalikuwa yanatoroshwa
 
Hivi Gold na Tanzanite ip ipo juu? Bcoz kg 25 za Gold haiwezi kizidi 3 bn. Kwa bei ya 1gm for 60,000 Tsh.

Gram ya tanzanite ikiwa y top colour ni 1.5m so hpo wazungu wamedanganya mana walikua wanasafirisha kimagendo wasilipe kodi wajuba wakasoma dili,huwa wanasafirisha na escort na gari yenye bullet proof body
 
Funguka kidogo hebu mkuu!!!!!

Walikua wanatorosha ucku ndio kawaida yao so wa2 walisoma ramani mzigo unatoka lini wauteke,pia hiyo sehemu ina kona kali sana ndio mana walipata kirahisi,acha waibe tu mzunguko wa hela atwn urudi sawa,huwa wanasindikiza na escort ya ffu na gari zao za bulletproof
 
Kazi nzuri makaka jambazi.. Msiwe mnakuja mtaani mnatuulia masista wetu.. Endeleeni kupiga kazi kwa hao hao

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Walikua wanatorosha ucku ndio kawaida yao so wa2 walisoma ramani mzigo unatoka lini wauteke,pia hiyo sehemu ina kona kali sana ndio mana walipata kirahisi,acha waibe tu mzunguko wa hela atwn urudi sawa,huwa wanasindikiza na escort ya ffu na gari zao za bulletproof

Kazi nzuri, waliosindikiza wangekatwa kidole kimoja kila mmoja iwe ukumbusho!!!!
 
Mkuu usicheze na kitu inaitwa tanzanite
Huwezi kufananisha bei yake na Gold hata chembe
Hao jamaa kama walikuwa watatu basi wasipokamatwa umasikini kwao itabaki historia!!!

Hiyo issue ina wa2 wengi kuanzia ndani istoshe ucku ndio huwa wanatorosha madini,inakuja jet yao inatua kia wanaleta mzigo kimyakimya then wa2 wa tra wanahongwa ndege inaondoka.

Huo mzigo ni zaidi ya 15kg mana production yao huwa karibia 200kg so wakisort mawe masafi watapata c chini ya 50kg
 
Hiyo issue ina wa2 wengi kuanzia ndani istoshe ucku ndio huwa wanatorosha madini,inakuja jet yao inatua kia wanaleta mzigo kimyakimya then wa2 wa tra wanahongwa ndege inaondoka.

Huo mzigo ni zaidi ya 15kg mana production yao huwa karibia 200kg so wakisort mawe masafi watapata c chini ya 50kg
Informative!!!!
 
Kazi nzuri, waliosindikiza wangekatwa kidole kimoja kila mmoja iwe ukumbusho!!!!

Huwa wanasindikizwa na gari 3 mpka 4 za fieldforce wa mererani.so wakiwa wanatorosha hawaiti ffu wasindikize wanaenda na walinzi wao
 
Dah!
Kweli maisha hayana formula!
Unalala jambazi unaamka Bilionea na sadaka kanisani/msikitini unatoa!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Tanzanite ya 10b inasafirishwa usiku??!!!!

Kwanini majambazi hawakuwachinja kabisa wenye mzigo ili iwe fundisho kwa wengine???!!!


Kha ha ha ha haaaaaas! Mkuu! Ni hasira ama ni nini?
Kama hawajauwa Mi binafsi nasema ni Kheri yao!
 
Back
Top Bottom