wachukue tu, hiyo ni safari moja tu kati ya maelfu ya tanzanite kuporwa. Mi sifikilii ujambazi Huo. Lakini unaona kwa nini tanzania ni kati ya inchi kumi bora zenye akili finyu. iweje tuna madini ya thamani ivo , yaani kilo 15 ni bilioni kumi halafu nchi masikini, kwani hivi ina laana gani jamani. wageni waje na kuwa matajiri na nchi kwenda chini, looh EE mungu wangu. ni aibu kuwa kiongozi katika nchi yenye mali ikiwa masikini. Kuna fahari gani kuendesha Ferrari kwenye vumbi, kupitisha range kwenye squeter,au kujifariji kuwa wewe ni tajiri kati ya fukara, hili haliwezekani tutaomba mungu tu. wafisadi kwa neno la bwana hawatakiwi kuishi zaidi ya nusu ya life spam yao, hilo ni andiko sio mimi, yaani kati ya miaka 35-40.sasa ni kuitekeleza hukumu kwa kutuma neno la mungu hilo ili malaika walitekeleze.