Live inatumika mara zote kwa matukio yanayorushwa na TV au Radio. Kwa matukio ambayo hayarushwi na TV au Radio inakuwa ni kichekesho eti kusema live. Bora hata angesema ''Happening now'' ingeleta maana. Watu wengine bwana.
asante turudi kwenye mjadala,,,,WAMEKAMATWA HAO WALOFATA HELA ZAO BENKI?????