OLESAIDIMU
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 19,139
- 9,575
Mkuu nashukuru upo kwenye hiyo gane so unajua mambo ya "zones" "cartels" "brugliones" na "dominions" much as ni hela asee wanadamu ni zaid ya tuwaonavyo!!!!Usemalo ni kweli ila kuuza kwa twn ni issue sana mana c roughstone so wanaweza uza kenya su hapahapa kwa tajiri m1.pia ni zaidi ya kilo hizo hao jamaa hata wakiwa 10 kila mtu anauhakika wa kua bilionea