Radhia Sweety
JF-Expert Member
- Aug 10, 2011
- 4,434
- 1,765
Clouds FM wametangaza kuna ujambazi unaendelea sasa hivi kwenye benki ya CBA iliyopo jengo la Jamana. Mwenye mawasiliano na askari tafadhali toa msaada wa haraka sana.
Clouds FM wametangaza kuna ujambazi unaendelea sasa hivi kwenye benki ya NBC iliyopo jengo la Jamana. Mwenye mawasiliano na askari tafadhali toa msaada wa haraka sana.
Clouds FM wametangaza kuna ujambazi unaendelea sasa hivi kwenye benki ya NBC iliyopo jengo la Jamana. Mwenye mawasiliano na askari tafadhali toa msaada wa haraka sana.
uNaendelea sasa
police msaada pls
nipo eneo la tukio ni
nyelele road
njoo pls hali ni tete sana
V
SENGEREMA
Kumbukumbu zangu zinaniambia jamana house kuna benki ya CBA, sikumbuki kama kuna benki ya NBC.
Benki ya NBC iko karibia na Tazara next to Willy enterprises.
uNaendelea sasa
police msaada pls
nipo eneo la tukio ni
nyelele road
njoo pls hali ni tete sana
V
SENGEREMA
...Feedback, Please!
Polisi wa bongo!?? thubutu! labda ungekuwa mkutano wa CHADEMA wangeenda kusambaratisha!
Kumbukumbu zangu zinaniambia jamana house kuna benki ya CBA, sikumbuki kama kuna benki ya NBC.
Benki ya NBC iko karibia na Tazara next to Willy enterprises.
hahaha...ingekuwa vizuri kweli Clouds wangeibreak hiyo news kwa kusema CHADEMA wamevamia benki pale JAMANA HOUSE...yaani najua Wazee wa Favor yaan ndani ya dakika sifuri wangekuwa wamefika pale...suprise ni pale ambapo wameenda na magari ya majiwasha na vibomu vyao vya machozi wanakutana na wakuu wa JIJI wenye miguu ya kuku na vya moto
Polisi wa bongo!?? thubutu! labda ungekuwa mkutano wa CHADEMA wangeenda kusambaratisha!
uNaendelea sasa
police msaada pls
nipo eneo la tukio ni
nyelele road
njoo pls hali ni tete sana
Vp umesalimika? leta mrejesho