Kwakuwa Jamana house iko karibu na quality plaza ambapo kuna askari pale 24 hrs wanaolinda benki ya CRDB nilitarajia hadi muda huu kuambiwa kwamba wamejitokeza kupambana na majambazi hao wanaopora jamana house.
Kama hiyo haitoshi just opposite na jamana house kuna kituo kidogo cha polisi Brush ningetarajia hadi wakati huu wawe wamefika eneo la tukio kupambana na majambazi hao, lakini hadi sasa sijasikia taarifa zozote za polisi kufika eneo la tukio.
So kama haipo hiyo NBC hyo CBA si benki?
Clouds FM wametangaza kuna ujambazi unaendelea sasa hivi kwenye benki ya NBC iliyopo jengo la Jamana. Mwenye mawasiliano na askari tafadhali toa msaada wa haraka sana.
Mkuu Mwita Maranya, yaelekea jiografia ya jiji imekaa vema kichwani...hahhahhhaaa!Kumbukumbu zangu zinaniambia jamana house kuna benki ya CBA, sikumbuki kama kuna benki ya NBC.
Benki ya NBC iko karibia na Tazara next to Willy enterprises.
Maana yake tukio linaendelea sasa hivi. Ni sawa tu na heading uliyoweka.Huyo mod. aliyendika 'LIVE' hata sijui alikuwa ana maana gani. Watu wengine bwana.
yameshatiwa nguvuni?tumewasiliana na vyombo vya dola tayali wame cover , its under controll.
feedback kwani sisi ndio hao majambazi?...
Clouds FM wametangaza kuna ujambazi unaendelea sasa hivi kwenye benki ya NBC iliyopo jengo la Jamana. Mwenye mawasiliano na askari tafadhali toa msaada wa haraka sana.
Mtoaji taarifa polisi inabidi aseme kuwa kuna wafuasi wa Chadema wanaandamana kwenye jengo la benki.
Hapo polisi wangefika haraka sana wakiwa na silaha zote.
Maana yake tukio linaendelea sasa hivi. Ni sawa tu na heading uliyoweka.
Mtoaji taarifa polisi inabidi aseme kuwa kuna wa
BWANAE TUKO IRINGA BIZ NA UCHUNGUZ
...Some people Looks BRIGHT, Until they Open their Mouth.
Usikurupuke wewe, ongeza umakini kidogo tu ili ufahamu kinachojadiliwa hapa na nilicho-comment.
Mleta taarifa anasema benki iliyovamiwa jamana house ni NBC, mimi nikamjibu jamana house hakuna benki ya NBC isipokuwa kuna benki ya CBA. Sasa kipi kigumu hapo kuelewa?
Mwizi hakamati mwizi mwenzie watakuja tooooooooooooo late kuchukua ushahidi na taarifa ya kamanda wa polisi mkoa wa dsm alishuhudia kutokea kwa tukio hiloo bla bla bla .............
:baby:Mtoaji taarifa polisi inabidi aseme kuwa kuna wa
BWANAE TUKO IRINGA BIZ NA UCHUNGUZ
mtuambie mmetumia sh ngapi kwa POSHO????